Huduma za changudoa

Huduma za changudoa

Kalaghabao wee sijui uko dunia ya ngapi?condom hazizuii maambukizi ya vvu.Condom zinazuia magonjwa mengine ya ngono,mimba pia ila si vvu.Condoms zote zina vitobo vidogovidogo ambavyo ni ukubwa wa 1.5 na kirusi cha ukimwi kina ukubwa wa 0.5. Ukisurvive gonjwa na huku mzururaj shukuru rehema za Mungu si useme kondom umekusaidia.Tafuta mpenzi mmoja mwaminifu.Mshirikishe Mungu kama ni unaamin katika Mungu.Okay bye
Unaweza kufanya mapenzi na mwasirika bila kondomu na usipate mambukizi kupata ukimwi ni ngumu sana siyo rahisi naamini kondomu ni salama kwa 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kalaghabao wee sijui uko dunia ya ngapi?condom hazizuii maambukizi ya vvu.Condom zinazuia magonjwa mengine ya ngono,mimba pia ila si vvu.Condoms zote zina vitobo vidogovidogo ambavyo ni ukubwa wa 1.5 na kirusi cha ukimwi kina ukubwa wa 0.5. Ukisurvive gonjwa na huku mzururaj shukuru rehema za Mungu si useme kondom umekusaidia.Tafuta mpenzi mmoja mwaminifu.Mshirikishe Mungu kama ni unaamin katika Mungu.Okay bye
Ingekuwa hivyo mbona watu wengi sana wangekuwa na ngoma
 
Habari wadau?

Kwa kifupi ni kwamba biashara ya wakina dada kujiuza kwa sasa imeshamiri karibu kila kona ya nchi na kati ya wateja ni viongozi wa serikali na wengine wengi hata waliopo kwenye dolla. Ni wakati muafaka kabisa kwa serikali kuihalalisha kwa sababu pamoja na kuifanya illegal bado inashamiri kuliko biashara nyingi sana ambazo wakina dada/mama wanazifanya. Nchi kadhaa za Afrika wameamua kuruhusu baada ya kuona kuwa wanapoteza mapato mengi sana kwa kujaribu kuikwepa.

Hebu fikiria kidogo. Niliongea na dada mmoja (pale Sinza). Amepanga chumba guest house analipa sh.20,000 kwa siku ambayo kwa mwezi ni 600,000. Kwa siku anapata wateja kati ya 3-8 wa short time ambao wanamlipa kati ya 10,000 mpaka 30,000 kutegemea na ushamba wa mteja (maneno yake). Akipata wa usiku wote ni 50,000-100,000. Sasa kama angelipa 30% as tax unaweza ona kwa kiasi gani serikali ingepata hela.

Jingine ni kwamba huduma wanayotoa inahitajika, ukikaa pale utaona watu wanavyofurika kuchukua wadada poa. Kila dakika kuna mtu anaingia au gari inaondoka na mmoja.

Ishu yangu sasa ni hii. Kama biashara hii ingeruhusiwa kungekuwa na huduma za call girls kibao, wengine tusingepata tabu ya kutafuta walipo. Tungepiga simu tu unaletewa mzigo mpaka unapotaka. Faida yake ni kwamba, kwanza kasi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ingepungua!! Hawa mademu wa mtaani tunaofikiri ni decent ndio wanaotuua, kwa sababu anakuwa na wanaume kadhaa na sisi kwa kufikiri uko pekee, mkishakutana mara tatu nne unaacha kutumia kinga. (Wengi watajifanya hawajui ninachosema hapa lakini mioyo yao inawasuta).

Pili hawa mademu wa mtaani tunaowafanya wa kudumu ni very expensive kuwa-maintain, yet one day anakusaliti!!! Siwataki kabisa na nimeamua rasmi nikisikia muhemuko nachukua changudoa. (Wawili wamenilet down vibaya!! wa kwanza alishika mimba nikalea mpaka akajifungua miaka miwili baadae nikagundua mimba nilipakaziwa. wa pili nimedumu nae miaka minne sasa na yeye hivohivo - nitawapa story zao baada ya hili, yaani kama movie)

Nakaribisha maoni (na matusi kwa wale waliosomea). Sijali.
Aisee,nikiona stories za hivi huwa nawahurumia sana Wanadamu.Yaani mkuu unaliongea hili jambo as if ni jambo zuri na lisilo na shida yeyote mbele za Mungu.

Mkuu machangudoa wanayofanya si sahihi kabisa mbele za Mungu,na wengi wao wanajua.Sasa kuna tofauti gani ya changudoa na wewe unayeridhia na kwa hiyo kushiriki moja kwa moja katika uovu huo.It seems we have reached a point,where we cannot distinguish between good and evil.Very sad indeed,Mungu atuhurumie sana kwa kweli.
 
Hivi....Zile Difenda Zinazopitaga Kuwakusanya Usiku huwa Zinaishiaga Wapi?....Maana Baada Ya Hapo kesho Yake utakuta Wametanda mabarabarani...!
 
Ikiwa kwa dem unafuata tendo. Bac bora utafute ma dda poa
So tendo la dem na dada poa ni sawa?Dah,binadamu kwisha kabisa,hata wanyama hawajafika hapo.Umeshaona mnyama akimuingilia mnyama of the same sex,shameful indeed.
 
usithubutu tena kufanya hvyo kaka angu kiroho safi tu
miaka michache iliyopita binamu yangu alipiga simu kumripoti mtu kua ni muuza sembe,mamwela wakatia timu kwa yule mshkaji na defender bas wakamkuta jamaa maana walimkagua wakakutana nao
akawaambia ngoja nimwite mtu anaenieletea akampigia akafika alivyofika...!!!staki kusema ni nani ila maaskari wenyewe waliblow akawaambia huyu kijana wangu!
mamwe la wakamtaja binamu wakasema vp tumgeuze kesi...?!!
mshikaji alikua muungwana akasema msameheni bado mtoto hajui life
Noma sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom