Huduma za changudoa

Huduma za changudoa

Yaani tunavyoshauriana ujinga humu, kama tungeshauriana kwa wingi ili kuliondoa lidubwana linaloitwa CCM tarehe 25, tungekuwa mbali sana.
 
Yaani tunavyoshauriana ujinga humu, kama tungeshauriana kwa wingi ili kuliondoa lidubwana linaloitwa CCM tarehe 25, tungekuwa mbali sana.

Kazi na dawa mkuu, mbona nyinyiem wameshaondoka hao. Ukiona mtu mzima ameacha kunadi sera anaongelea mwili wa mtu mwingine huyo ni wa kuhurumiwa kama Matonya.
 
Nikiwa Kama Mchungaji, Namkea Mtoa Post,na Iyo Mada Naifuta Kwa Damu Ya Yesu, Ninaua roho Ya Uzinzi Ilyo Kwny Mada Kwa Jina La Yesu Kristo.

Nakuona Mchungaji umeingia huku kusaka kondoo au vipi?
 
Habari wadau?

Kwa kifupi ni kwamba biashara ya wakina dada kujiuza kwa sasa imeshamiri karibu kila kona ya nchi na kati ya wateja ni viongozi wa serikali na wengine wengi hata waliopo kwenye dolla. Ni wakati muafaka kabisa kwa serikali kuihalalisha kwa sababu pamoja na kuifanya illegal bado inashamiri kuliko biashara nyingi sana ambazo wakina dada/mama wanazifanya. Nchi kadhaa za Afrika wameamua kuruhusu baada ya kuona kuwa wanapoteza mapato mengi sana kwa kujaribu kuikwepa.

Hebu fikiria kidogo. Niliongea na dada mmoja (pale Sinza). Amepanga chumba guest house analipa sh.20,000 kwa siku ambayo kwa mwezi ni 600,000. Kwa siku anapata wateja kati ya 3-8 wa short time ambao wanamlipa kati ya 10,000 mpaka 30,000 kutegemea na ushamba wa mteja (maneno yake). Akipata wa usiku wote ni 50,000-100,000. Sasa kama angelipa 30% as tax unaweza ona kwa kiasi gani serikali ingepata hela.

Jingine ni kwamba huduma wanayotoa inahitajika, ukikaa pale utaona watu wanavyofurika kuchukua wadada poa. Kila dakika kuna mtu anaingia au gari inaondoka na mmoja.

Ishu yangu sasa ni hii. Kama biashara hii ingeruhusiwa kungekuwa na huduma za call girls kibao, wengine tusingepata tabu ya kutafuta walipo. Tungepiga simu tu unaletewa mzigo mpaka unapotaka. Faida yake ni kwamba, kwanza kasi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ingepungua!! Hawa mademu wa mtaani tunaofikiri ni decent ndio wanaotuua, kwa sababu anakuwa na wanaume kadhaa na sisi kwa kufikiri uko pekee, mkishakutana mara tatu nne unaacha kutumia kinga. (Wengi watajifanya hawajui ninachosema hapa lakini mioyo yao inawasuta).

Pili hawa mademu wa mtaani tunaowafanya wa kudumu ni very expensive kuwa-maintain, yet one day anakusaliti!!! Siwataki kabisa na nimeamua rasmi nikisikia muhemuko nachukua changudoa. (Wawili wamenilet down vibaya!! wa kwanza alishika mimba nikalea mpaka akajifungua miaka miwili baadae nikagundua mimba nilipakaziwa. wa pili nimedumu nae miaka minne sasa na yeye hivohivo - nitawapa story zao baada ya hili, yaani kama movie)

Nakaribisha maoni (na matusi kwa wale waliosomea). Sijali.

Ukweli wengi huwa wanaukubali kimoyo moyo hadharani utawasikia wakikashifu .
 
daah,,nimetoka kupga lakin cjafaidi demu kanipeleka kwenye gest iko ndai hapa kona baa lakini chumba kilikua na harufu ya kinyesi balaa
 
Aiseee hii ni bonge la biashara wakati ule naanza kutoa wazungu nimewanunua sana mitaa ya Kimboka buguruni.
 
wewe usituhalalishie laana kwny taifa jst b.coz ni pesa bac hata za kishetani zipokelewe ingekuwa mdogo ako anajiuza je ungepigia debe?kama huna la kuongea hata kukaa kimya ni busara pia.
 
Hiyo ni kitu ambacho haikubaliki kwenye jamii. Vp mkeo akitaka kwenda aongeze kipato cha familia utamruhusu? nijibu.
 
Habari wadau?

Kwa kifupi ni kwamba biashara ya wakina dada kujiuza kwa sasa imeshamiri karibu kila kona ya nchi na kati ya wateja ni viongozi wa serikali na wengine wengi hata waliopo kwenye dolla. Ni wakati muafaka kabisa kwa serikali kuihalalisha kwa sababu pamoja na kuifanya illegal bado inashamiri kuliko biashara nyingi sana ambazo wakina dada/mama wanazifanya. Nchi kadhaa za Afrika wameamua kuruhusu baada ya kuona kuwa wanapoteza mapato mengi sana kwa kujaribu kuikwepa.

Hebu fikiria kidogo. Niliongea na dada mmoja (pale Sinza). Amepanga chumba guest house analipa sh.20,000 kwa siku ambayo kwa mwezi ni 600,000. Kwa siku anapata wateja kati ya 3-8 wa short time ambao wanamlipa kati ya 10,000 mpaka 30,000 kutegemea na ushamba wa mteja (maneno yake). Akipata wa usiku wote ni 50,000-100,000. Sasa kama angelipa 30% as tax unaweza ona kwa kiasi gani serikali ingepata hela.

Jingine ni kwamba huduma wanayotoa inahitajika, ukikaa pale utaona watu wanavyofurika kuchukua wadada poa. Kila dakika kuna mtu anaingia au gari inaondoka na mmoja.

Ishu yangu sasa ni hii. Kama biashara hii ingeruhusiwa kungekuwa na huduma za call girls kibao, wengine tusingepata tabu ya kutafuta walipo. Tungepiga simu tu unaletewa mzigo mpaka unapotaka. Faida yake ni kwamba, kwanza kasi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ingepungua!! Hawa mademu wa mtaani tunaofikiri ni decent ndio wanaotuua, kwa sababu anakuwa na wanaume kadhaa na sisi kwa kufikiri uko pekee, mkishakutana mara tatu nne unaacha kutumia kinga. (Wengi watajifanya hawajui ninachosema hapa lakini mioyo yao inawasuta).

Pili hawa mademu wa mtaani tunaowafanya wa kudumu ni very expensive kuwa-maintain, yet one day anakusaliti!!! Siwataki kabisa na nimeamua rasmi nikisikia muhemuko nachukua changudoa. (Wawili wamenilet down vibaya!! wa kwanza alishika mimba nikalea mpaka akajifungua miaka miwili baadae nikagundua mimba nilipakaziwa. wa pili nimedumu nae miaka minne sasa na yeye hivohivo - nitawapa story zao baada ya hili, yaani kama movie)

Nakaribisha maoni (na matusi kwa wale waliosomea). Sijali.

Wewe endelea kujiuza tu huku ukisubiri nguruwe awe safi kwa muislam. Serikali haihitaji pesa haramu ili kuwalipa mishahara watumishi wake ambao wengi wao ni wacha-Mungu.

Huo ushoga na ukahaba wako ndio ulipelekea nchi za sodoma na ghomora kushushiwa laana iliyosababisha maangamizi.
Ninyi ndio HIV+ mnaotafuta wa kuwaambukiza, hivyo mnataka mmpewe uhalali ili muendelee kuwasambazia wengine.

Haiingii akilini eti ukahaba uhalaishwe kwa kuwa tu bado unafanyika! Kama ndivyo, je hata biashara ya madawa ya kulevya ihalalishwe kwa sababu watu bado wanaifanya kwa kificho?
 
kabla hatujahalalisha...wenye ukimwi wote wawekewe alama
 
unaenda kumnunua binadamu mwenzio!!!? sio fea kabisa, unaweka gap kati walionacho na wasionacho.... tafuta wako mtulizane
Sio kununua bali kukodi.. Emu jaribu kuijustify "mahari" kama kweli unataka kuongelea kumnunua binadamu mwenzio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom