MABOGOJOHA
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 541
- 427
Dawa ya deni ni kulipa
Hizi ndio dalili za kumfanyia Mbowe "Harambee" sasa kwa madai ya kuwadanganya wanachadema kwamba ccm inataka kummaliza, wakati mnajua fika kuwa anadaiwa na NHC.Haya ndiyo mahesabu ya CCM kummaliza Mbowe na upinzani nchini. Mbona kina Diallo wanadaiwa? Watu wamekwapua mabilioni ya Escrow wamenyamaziwa!
MIND YOUR OWN BUSINESS!Mbowe kufilisiwa!
Tahadhari za makusudi zisipchukuliwa huenda Ndugu Mbowe akafilisiwa ili kulipa malimbikizo ya deni la pango linalofikia takribani bilioni 1.7 za kitanzania.
Baada ya kesi mahakama kuu kuipa kuhalalisha uamuzi NHC kumfurusha kwenye nyumba yake ni dhahiri sasa kinachofuata ni kulipa deni (Sh.1.7 B) +Gharama za dalali (angalau 8% ya deni) + Adhabu za kuchelewesha kodi + gharama za kesi + gharama za kuondoa vitu kwenye jingo + gharama nyinginezo korti itakazoona zinafaa. Mzigo huu si mdogo kwa Mbowe.
Rufaa;
Kuna tetesi kuwa atakata rufaa mahakama ya rufaa japo hiyo itakuwa sawa na kuahirisha maumivu na kuongeza gharama zisizokuwa na msingi kwani dawa ya deni ni kulipa na namba haziongopi.ushahidi wa mikataba ya pango,demand notice,barua za Mbowe hotels kwenda NHC zote zinathibitisha deni hilo. Hii itakuwa ni sawa na ‘mateke ya mwisho mwisho ya punda anayekata roho’.
Nini kifanyike?
Aka echini na NHC kuandaa mpango wa kulipa deni kwa awamu huku akitafuta wateja wa baadhi ya mali zake kulipia deni hilo. Lazima tukiri tu kuwa biashara nyingi za Mbowe haziwezi kulipa deni hilo labda kwa kutuimia fedha alizoficha nje ya nji kama ilivyowahi kuripotiwa na baadhi ya magazeti ndani na nje kipindi cha uchaguzi mkuu 2015. Ikumbukwe pia kupitia hoteli za familia yao wana madeni NSSF ambayo yanasuasua na kuna kipindi siku za nyuma alilazimika kwenda mahakamani kuomba mali zake zisiuzwe.
Pili, Mbowe ni lazima atumie mwanya wa ‘ufubavu’ wa uelewa wa wafuasi wake ambao amewadanganya kuwa kesi hiyo ni ya kisiasa ili kupata huruma. Hapa fursa iliyopo ni kukitwisha chama mzigo wa deni, kulipa kwa ruzuku na misaada ya wahisani. Hapa atumie propaganda kuwa ‘’sina bei’..’ hata wakinisingizia madeni wanachama wa chadema wapo radhi kulipa ili kupata ukombozi’’, hapa aanzishe kampeni za kukusanya michango mbalimbali kupitia mitandao na harambee. Kadri anavyochelewa ndivyo wanachama watashituka na mabadiliko ya mwenyekiti yanaweza yakawa ‘kaburi’ lake kisiasa kwani hatakuwa na pakushika.
Ni dhahiri madeni haya hayatamuacha salama kisiasa kwani hatokuwa na ‘moral authority’ kukemea wanasiasa wengine waliokwapua fedha kwenye mashirika ya umma na kushindwa kurudisha. Ushawishi wake umekwisha kilichobaki ni ubunge na uenyekiti kama alivyo raisi Zuma wa Afrika kusini amebakiza uraisi tu ila si ushawishi kisiasa.
Naomba tujadili kwa kina na si kutoa matusi na kudhalilishana. Hoja kwa hoja!.
Mbowe ajiuzulu haraka....
.,...huna kazi za kufanya kila siku Chadema Chadema ...ugumbalism Hatari sana.....
Hiyo kampuni ndiyo inampa yeye kula....ikifa na yeye hoi.
kwahiyo asidaiwe kwakuwa diallo anadaiwa...CHADEMA kimevamiwa kwakweli. nimekubali wagonjwa wa akili kweli wameongezeka.
Haya ndiyo mahesabu ya CCM kummaliza Mbowe na upinzani nchini. Mbona kina Diallo wanadaiwa? Watu wamekwapua mabilioni ya Escrow wamenyamaziwa!
Ndio maana kuna haja ya kupeleka muswada wa kuwatenganisha wafanyabiashara na wabunge na viongozi wa vyama na serikali, ili kumaliza manung'uniko ya Ku shift burden kutoka kudaiwa na NHC na kulifanya kana kwamba ni CCM eti ndio inamdai Mbowe!Mbowe ni mfanya Biashara mkubwa tuu so he will pay, ingawa hili swala linaonekana kutawaliwa na siasa. Ni jambo dogo tuu
Mbowe kufilisiwa!
Tahadhari za makusudi zisipchukuliwa huenda Ndugu Mbowe akafilisiwa ili kulipa malimbikizo ya deni la pango linalofikia takribani bilioni 1.7 za kitanzania.
Baada ya kesi mahakama kuu kuipa kuhalalisha uamuzi NHC kumfurusha kwenye nyumba yake ni dhahiri sasa kinachofuata ni kulipa deni (Sh.1.7 B) +Gharama za dalali (angalau 8% ya deni) + Adhabu za kuchelewesha kodi + gharama za kesi + gharama za kuondoa vitu kwenye jingo + gharama nyinginezo korti itakazoona zinafaa. Mzigo huu si mdogo kwa Mbowe.
Rufaa;
Kuna tetesi kuwa atakata rufaa mahakama ya rufaa japo hiyo itakuwa sawa na kuahirisha maumivu na kuongeza gharama zisizokuwa na msingi kwani dawa ya deni ni kulipa na namba haziongopi.ushahidi wa mikataba ya pango,demand notice,barua za Mbowe hotels kwenda NHC zote zinathibitisha deni hilo. Hii itakuwa ni sawa na ‘mateke ya mwisho mwisho ya punda anayekata roho’.
Nini kifanyike?
Aka echini na NHC kuandaa mpango wa kulipa deni kwa awamu huku akitafuta wateja wa baadhi ya mali zake kulipia deni hilo. Lazima tukiri tu kuwa biashara nyingi za Mbowe haziwezi kulipa deni hilo labda kwa kutuimia fedha alizoficha nje ya nji kama ilivyowahi kuripotiwa na baadhi ya magazeti ndani na nje kipindi cha uchaguzi mkuu 2015. Ikumbukwe pia kupitia hoteli za familia yao wana madeni NSSF ambayo yanasuasua na kuna kipindi siku za nyuma alilazimika kwenda mahakamani kuomba mali zake zisiuzwe.
Pili, Mbowe ni lazima atumie mwanya wa ‘ufubavu’ wa uelewa wa wafuasi wake ambao amewadanganya kuwa kesi hiyo ni ya kisiasa ili kupata huruma. Hapa fursa iliyopo ni kukitwisha chama mzigo wa deni, kulipa kwa ruzuku na misaada ya wahisani. Hapa atumie propaganda kuwa ‘’sina bei’..’ hata wakinisingizia madeni wanachama wa chadema wapo radhi kulipa ili kupata ukombozi’’, hapa aanzishe kampeni za kukusanya michango mbalimbali kupitia mitandao na harambee. Kadri anavyochelewa ndivyo wanachama watashituka na mabadiliko ya mwenyekiti yanaweza yakawa ‘kaburi’ lake kisiasa kwani hatakuwa na pakushika.
Ni dhahiri madeni haya hayatamuacha salama kisiasa kwani hatokuwa na ‘moral authority’ kukemea wanasiasa wengine waliokwapua fedha kwenye mashirika ya umma na kushindwa kurudisha. Ushawishi wake umekwisha kilichobaki ni ubunge na uenyekiti kama alivyo raisi Zuma wa Afrika kusini amebakiza uraisi tu ila si ushawishi kisiasa.
Naomba tujadili kwa kina na si kutoa matusi na kudhalilishana. Hoja kwa hoja!.
Yericko yuko wapi na Ben.. Maana wamekua watetezi wa madeni binafsi ya Mbowe
Jitu ongo na lisilo na aibu ww!Unamtofautishaje Mbowe na Mbowe hotels?!Anayedaiwa ni Mbowe Hotels na sio Freeman Mbowe.......kisheria kuna tofauti na haihusiani na siasa.
Km kina Mbowe!Ni Tanzania tu wakwepa kodi wakubwa wanabembelezwa!
Jitu ongo na lisilo na aibu ww!Unamtofautishaje Mbowe na Mbowe hotels?!
Malofa hayo yanajifanya matakatifu kumbe ni majizi na matapeli mkubwa!Wewe unatetea ujinga kwa maslahi yako bila kuangalia maslahi ya taifa. Tuachane na siasa alipe kodi.
Mbowe kufilisiwa!
Tahadhari za makusudi zisipchukuliwa huenda Ndugu Mbowe akafilisiwa ili kulipa malimbikizo ya deni la pango linalofikia takribani bilioni 1.7 za kitanzania.
Baada ya kesi mahakama kuu kuipa kuhalalisha uamuzi NHC kumfurusha kwenye nyumba yake ni dhahiri sasa kinachofuata ni kulipa deni (Sh.1.7 B) +Gharama za dalali (angalau 8% ya deni) + Adhabu za kuchelewesha kodi + gharama za kesi + gharama za kuondoa vitu kwenye jingo + gharama nyinginezo korti itakazoona zinafaa. Mzigo huu si mdogo kwa Mbowe.
Rufaa;
Kuna tetesi kuwa atakata rufaa mahakama ya rufaa japo hiyo itakuwa sawa na kuahirisha maumivu na kuongeza gharama zisizokuwa na msingi kwani dawa ya deni ni kulipa na namba haziongopi.ushahidi wa mikataba ya pango,demand notice,barua za Mbowe hotels kwenda NHC zote zinathibitisha deni hilo. Hii itakuwa ni sawa na ‘mateke ya mwisho mwisho ya punda anayekata roho’.
Nini kifanyike?
Aka echini na NHC kuandaa mpango wa kulipa deni kwa awamu huku akitafuta wateja wa baadhi ya mali zake kulipia deni hilo. Lazima tukiri tu kuwa biashara nyingi za Mbowe haziwezi kulipa deni hilo labda kwa kutuimia fedha alizoficha nje ya nji kama ilivyowahi kuripotiwa na baadhi ya magazeti ndani na nje kipindi cha uchaguzi mkuu 2015. Ikumbukwe pia kupitia hoteli za familia yao wana madeni NSSF ambayo yanasuasua na kuna kipindi siku za nyuma alilazimika kwenda mahakamani kuomba mali zake zisiuzwe.
Pili, Mbowe ni lazima atumie mwanya wa ‘ufubavu’ wa uelewa wa wafuasi wake ambao amewadanganya kuwa kesi hiyo ni ya kisiasa ili kupata huruma. Hapa fursa iliyopo ni kukitwisha chama mzigo wa deni, kulipa kwa ruzuku na misaada ya wahisani. Hapa atumie propaganda kuwa ‘’sina bei’..’ hata wakinisingizia madeni wanachama wa chadema wapo radhi kulipa ili kupata ukombozi’’, hapa aanzishe kampeni za kukusanya michango mbalimbali kupitia mitandao na harambee. Kadri anavyochelewa ndivyo wanachama watashituka na mabadiliko ya mwenyekiti yanaweza yakawa ‘kaburi’ lake kisiasa kwani hatakuwa na pakushika.
Ni dhahiri madeni haya hayatamuacha salama kisiasa kwani hatokuwa na ‘moral authority’ kukemea wanasiasa wengine waliokwapua fedha kwenye mashirika ya umma na kushindwa kurudisha. Ushawishi wake umekwisha kilichobaki ni ubunge na uenyekiti kama alivyo raisi Zuma wa Afrika kusini amebakiza uraisi tu ila si ushawishi kisiasa.
Naomba tujadili kwa kina na si kutoa matusi na kudhalilishana. Hoja kwa hoja!.