Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 21,088
- 47,034
AmeirHafidhi😀
AmeirHafidhi😀
Simfahamu.Ameir
Madaraka ni makubwa kuliko hizo hasara. Ndo akili walizonazo.Wasizwa watazima internet aisee na malipo yote yatasimama kwa muda hii hasara ya kuzima internet sijui waliwahi kupiga hesabu yake au..
Hasara ipo kwa Mwananchi wao hawana hasara posho na mishahara yao ipo palepale, ila wewe mfanya biashara ndo una hasaraWasizwa watazima internet aisee na malipo yote yatasimama kwa muda hii hasara ya kuzima internet sijui waliwahi kupiga hesabu yake au..
Naona country code ya Kenya, mmh!
😀😀😀🙌Unafikiri hamjui?
Neutral Man ZT
Ndio tuchanganye na za mbayuwayuNaona country code ya Kenya, mmh!
Hivi hii inaweza saidia kuwepo hewani hata kama wamekata internet?
Kidato cha Nne na Elimu mbali mbali hawezi kujua hili.Wasizwa watazima internet aisee na malipo yote yatasimama kwa muda hii hasara ya kuzima internet sijui waliwahi kupiga hesabu yake au..