utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
Hahahahahaaaaa nakubaliana na weee, juzi nilionyeshwa huo unga, aiseee Yaani ni kiduchu kweli jamaa anauza buku mbili. Nilitamani kupiga picha jamaa akamaind. Polisi nimewapigia weee hadi mkubwa wao lakini Mmmghhh
Mkuu utakuta mtu siku 3 tayari anamiliki gari hapa tz yapo mawili tu, ana nyumba tano na makorokoro kibao, ukiuliza kazi yake utakuta ana saloon na kiduka cha nguo tu......