Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

WASTANI WA MUDA UTAKAO SUBIRI ILI KUPATA UNLOCK CODES

LG: 51 minutes
ZTE: 55 minutes
Blackberry: 6 minutes
Huawei: 4 days TO 9 Days
Samsung: 17 hours 32 minutes
HTC: 6 minutes
Vodafone (Alcatel): 5 Minutes

NB: Kwa wanaoweka order kwa simu za huawei server iko down hivyo inachukua muda mrefu zaidi tofauti na awali. Codes za huawei hupatikana kati ya siku 4 - 9 za kazi.

Karibu
 
Jaribu hivi
1. Washa simu ikiwa na laini tofauti
2. Chagua "Emergency calls"
3. Piga 2945#*71001#
4. Kisha chagua "Netlock"
5. Kitajitokeza kiboksi cha kuingiza codes
Nadhani hata simu za halotel zitakuwa kweny kundi hili maana ukiweka line tofauti inagoma na haileti option ya kuingiza code.
 
Nadhani hata simu za halotel zitakuwa kweny kundi hili maana ukiweka line tofauti inagoma na haileti option ya kuingiza code.
Ni sahihi kabisa.

Na nipamoja na TECNO.

Hizi zinahitaji SIGMA BOX kuweza kuzifanyia unlocking. Ambapo physically simu inatakiwa niwe nayo.

Ila dhima ya hii thread ni "Remotely Unlocking" - Yaani mtu apate huduma mahala alipo.

Na nimiaka mitatu (3) sasa natoa hii "unlocking" huduma kupitia hii thread.
 
Ni sahihi kabisa.

Na nipamoja na TECNO.

Hizi zinahitaji SIGMA BOX kuweza kuzifanyia unlocking. Ambapo physically simu inatakiwa niwe nayo.

Ila dhima ya hii thread ni "Remotely Unlocking" - Yaani mtu apate huduma mahala alipo
Nashkuru sana kwa ufafanuzi mzuri Mwl. RCT
 
Mwl Rct shukrani sana kwa Huduma yako hii kabambe.Hakika umetusaidia sana.Endelea kuboresha nakutanua Huduma zako zaidi.Ningefurahi tena zaidi ukijikita naku unlock moderms nazo pia au kutupa ujuzi wako kuhusu moderms mbalimbali
 
1a2ce46757afd95d57d29ccaf1500459.jpg


Simu yangu ni tecno y3+ unanisaidiaje mkuu
 
ndugu naomba msaada nina tecno min phantom z
ilijilock mdogo wangu alikuwa anaichezea. nimeijaribu kuiformat kwa kutumia command keys
sikufanikiwa nikaipeleka kwa fundi akaiformat na cable. shida inakuja wakat naicomand nimeifuta I mei no. na sim iko sealed aifunguk nyuma na box nishatupa. nafanyaje mkuu.
 
ndugu naomba msaada nina tecno min phantom z
ilijilock mdogo wangu alikuwa anaichezea. nimeijaribu kuiformat kwa kutumia command keys
sikufanikiwa nikaipeleka kwa fundi akaiformat na cable. shida inakuja wakat naicomand nimeifuta I mei no. na sim iko sealed aifunguk nyuma na box nishatupa. nafanyaje mkuu.
Hapo tayari nitatizo la Software hivyo inakuhitaji uipeleke kwa fundi mzuri wa kuflash stockRom.Ila kama imepoteza na Baseband yake inaweza isipone
 
ndugu naomba msaada nina tecno min phantom z
ilijilock mdogo wangu alikuwa anaichezea. nimeijaribu kuiformat kwa kutumia command keys
sikufanikiwa nikaipeleka kwa fundi akaiformat na cable. shida inakuja wakat naicomand nimeifuta I mei no. na sim iko sealed aifunguk nyuma na box nishatupa. nafanyaje mkuu.
Hiyo simu inahitaji kupata huduma ya kui-flash. Hapa unahitaji kuwa makini na Fundi utakayempa kazi hiyo kwani anatakiwa kuwa na ufaham mzuri na kile akifanyacho.
Ni vizuri zaidi huyo fundi akawa na box inayosapoti aina ya simu yako ili simu yako ipate firmware halisi inayorandana nayo.
Hapo tatizo la simu yako litakuwa limetatuliwa na utakuwa hewani na full network mkuu.
Nawasilisha...
 
Naitaji ni unlock tablet yangu ya vodafone,.. Ni kiasi gani? Bro, I'm sick and tired with line dependency. Namba zngu 0717546885
 
Wakati unanua hukujua kama ni 'line dependancy' ila uspanic wataalam wapo watakuja coz ata mim nimeunlock sm nyingi na wataalaam nimewapa hapahapa jf.
 
Habari za muda huu Ndg wana jamii forums <br /><br />Kuna Ndg hapa alikuwa anatumia huawei za tigo , kaweka sim card tofauti na tigo ikawa inaomba codes_ kaingiza Mara kadhaa mpaka ikawa SIM BLOCK <br /><br />Nilikuwa naomba kama kuna yoyote anaweza kunisaidia kuirudisha katika hali yake ya kutumia sim card tigo maana saiv bado inaomba codes to unblock <br />
b4b188c18ac4e391b0d6bce56d3947ef.jpg
<br /><br />Ntashukuru endapo ntapata msaada toka kwenu ,niwatakie siku njema na samahani kwa usumbufu utakao jitokeza<br /><br />Asubuhi Sana
 
Back
Top Bottom