man xule
Member
- Aug 14, 2016
- 27
- 11
Mkuu naomba nijuze mazala ya kuweka imei number azalan no yap?Natoa Tahadhali msiweke imei za simu zenu hadharani
Mkuu naomba nijuze mazala ya kuweka imei number azalan no yap?Natoa Tahadhali msiweke imei za simu zenu hadharani
azalan ndio wapi mkuu?Mkuu naomba unieleweshe mazala yakuweka imei number azalan?
inawaza tumika kwenye simu nyingine halafu zote zika zimwa na TCRAMkuu naomba nijuze mazala ya kuweka imei number azalan no yap?
Asante mkuuinawaza tumika kwenye simu nyingine halafu zote zika zimwa na TCRA
Na iphone je?
YOYOTE ILENa iphone je?
Ngoja niingie ofisini will send you the infoAngalia kwenye stika je mtengeneza ji ni nani wa hiyo Mi-Fi
- Ni ZTE
au
- Ni HUAWEI
Nipe info zake kwenye PM
I have already PMd you sir.Angalia kwenye stika je mtengeneza ji ni nani wa hiyo Mi-Fi
- Ni ZTE
au
- Ni HUAWEI
Nipe info zake kwenye PM
Kwa simu zote za huawei kwa sasa zinahitaji 'software unlock' , Unlock codes hazipatikani kama ilivokuwa awali.hukunifungulia ni huawei y3II ya Tigo ama tatizo lilikuwa wapi?