kibokilimani
Senior Member
- Jul 5, 2020
- 144
- 37
Hi ni kweli Ila watu wamegubikwa na ushabiki pasipo kuangalia maendeleo ya nchi ambapo yatakuwa na manufaa kwa vizazi vyetu.mfano gwajima alikuza vipaji kwa vijana waliomaliza form four na kufeli hii itafanya aliowasaidia kuwasaidia wengine kama sehemu ya shukran na fadhila inayoleta upendo na amani kwa wananchi.