Jenga hoja na si kujikuna kuna.kama hujui si unyamaze tuu
80% sawa, ila watu milion 5 tu ndo waliomchagua
Hili nalo la kujivunia?
Hawa watu walimtusi Dr.Dau bila kujua ni jinsi gani anamsitiri bosi wao.Naam, mbona Mbowe hakuwapata hao? ana nini la kujivunia? madeni ya NHC na NSSF?
Na hizi ndizo mbinu anazotumia kufubaza akili zenu. Mumuone tajiri ili msihoji...endelea na ujinga.Nikawaida masikini kumzungumzia tajiri, umasikini kitu kibaya sana......
Naam, mbona Mbowe hakuwapata hao? ana nini la kujivunia? madeni ya NHC na NSSF?
Hujui ulisemalo....hivi hujui idadi ya watu imeongezeka?...nani kawafubaza akili zenu hizi...kwanini hamtaki kufikiri?2005 kwa Tanzania ilikuwa ni kipindi cha ujima tu, watu wengi hawakuwa well informed
Ila kura million tano sio za kushikia bango hizo
Kaka ako kikwete ni mtata sana lakini
Hujui ulisemalo....hivi hujui idadi ya watu imeongezeka?...nani kawafubaza akili zenu hizi...kwanini hamtaki kufikiri?
2005 kwa Tanzania ilikuwa ni kipindi cha ujima tu, watu wengi hawakuwa well informed
Ila kura million tano sio za kushikia bango hizo
Kaka ako kikwete ni mtata sana lakini
Ukiwa mwanasheriaLisu kamtosa rafiki yake hajaenda kumtetea
Mbowe anashindwaje na Mawakili wa Serikali wakati kuna Lissu wakili Msomi sana huko CDM?Ukiwa mwanasheria
Mzuri kuna kesi unazikataa kwa kuwa unaona kabisa utaaibika kwa kushindwa na unajua utashindwa
Mbowe alipata ngapi?
labda anajiandaa kutoa "msimamo wa chama".....na kuisifu mahakama kwa kutenda haki.Lisu kamtosa rafiki yake hajaenda kumtetea
Alileta hamasa kubwa ya demokrasia, kipindi kile wazee na wamama wanaenda kupiga kura wanaonyesha kadi ya ccm kwa karani, vijana walikuwa wakiona kupiga kura ni kama ushamba fulani hivi
Alishinda lakini sio km picha ulojenga kichwani![]()
Huyo hapo msanii wa kiwango