mrMaco
Member
- Jun 19, 2020
- 87
- 154
Habari zenu wadau
Hivi hawa Posta Tanzania wanatumia usafiri gani kusafirisha package kwa EMS?
Dah kwa kweli wanaboa sana sasa sijui wanazibeba bahasha kweenye mkokoteni ata sielewi...
Hivi bahasha inakaaje siku tano haijafika kwenye destination mpaka ikutwe na deadline juu kwa juu.
Nimetuma bahasha tangu tar 02/11 mpaka leo tarehe 7 bahasha bado ipo njiani kwa kweli waangalie utaratibu mweengine wakusafiririsha maana huuu upo too slowly..
Hivi hawa Posta Tanzania wanatumia usafiri gani kusafirisha package kwa EMS?
Dah kwa kweli wanaboa sana sasa sijui wanazibeba bahasha kweenye mkokoteni ata sielewi...
Hivi bahasha inakaaje siku tano haijafika kwenye destination mpaka ikutwe na deadline juu kwa juu.
Nimetuma bahasha tangu tar 02/11 mpaka leo tarehe 7 bahasha bado ipo njiani kwa kweli waangalie utaratibu mweengine wakusafiririsha maana huuu upo too slowly..