Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,882
- 828,452
Matangazo kidogo basijikite ndani ya hoja gentleman sio nje ya hoja 🐒
Matangazo kidogo basijikite ndani ya hoja gentleman sio nje ya hoja 🐒
Gwajiboy kawafanyia sana maombezi maalumu waamini wa aina hii ya kwenye tangazo lako gentleman.Matangazo kidogo basiView attachment 3457853
Gwajiboy kawafanyia sana maombezi maalumu waamini wa aina hii ya kwenye tangazo lako gentleman.
alikua mlevi mno kwenye hizo khabari 🐒
Mbona Trump.kaondoa walinzi wa Hallis.Camara na husemi,unaroho mbaya kama bibi yakoWalinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.
Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.
Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.
Unamshauri nini huyu muungwana?
Mungu Ibariki Tanzania.
Ushauri wa bure! usitanie watumishi wa Mungu hawataniwagi!Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.
Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.
Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.
Unamshauri nini huyu muungwana?
Mungu Ibariki Tanzania.
Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.
Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.
Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.
Unamshauri nini huyu muungwana?
Mungu Ibariki Tanzania.
Shauriana wewe na uchumi wako. Unakaa chumba kimoja lakini unaandika ujinga. Wewe ni ishara ya ujinga . Jinga kabisaWalinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.
Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.
Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.
Unamshauri nini huyu muungwana?
Mungu Ibariki Tanzania.
Hana makanisa nje ya nchi kama alivyowaongopea badala yake ana affiliates churches ambazo uhusika wake si wa moja kwa moja maana wamiliki ni wengineKwani makanisa ya nje ya nchi nayo yamefungwa?
Namshauri Dola haichezewi. Kama anabisha amuulize Elon Musk.Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.
Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.
Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.
Unamshauri nini huyu muungwana?
Mungu Ibariki Tanzania.
Wewe uache uchawanamuombea sana bishop aepushwe na kiburi nawe uache kuropoka 🐒
Wewe uache uchawanamuombea sana bishop aepushwe na kiburi nawe uache kuropoka 🐒