Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

habar mkuu
nina Microsoft RM 1074 IMEI-35861606000612, imelokiwa na mtandao wa Australia Telstraone unaweza kui unlock?
 
habar mkuu
nina Microsoft RM 1074 IMEI-35861606000612, imelokiwa na mtandao wa Australia Telstraone unaweza kui unlock?
Pls recheck IMEI number, umeweka 14 digits.
 
habar mkuu
nina Microsoft RM 1074 IMEI-35861606000612, imelokiwa na mtandao wa Australia Telstraone unaweza kui unlock?
Taarifa za simu yako

IMEI: 358616060006120
Product code: 059X2H3
Internal name: RM-1074
Model: Microsoft Lumia 640 LTE
TELSTRA AU factory locked

Kitu cha kuzingatia - Unlock Attempt zisiwe zimeisha

check_lumia_locked_and_unlock_counter.gif


Price
: 70'000
Waiting Time: 3 - 6 Days
 
Samahan mkuu hiii Vodafone smart tab 3g yenye Imei 355860064319344
Svn 040FNG2 inawezekana?? Maana inasoma laini ya voda tuuu aiseee.
 
Mim nna tatizo kidogo tofauti na ili kwa mwenye ufahammu kuusu ili anijuze.simu yangu ni samsung duos yani hata nikiizima kama betri nmeiacha kwenye simu inaisha chaji completely je nini chanzo na inaweza kupona?
 
Mim nna tatizo kidogo tofauti na ili kwa mwenye ufahammu kuusu ili anijuze.simu yangu ni samsung duos yani hata nikiizima kama betri nmeiacha kwenye simu inaisha chaji completely je nini chanzo na inaweza kupona?
Bila shaka ni tatizo la hardware. Ipeleke kwa fundi utafiti ufanyike.
 
Nina Vodafone , IMEI 357053067468023, naomba unitumie unlock code, inatumia Vodacom tu.
 
Nina Vodafone , IMEI 357053067468023, naomba unitumie unlock code, inatumia Vodacom tu.
Model: VF685
Brand: VODAFONE
IMEI: TAC: 357053 FAC: 06 SNR: 746802 CD: 3

Codes zako ziko tayari, Fanya malipo tsh 10'000 Tumia moja ya namba zangu kwenye post #1 kufanya malipo
code_RCT_2.png
 
Angalizo alilotoa nizuli Mr IQ

Mfano Kwa mwaka jana 2015, Watu wawili tofauti walitapeliwa kwa kutumia jina la Mwl.RCT

Mmoja wa matapeli alijifanya yeye ndiye Mwl.RCT na mwingine alijifanya kuwa katumwa na mimi. Hivyo wakajipatia pesa.

Ila mwisho wa siku victims (waliotapeliwa) wote wawili walikuja kubaini ukweli.

Angalizo kwa wana JF:
- Usifanye malipo yeyote kabla ya kuwasiliana nami kwa moja ya haya mawasiliano yangu
- Voda 0768 92 48 41
- TiGo 0717 54 57 62
- AirTel 0784 496 856
- Skype: mw1rct
- Whatsapp: +255 784 496 856
- eMail: mw1rct at gmail.com
- Au kwa JF PM
Mkuu simu za haloteli je nazo unaziwezea..?
 
Ndugu Kigobo

Codes zako ni hizi

NCK: 31202648-81
NSCK: 33306803-56
SPCK: 32293398-67
CPCK/SIM: 30097041-33
CCK: 32864557-80
PCK: 27831967-05

Washa simu ikiwa na laini tofauti kisha ingiza NCK code: 31202648 TU, Kisha gusa OK

Done, simu yako iko tayari kwa matumizi ya laini yeyote.

KARIBU
 
Ndugu Kigobo

Codes zako ni hizi

NCK: 31202648-81
NSCK: 33306803-56
SPCK: 32293398-67
CPCK/SIM: 30097041-33
CCK: 32864557-80
PCK: 27831967-05

Washa simu ikiwa na laini tofauti kisha ingiza NCK code: 31202648 TU, Kisha gusa OK

Done, simu yako iko tayari kwa matumizi ya laini yeyote.

KARIBU
Thanks Mkuu
 
Lumia 535
Model : RM-1089
IMEI: 355742064250564
Msaada wa kupata unlock code na gharama za kuunlock pamoja na muda wa kusubilia code yaani itachukua muda gani mpaka kupata unlock code nikiweka laini inadai enter unlock code
wp_ss_20141125_0001.png
 
Habari zenu wana jamii forum?
Nina simu ambayo nilitumiwa toka America, inawaka na kufanya shughuli zote za internet kwa kutumia wi-fi ila nashindwa kuitumia kwa mawasiliano kwani inashindikana kutumia laini za Tanzania. Nimejaribu kuzunguka kwa mafundi kadhaa bila mafanikio.
About Phone: MIN - UNKNOWN
ESN - 802CAC19
MEID HEX - 35833006276818
MEID DEC - 089-778-995-802-582-552
IMEI - 3583300662768188
PRL VERSION - 160
BRAND - BOOST MOBILE
LGLS751 MODEL
Kwa anayeweza kunisaidia kufungua simu hii either kwa kunielekeza jinsi ya kufungua au kunipa mawasilino ya fundi anayeweza kunisaidia, nitashukuru sana.
> Je inakuomba codes pindi uiwashapo ikiwa na laini tofauti? - Pitia post #1 kwa ufafanuzi zaidi
> Hakiki imei namba kama iko sawa! - Ninapata error kwenye system, inatakiwa ziwe digits 15, Ulizoweka ni digits 16
Karibu
 
Back
Top Bottom