Huenda Mbowe akafilisiwa

Huenda Mbowe akafilisiwa

Nimeelewa kumbe hujui sheria na unaingiza siasa
Hili ni Jukwaa la siasa, wewe unaleta mahaba ya kisiasa kwa kutumia kivuli cha sheria!!

Mmiliki wa vyote viwili ni mmoja, na iwapo kwa bahati mbaya litaibuka zoezi la mtu kufilisiwa, ataumia huyo huyo ambaye jina lake linajitokeza sehemu zote mbili.
 
Mbona sioni mjadala hapa, naona tu hukumu uliyotoa? Hebu lete huo mkataba unasemaje na tukianzia hapo ndipo tunaweza kuwa na mjadala. Vinginevyo 'this is just vapour'!
umepigwa upofu?....soma tena!.
 
Hili ni Jukwaa la siasa, wewe unaleta mahaba ya kisiasa kwa kutumia kivuli cha sheria!!

Mmiliki wa vyote viwili ni mmoja, na iwapo kwa bahati mbaya litaibuka zoezi la mtu kufilisiwa, ataumia huyo huyo ambaye jina lake linajitokeza sehemu zote mbili.
Hao vijana wa chadema wanachojua,kupinga kwa propaganda.
 
Sijawahi kuona bahari ikikaushwa , labda Tanzania itavunja rekodi hii .

Kwa kadiri ninavyofahamu BILIONEA Freeman Mbowe anao uwezo wa kulipa mshahara wa watendaji wote wa ccm nchi nzima kwa kipindi cha miaka 10 bila kutetereka , hii ni pamoja na wafanyakazi wote wa makao makuu , akiwemo Kinana na Mwenyekiti wake ( ikumbukwe kwamba ana kofia 2 , hivyo analamba huku na huku ) , bila kusahau wafanyakazi wa redio na gazeti la uhuru .
 
Sijawahi kuona bahari ikikaushwa , labda Tanzania itavunja rekodi hii .

Kwa kadiri ninavyofahamu BILIONEA Freeman Mbowe anao uwezo wa kulipa mshahara wa watendaji wote wa ccm nchi nzima kwa kipindi cha miaka 10 bila kutetereka , hii ni pamoja na wafanyakazi wote wa makao makuu , akiwemo Kinana na Mwenyekiti wake ( ikumbukwe kwamba ana kofia 2 , hivyo analamba huku na huku ) , bila kusahau wafanyakazi wa redio na gazeti la uhuru .
Angelipa basi, huyu jamaa anakwenda mahakamani kufanyaje?
 
Tanapa wakiambiwa mbowe ni msanii wanabisha
Kwa chama chenye demokrasia ya kweli,mbowe alitakiwa ajiuzulu kwa kuabisha chama

Mbona yule Mwenyekiti wenu alipiga za escrow ?? Alijiuzulu???
 
Mbowe alishamalizwa kisiasa na Kikwete mwaka 2005 alipobwagwa kwa kura 80%, uko wapi wewe? Umelala?

Alipe kodi na deni na asituletee ujinga.
La Mbowe limekutoa wapi ?! Siku hizi umeadimika sana bi dada
 
Mi nadhan kudaiwa ni jambo la kawaida. Na dawa ya deni ni kulipa. Kama kuna mtu hadaiwi hapa duniani, basi ni bahati yake. Hata nchi ya Tanzania inadaiwa
 
Ni kweli kabisa. Kwanza Mbowel Hotels si mali ya Freeman Mbowe pekee yake. Wamiliki wake wako zaidi ya 20, waliyorithi toka kwa Mzee Mbowe Ingalikuwa ni ya Freeman Mbowe pekee yake wala haingekuwa shida na deni hilo angalikuwa ameshalilipa zamani maana ukwasi anao. Hako ni kadeni kadogo sana kwa KUB Mbowe. Tatizo si mali yake pekee na hana mpango wa kuwasaidia hao wenzake unless wakubaliane wamwachie iwe yake pekee kama atalipa hiyo fedha. Yaani hii kwake ni fursa ya kuwa kick off warithi wenzake kwenye hiyo mali. Ni mjanja sana kwenye mambo ya fedha.
Ni watatu siyo 20
 
Sijawahi kuona bahari ikikaushwa , labda Tanzania itavunja rekodi hii .

Kwa kadiri ninavyofahamu BILIONEA Freeman Mbowe anao uwezo wa kulipa mshahara wa watendaji wote wa ccm nchi nzima kwa kipindi cha miaka 10 bila kutetereka , hii ni pamoja na wafanyakazi wote wa makao makuu , akiwemo Kinana na Mwenyekiti wake ( ikumbukwe kwamba ana kofia 2 , hivyo analamba huku na huku ) , bila kusahau wafanyakazi wa redio na gazeti la uhuru .
Mkuu kwenye nchi zenye maadili sahihi, Mbowe alitakiwa kuwa ameshajiuzulu ile nafasi aliyonayo.

Kwa sasa hana tena moral authority ya kuongelea ufisadi wa aina yoyote ile.
 
Back
Top Bottom