Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,473
- 13,624
Hili ni Jukwaa la siasa, wewe unaleta mahaba ya kisiasa kwa kutumia kivuli cha sheria!!Nimeelewa kumbe hujui sheria na unaingiza siasa
Mmiliki wa vyote viwili ni mmoja, na iwapo kwa bahati mbaya litaibuka zoezi la mtu kufilisiwa, ataumia huyo huyo ambaye jina lake linajitokeza sehemu zote mbili.