Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,208
- 1,077,404
Nafurahisha baraza tu Kasie matata . Never take me seriously here... JF for me is a place to rewind and decompressAahahahahhaaa hujakutana na watu watakwambia, hiyo ni sawa na bia za kunywea nyumbani sio tamu hata chipsi yai za kukaanga nyumbani na mafuta ya olive oil si tamu kama chips vumbi na kachumari na chachandu.
Hongera kwa mpenda, kumjali na kumlinda wakwako.
Kasinde.