Huenda Bishop Gwajima kafilisika

Huenda Bishop Gwajima kafilisika

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,835
Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.

Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.

Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.

Unamshauri nini huyu muungwana?

Mungu Ibariki Tanzania.
 
walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.

Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.

kwa hali hiyo,
inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.
Unamshauri nini huyu muungwana?

Mungu Ibariki Tanzania.
Wewe shoga Nini? Jifikirie weee na future yako, mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe
 
Wewe shoga Nini? Jifikirie weee na future yako, mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe
Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.

Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.

Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.

Unamshauri nini huyu muungwana?

Mungu Ibariki Tanzania.
mbona hata Samia anategemea kodi zetu ili aishi
 
Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.

Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.

Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.

Unamshauri nini huyu muungwana?

Mungu Ibariki Tanzania.
Hiyo hoja yako Ina mchango gani zaidi ya kebehi na dhihaka?
 
Kapunguza kukuonga nini, itakua na wewe umepunguza kumkatikia viuno
 
Relax gentleman
Njoo tucheze darts hebu ji refresh
Kdg ubongo

Ova
 

Attachments

  • 20250829_123054.jpg
    20250829_123054.jpg
    357.3 KB · Views: 22
Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.

Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.

Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.

Unamshauri nini huyu muungwana?

Mungu Ibariki Tanzania.
Kwann Kanisa lilindwe na Vibinadamu kwani. Ilo. KANISA la Mungu au Binadamu!!?????
 
Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.

Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.

Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.

Unamshauri nini huyu muungwana?

Mungu Ibariki Tanzania.
Apige magoti ??!
Kufanya ibada au kuomba msamaha. ??!
Blackmail au ??!
🤣🤣🤣😄😅 🤷🏿‍♂️ !
 
Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.

Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.

Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.

Unamshauri nini huyu muungwana?

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.

Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.

Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.

Unamshauri nini huyu muungwana?

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Kwaiyo alivyowatetea watu wanaotekwa we uliona sio sawa kila kitu kina gharama zake ye ndo kalipa izo bado upande wa pili nao watalipa gharama zao
 
Back
Top Bottom