Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

boss je iPhone 5c
Inawezekana iwapo una hizi taarifa
- Uwe na itune/icloud accout yake - Sababu unlock code utazipata kama update kupitia accout yako.
- Clean IMEI
- Ujue ilikuwa ikitumika katika mtandao gani awali

karibu
 
Mkuu kuna simu ya huawei ascend Y300-0100 inaandika unlock SIM BLOCK.

Hiyo itagharimu kiasi gani kunlock mkuu.
 
Hivi na router za halotel R6601 ku unlock itumie mitandao yote inawezekana?
 
Unaweza ku Unlock na ZTE fm65m1 ??
 

Attachments

  • 1501388771949.jpg
    1501388771949.jpg
    159 KB · Views: 121
  • IMG_20170730_122942_HDR.jpg
    IMG_20170730_122942_HDR.jpg
    144.8 KB · Views: 103
blackberry 8310
PRD 14187-035
imei 354005025472284
Ni ya o2
 
Mkuu hiyo bei yako imenishinda bora ni unlock huku niliko na ni less than £10
 
TECNO S1 ya tigo nikiweka line tofauti haidai code, hii tunaweza unlock bila kufika ofisini?
 
TECNO S1 ya tigo nikiweka line tofauti haidai code, hii tunaweza unlock bila kufika ofisini?
Waone mafundi simu kariakoo iwapo upo DSM, Wataishughulikia hiyo simu.
 
Nina iphone s5
- Je unazo login info za itune/ icloud za hiyo simu?
SINA MKUU, JE KUNA NJIA MBALA WA KUWEZA ITUMIA??? KUTOA ICOULD NA ITUNE???
ASANTE NA HERI YA 2018
 
Back
Top Bottom