Ila Mbowe mwenyewe ulisema issue hii ni ya kisiasaAnayedaiwa ni Mbowe Hotels na sio Freeman Mbowe.......kisheria kuna tofauti na haihusiani na siasa.
Ila Mbowe mwenyewe ulisema issue hii ni ya kisiasaAnayedaiwa ni Mbowe Hotels na sio Freeman Mbowe.......kisheria kuna tofauti na haihusiani na siasa.
Ila Mbowe mwenyewe ulisema issue hii ni ya kisiasa
Kwa nini Mbowe analalamika kuwa anafanyiwa fitina kwenye biashara kwa sababu za kisiasa ilihali si mdaiwa?Anayedaiwa ni Mbowe Hotels na sio Freeman Mbowe.......kisheria kuna tofauti na haihusiani na siasa.
Mbowe alishamalizwa kisiasa na Kikwete mwaka 2005 alipobwagwa kwa kura 80%, uko wapi wewe? Umelala?
Alipe kodi na deni na asituletee ujinga.
Hiyo kampuni ndiyo inampa yeye kula....ikifa na yeye hoi.Anayedaiwa ni Mbowe Hotels na sio Freeman Mbowe.......kisheria kuna tofauti na haihusiani na siasa.
umemuuliza swali zuri sana akirudi kukupa jibu sahihi ukaridhika nalo mwambie aje nimzawadie fulana yenye maneno 'malofa katika ubora wao'Kwa nini Mbowe analalamika kuwa anafanyiwa fitina kwenye biashara kwa sababu za kisiasa ilihali si mdaiwa?
Haya ndiyo mahesabu ya CCM kummaliza Mbowe na upinzani nchini. Mbona kina Diallo wanadaiwa? Watu wamekwapua mabilioni ya Escrow wamenyamaziwa!
Ni kweli kabisa. Kwanza Mbowel Hotels si mali ya Freeman Mbowe pekee yake. Wamiliki wake wako zaidi ya 20, waliyorithi toka kwa Mzee Mbowe Ingalikuwa ni ya Freeman Mbowe pekee yake wala haingekuwa shida na deni hilo angalikuwa ameshalilipa zamani maana ukwasi anao. Hako ni kadeni kadogo sana kwa KUB Mbowe. Tatizo si mali yake pekee na hana mpango wa kuwasaidia hao wenzake unless wakubaliane wamwachie iwe yake pekee kama atalipa hiyo fedha. Yaani hii kwake ni fursa ya kuwa kick off warithi wenzake kwenye hiyo mali. Ni mjanja sana kwenye mambo ya fedha.Anayedaiwa ni Mbowe Hotels na sio Freeman Mbowe.......kisheria kuna tofauti na haihusiani na siasa.
Sichelewi kuwaita wapuuzi watu kama wewe, majuzi tuu hapa mumeandika thread zaidi ya mia kuwa Mbowe ni tajiri sana kauza chama kwa mabilioni ya fedha sasa mbona Leo tena mnasema atafikisiwa kwa vile kashindwa kulipa hiyo bilioni moja? Hapo inaonyesha mlivyo wajinga sawa na ng'ombe anayekunya huku nyuma lakini mbele anakula majani.Hiyo kampuni ndiyo inampa yeye kula....ikifa na yeye hoi.
Vyote viwili vinalo jina Mbowe na upo uhusiano.Anayedaiwa ni Mbowe Hotels na sio Freeman Mbowe.......kisheria kuna tofauti na haihusiani na siasa.
Vyote viwili vinalo jina Mbowe na upo uhusiano.
Mkuu kwenye nchi zenye maadili mema, hivi sasa Mbowe asingekuwa na cheo alichonacho sasa ndani ya CDM.
Nasikia Directors ni Mr. & Mrs. Ukishakua Public/political official wewe na familia yako na mali zako ni kama kioo cha jamii. Be prepared to be scrutinised to the dot. Public have that irrevocable rights.Anayedaiwa ni Mbowe Hotels na sio Freeman Mbowe.......kisheria kuna tofauti na haihusiani na siasa.
Sasa kwanini alilalamika kwa kuondolewa Billcanaz?...wacha kurusha miguu kama 'kuku anayekata roho!' unaweza kumtenganisha Mbowe na Mbowe hotels?...Mbowe ni Shareholder wa Mbowe hotels...na kuna mabo yanahitaji director guarantee!Mimi nimeongelea suala la ufilisi halina siasa. Sijazungumzia hatua zilizochukuliwa na NHC, Ikithibitika kiseria atayefilisiwa ni Mbowe Hotels nadhani unaelewa maana na consequences za kuwa mufilisi.
Jibu kuntu sana!.Nasikia Directors ni Mr. & Mrs. Ukishakua Public/political official wewe na familia yako na mali zako ni kama kioo cha jamii. Be prepared to be scrutinised to the dot. Public have that irrevocable rights.
Nasikia Directors ni Mr. & Mrs. Ukishakua Public/political official wewe na familia yako na mali zako ni kama kioo cha jamii. Be prepared to be scrutinised to the dot. Public have that irrevocable rights.
Kwani mbowe anafanya kazi TANAPA si nilidhani TANAPA inahusu mbuga za wanyama???Tanapa wakiambiwa mbowe ni msanii wanabisha
Kwa chama chenye demokrasia ya kweli,mbowe alitakiwa ajiuzulu kwa kuabisha chama