Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Nani anaweza nisaidia kutoa airplan(flight mod) nokia lumia 630.
Pia nina nokia lumia 520 ambayo haiwaki kwa sababu nilirestor simu ikazima kabla ya kumaliza sasa tatizo lililo ibuka kukiiconnect chaja inakuletea maneno haya Reboot agence.
 
Nani anaweza nisaidia kutoa airplan(flight mod) nokia lumia 630.
Pia nina nokia lumia 520 ambayo haiwaki kwa sababu nilirestor simu ikazima kabla ya kumaliza sasa tatizo lililo ibuka kukiiconnect chaja inakuletea maneno haya Reboot agence.
Ishu ya flight mode ni ishu ya hardware ní ngumu sana kuitibu. Hata mm nna nokia yangu imekuwa kama Ipod
 
Ishu ya flight mode ni ishu ya hardware ní ngumu sana kuitibu. Hata mm nna nokia yangu imekuwa kama Ipod
mkuu mbona kama unanikatisha tamaa inamaana simu yangu nitaitumia kama mp3 play tu hata nikiituma Dar kwa wajuzi haita pona. Maana mafundi wote wa huku mkoani wameshindwa. Nifanyeje sasa wakati simu sina mda nayo toka nimeinunua.
Huwa kuna ujumbe simu inaleta ambao ndio huu(Hello! To get the most from your mew phone go to windowsphone.com/hello.
If you're coming from another phone, go to
windowsphone.com/switch to get help moving stuff over from your old phone.)
Mkuu huo ndo ujumbe huwa unakuja kwenye simu. Nisaidie hata kimawazo namna ya kutoa flight mode
 
Ishu ya flight mode ni ishu ya hardware ní ngumu sana kuitibu. Hata mm nna nokia yangu imekuwa kama Ipod
mkuu mbona kama unanikatisha tamaa inamaana simu yangu nitaitumia kama mp3 play tu hata nikiituma Dar kwa wajuzi haita pona. Maana mafundi wote wa huku mkoani wameshindwa. Nifanyeje sasa wakati simu sina mda nayo toka nimeinunua.
Huwa kuna ujumbe simu inaleta ambao ndio huu(Hello! To get the most from your mew phone go to windowsphone.com/hello.
If you're coming from another phone, go to
windowsphone.com/switch to get help moving stuff over from your old phone.)
Mkuu huo ndo ujumbe huwa unakuja kwenye simu. Nisaidie hata kimawazo namna ya kutoa flight mode
 
Unlock Code: 246 73 215

Iwashe ikiwa na laini tofauti

Itafunguka hii Page - 192.168.1.1/simlock.asp
Ingiza hizo Code. Done

Itanigharimu kiasi gani?

  • Only 10'000 kwa tigopesa 0717 54 57 62 au airtelmoney 0784 496 856
  • Karibu

Msaada wa ku unlock
Huawei Mobile Wifi ya tigo e5221
Model: e5221s-2
 
habari wakuu naomba msaada wakuiweka network ya android tecno L2 kwani nikiweka simcard inasearch tu mwanzo mwisho na inaandika network not available .....je hapa yapaswa nifanue nini?

naomba mwingozo wakuu
 
Vipi mtu akiwa na simu ya iPhone na anaitaji uduma hiyo inawezekana kama inawezekana Naomba Namba zako
 
Nna Lg G5, US 992. Niliigiza kutoka China. Shida yake ni kwamba ilipofika niliweka SIM card ikasoma na nikaweza kutuma txts na kupiga simu, ila haikuweza kuconnect data. Katika harakati za ku angaika na data ikaacha kudetect SIM card. Kila nikiweka SIM card, inaandika "EMERGENCY CALLS ONLY". Msaada wa nini cha kufanya kwa mwenye uzoefu.


Cc Mwl.RCT
 
We jamaa unatisha hujawahi niangusha ahsante kwa uaminifu wako
 
Back
Top Bottom