Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huawei y300-0100
imei: 863522026943638
  • Fanya malipo, ili upate unlock codes
  • Namba za malipo | tiGo 0717 54 57 62 ; AirTel 0784 496 856 ; Voda 0768 92 48 41
  • Baada ya kufanya malipo nijulishe kwa sms kuwa wewe ni Edgarcoco
  • KARIBU
 
Last edited by a moderator:
iPhone 3gs ios 6.1.6, bb 06.15.00 baada ya ku update na jailbreak still inatatizo la NO SERVICE/SEARCHING.....
Ni hudumie

..kawaida iPhone baada jailbreak hatua inayofuata lazima ipoteze NETWORK. Hivyo sisi tunahudumia matatizo ambayo matatizo ya mwanzo kwamteja na sivingine. Kama ulishafanya jailbreak sehemu nyingine hapa hatutatoa maelekezo nini ufanye.
 
Mkuu mimi nina samsung galaxy not3 imefuta imei niko mwanza jamaa wameshindwa je mtaalam unanisaidiaje hapo
 
Mkuu mimi nina samsung galaxy not3 imefuta imei niko mwanza jamaa wameshindwa je mtaalam unanisaidiaje hapo
  • Inawezekana kurudisha IMEI number
  • Ila sharti simu yako iwe Rooted
  • NBa pia lazima isiwe network locked
  • Kuna apps. ambazo inatakiwa uweke kwanza kwenye simu yako na kufuata maelekezo jinsi ya kufanya
Tumia hizi keyword katika GooGle search ili uweze fanikisha hilo.
  • "How to Recover IMEI in your Samsung Galaxy note III"
  • site:youtube.com "How to Recover IMEI in your Samsung Galaxy note"
​Copy hayo maandishi [colored] na paste kwenye google.com
​KARIBU
 
Mim natumia lg e405 ss natumia lin zot za TZ hii ipo poa au nikienda nje ya nch itazingua locked,msaad
 
  • Je simu yako ni ya NOKIA, LG, MOTOROLA au HUAWEI na inatumia laini moja?.
  • Je ukiweka laini tofauti simu inakutaka uweke unlock codes?

Kama jibu ni ndio basi hii thread inakuhusu. Karibu

Je ni Jinsi gani ya kufungua(unlock) simu kwa kutumia unlock codes?

  • Kufungua(unlocking) simu kwa kutumia codes ni rahisi sana. Ili kupata unlock code kwa ajili ya simu inatakiwa utoe IMEI namba ya simu. Andika kwenye simu yako * # 06 # au kwa kuondoa betri kutoka kwenye simu yako utakuta IMEI namba imeandikwa.
gwbuFY

Je kipi nifanye ili kupata hizo unlock code za simu yangu?
  • Fuata hizi hatua:
1. Nipatie model and brand mfano: Nokia N97 au HUAWEI ASCEND Y300, na IMEI number yako tu, kwenye comment ya hii thread
2. Nitakujibu comment kwa kuainisha gharama ya unlock code kwa simu yako.kumbuka Kila aina ya simu ina gharama yake.
3. Utafanya malipo ili kupata unlock code yako.
4. Muda wa kupata unlock code ni ndani ya masaa mawili (2) hadi 24(siku moja) inategemeana na aina ya simu yako.

Je ni simu zipi zinahusika katika hii huduma?

  • Ni zile tu ambazo ukiweka laini nyengine tofauti, mfano yaweza kuwa ni simu yako ni NOKIA, LG, MOTOROLA, HUAWEI,nk,ila inakutaka uingize unlock codes. Hii haihitaji uende ofisini kwa fundi ni wewe mwenyewe mahala ulipo unaweza fanyia unlocking simu yako. Kwa kuingiza unlock code ulizo nunua.

Kwa nini simu yako inapaswa kuwa unlocked?

  • Simu ambayo ni unlocked utaweza kuitumia kwenye mitandao mingine. Pia baada ya kusafiri nje ya nchi utaweza kuitumia kwenye mitandao na nchi husika. Vile vile ili Kuongeza thamani ya simu yako
kwa sababu inaweza kutumika kwa laini za simu tofauti tofauti.

Je, ni salama ku unlock simu yako kwa kutumia code itokanayo na IMEI namba yako?

  • Kufungua(unlocking) kwa njia ya code ni salama kabisa na ndio njia ipendekezwayo zaidi. Simu yako itakuwa salama bila kuathiri muundo wake wa programu. Pia hizi code hutokana na watengenezaji wa simu husika wenyewe.
----------------------------------------------------------------
XWPok8

UNLOCK SASA SIMU YAKO PENDWA YA HUAWEI
Y530 NA Y330 KWA TSH 25'000 TU, ILI UTUMIE LAINI YEYOTE ILE

UTAPATA CODES ZAKO NDANI YA SAA 24
---------------------

33psQc
u9usNn

----------------------------

Mawasiliano:
Mwl.RCT
>> Whatsapp # 0784 496 856

>> Skype #: Mw1rct

>> tigo #: 0717 54 57 62

>> Voda #: 0768 92 48 41

>> Airtel #: 0784 496 856

Kwa Wakazi wa Mwanza tu Piga hii simu: 0787 921 515 { Eraldius } Ili kufika katika ofisi yetu.
Karibuni Sana kwa huduma bora na ya hakika.
--------------
HUDUMA NYINGINE

>>| Ninauza QSAT Q23G > Click Haya Maandishi | Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

>>| 3 Month CCCAM account for all qsat model

VPN SERVICE
>> | TunnelGuru & PD Proxy [ Official Tanzania authorised Reseller ]




Shukrani kwa taarifa yako. Kuna mengi ya mbinu inapatikana kwa kufungua simu ya mkononi. Lakini i wameamua kufungua code mbinu. I got code kufungua kutoka kwenye tovuti hii Simpleunlocking.com kisha unlocked simu yangu kwa urahisi.
 
embu jaribu hizi 20014153
afu nipe jibu kama zmefanya kaz Edgarcoco
  • HUAWEI ASCEND unlock codes huwa ni 16 digits
  • Mfano wake ni kama huu | SIM network unlock PIN: 150 230 101 243 8103 [ Bila space kati ya namba ]
  • ANGALIZO kwa wamiliki wa simu za HUAWEI | Kuingiza namba/ codes zisizo sahihi husababisha SIMBLOCK, na simu haitoweza kusoma laini ya aina yeyote tena
KARIBU
 
Mkuu nina simu Nokia Lumia 820 iko locked uk network, imei namba 354105054509855 unawza kuifungua? Asante
 
Mkuu nina simu Nokia Lumia 820 iko locked uk network, imei namba 354105054509855 unawza kuifungua? Asante
√ Inawezekana
√ Je ipo locked kwa mtandao gani.?
 
Unlock Huawei Y530
IMEI 869563011830227
 

Attachments

  • 1411625531457.jpg
    1411625531457.jpg
    9.5 KB · Views: 187
Unlock Huawei Y530
IMEI 869563011830227
  • Habari yajo ndugu jmaginga
  • Cost ya halama ni TSH 25'000/-
  • Utaratibu wa kupata huduma ni kama nilivyoelekeza hapo juu. KARIBU
Je kipi nifanye ili kupata hizo unlock code za simu yangu?

  • Fuata hizi hatua:

1. Nipatie model and brand mfano: Nokia N97 au HUAWEI ASCEND Y300, na IMEI number yako tu, kwenye comment ya hii thread
2. Nitakujibu comment kwa kuainisha gharama ya unlock code kwa simu yako.kumbuka Kila aina ya simu ina gharama yake.
3. Utafanya malipo ili kupata unlock code yako.
4. Muda wa kupata unlock code ni ndani ya masaa mawili (2) hadi 24(siku moja) inategemeana na aina ya simu yako.
 
Last edited by a moderator:
mkuu 195,000 laini moja

ku unlock 25000

Dukani laini zote ni 220000 wapi usawa



laini moja tigo 130,000 single laini

ku unlock 10,000

dukani laini zote 140,000 au 150,000.
 
mkuu 195,000 laini moja

ku unlock 25000

Dukani laini zote ni 220000 wapi usawa



laini moja tigo 130,000 single laini

ku unlock 10,000

dukani laini zote 140,000 au 150,000.
  • Habari yako ndugu
  • Je unaushauri gani kwa ndugu zetu, jamaa zetu wenye simu za laini moja.?
 
Thanx nimeweza ku-unlock Huawei y530 sasa naweza kutumia mitandao yote.
 
Back
Top Bottom