Huduma na Bidhaa za HALOTEL

Huduma na Bidhaa za HALOTEL

Hayo manamba marefu hivyo hatuna muda wa kukariri.
 
upload_2016-5-9_17-38-48.png



UTAMBULISHO:

HALO SAINI ni huduma inayowezesha wateja kukamilisha simu zao kwa kuwezesha saini kuonekana kwenye simu ya mpigaji au mpigiwa kama ujumbe mfupi wa maandishi.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA.

-Kujiunga na huduma

-Tuma ON kwenda 15614 kusajili kifurushi cha siku.

-Tuma ON30 kwenda 15614 kusajili kifurushi cha mwezi.

-Kuwezesha saini: Tuma SAINI<Ujumbe wa Saini> kwenda 15614


FAIDA ZA HUDUMA.

-Husaidia wateja kuonyeshana upendo.

-Husadia wateja kujitambulisha kwa saini.

-Husaidia wateja kutangaza biashara.

-Huwezesha mawasiliano baina ya wateja.

-Husaidia wateja kujulishana hali.

-Huduma hii ni kwa wateja wote wa HALOTEL.

GHARAMA ZA HUDUMA.

-Kifurushi cha siku: Tsh 30 /Siku.

-Kifurushi cha mwezi: Tsh 600/Mwezi.

-Kubadili SAINI: Buree na unaruhusiwa kubadili mara nyingi uwezavyo.

UNGANA NASI KUPITIA:

Facebook: VAS Halotel

WhatsApp: 0627 942 367


Email: Vas@Halotel.co.tz
 
upload_2016-5-10_16-58-48.png



Tembelea http://halomovie.co.tz kufurahia filamu ya “Edge of Tomorrow” iliyochezwa na wacheza filamu maarafu Tom Cruise, Emily Blunt, Bill Paxton.

UTANGULIZI.

HALO MOVIE ni huduma ya filamu kwenye mtandao inayokupa filamu za kipekee za nyumbani na kimataifa kwenye muonekana wa HD kupitia simu yako au tableti. Unaweza kutazama filamu mpya za kuvutia za ndani na zile za kimataifa.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA

-Jisajili na huduma kwa kutembelea kiungo hiki Mwanzo.

GHARAMA ZA HUDUMA

-Kifurushi cha wiki: Tsh 600; Pata filamu 4 bure.

-Kifurushi cha mwezi: Tsh 2,000;Pata filamu 15 bure.

-Hitaji filamu: Tsh 300/Filamu.

-Gharama za Data: Bure

JIUNGE NASI

-Facebook: VAS Halotel

-WhatsApp: 0627 942 367

-Email: Vas@Halotel.co.tz
 
upload_2016-5-11_17-19-44.png

Pata wiki moja bure kwa kujiunga na Huduma ya HALO BEATZ na uweze kutuma na kuweka nyimbo uzipendazo kwa marafiki pale wanapokupigia kwa kutuma ON kwenda 15607.
Piga 15607 (Gharama: Tsh 20/Dakika) kupata nyimbo nyingi mpya za chaguo lako.
Gharama ya kujisajili ni Tsh 175/Wiki baada ya promosheni.


UTANGULIZI.
HALO BEATZ ni huduma inayowapa fursa watumiaji wa HALOTEL kuweka miito wanayoipenda isikike pale wanapipigiwa.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Kujiunga na huduma: Tuma ON kwenda 15607 au piga *15607*1#
-Kupakua nyimbo: Tuma PATA codeyawimbo kwenda 15607 au piga *15607*Codeyawimbo#
-Kupata orodha ya nyimbo mpya: Tuma MPYA kwenda 15607 au piga *15607*5#
-Orodha ya nyimbo kwenye Albam: Tuma ORODHA kwenda 15607 au piga *15607*6#
-Kusikiliza nyimbo kwa kuchagua nyimbo bora: Piga 15607

GHARAMA ZA HUDUMA
-Gharama za kusajili: Tsh.175/Wiki
-Gharama ya wimbo kupakua/Wekaupya/Nakili: Tsh.400/Nyimbo kwa mwezi
-Gharama ya kusikiliza (IVR): Tsh.20/Dakika

WEKA WIMBO WA HALOTEL KAMA MUITO WAKO: Tuma PATA 99005 kwenda 15607
-Wimbo fuata kiungo hiki: https://drive.google.com/…/0B9cB2ZJqQC5qTGhGVXUxMUhSU…/view…

JIUNGE NASI
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Barua pepe: Vas@Halotel.co.tz
JamiiForums: HALOTEL VAS
 
Weka aina ya vifurushi vyenu basi... Usisahau vya chuo
 
upload_2016-5-12_17-54-8.png

Pata mwezi mmoja buree kwa kusajili huduma ya MCA na utapokea jumbe za simu ulizokosa pindi simu imezima au haina Mtandao.

Gharama ya kusajili baada ya promosheni ni: 400/Mwezi.


UTANGULIZI

MCA ni huduma inayo muwezesha mteja wa HALOTEL kupokea jumbe za simu alizokosa pindi simu ikiwa imezima au haina Mtandao. Huduma hii husaidia wateja wa HALOTEL kuwa na mawasiliano muda wowote na mahali popote.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA

-Kusajili huduma: Tuma ON kwenda 15579 au piga *15579*1#

-Kusitisha huduma: Tuma OFF kwenda 15579 au piga *15579*0#

GHARAMA ZA HUDUMA

-Pata mwezi mmoja buree kujisajili kwenye huduma na utapokea jumbe ya simu ulizokosa pindi simu imezima au haina Mtandao.

-Gharama ya kusajili huduma baada ya promosheni ni: Tsh 400/Mwezi.


UNGANA NASI KWA:


- Facebook: VAS HALOTEL

- WhatsApp: 0627 942 367

- Email: Vas@Halotel.co.tz
 
upload_2016-5-16_18-34-45.png

UTANGULIZI

DINI ni huduma inayowawezesha wateja wa Halotel kupata mistari ya dini ya Kuraan, Injili na Biblia.Huduma hii inakuwezesha kujua Mungu ni nani na anamalengo gani kwenye maisha yako.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Unaweza kujiunga na huduma kwa:
-Kupitia USSD: Piga *149*64# Kisha chagua DINI
-Kupitia SMS :
-Tuma neno INJILI/KURAAN/Biblia kwenda 15608 kusajili huduma.

GHARAMA ZA HUDUMA
-Kifurushi cha siku: Tsh 120/Siku

JIUNGE NASI:
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Email: Vas@Halotel.co.tz
 
Mkuu naomba utuwekee hapa namba zenu za customer care ambazo TUKIPATA TATIZO TUKIPIGA TUTAONGEA NA MHUDUMU MOJA KWA MOJA. Namba zingine kama 100 au 0620 100 100 hazina msaada wowote kwa mteja pale anapohitaji msaada kwa kuongea na mhudumu wenu.

Ninachojiuliza ni kwa nini hiyo namba haiwekwi hadharani kwa muda mrefu sasa kwa manufaa ya wateja?
 
Sisi tuliozoea kuongeza salio kwa mobile money mtukumbuke, mambo ya kwenda dukani halafu kukwangua vikaratasi tulishasahau. Otherwise net yenu ipo safi na inapatikana poa hata maeneo ambayo vocha zenu hazipo, sasa mobile money itaziba mwanya huo.
 
Mkuu naomba utuwekee hapa namba zenu za customer care ambazo TUKIPATA TATIZO TUKIPIGA TUTAONGEA NA MHUDUMU MOJA KWA MOJA. Namba zingine kama 100 au 0620 100 100 hazina msaada wowote kwa mteja pale anapohitaji msaada kwa kuongea na mhudumu wenu.

Ninachojiuliza ni kwa nini hiyo namba haiwekwi hadharani kwa muda mrefu sasa kwa manufaa ya wateja?
Ahsante kwa maoni yako.Namba za kuongea na huduma kwa mteja ni 100 au 0620 100 100 kama ulivyoeleza. Tumepokea maoni yako na tutayafanyia kazi.
 
Sisi tuliozoea kuongeza salio kwa mobile money mtukumbuke, mambo ya kwenda dukani halafu kukwangua vikaratasi tulishasahau. Otherwise net yenu ipo safi na inapatikana poa hata maeneo ambayo vocha zenu hazipo, sasa mobile money itaziba mwanya huo.
Ahsante kwa maoni yako.Ni jukumu letu kuyachukua na kuyatekeleza ili kutoa huduma bora kwa wateja wetu.
 
upload_2016-5-17_17-40-55.png


UTAMBULISHO WA HUDUMA

VOICE SMS ni huduma inayowapa fursa wateja wa HALOTEL kutuma na kupokea ujumbe wa sauti. Hii ni njia rahisi na bora zaidi kulinganisha na njia ya kawaida ambayo inachukua muda na gharama nyingi.


JINSI YA KUTUMIA HUDUMA

Piga 0901 220 001 kuweza kupata huduma.

FAIDA ZA HUDUMA

- Huduma ni rahisi, inaokoa muda na hivyo ni rahisi sana kutumia.
- Huduma ni nafuu ukilinganisha na njia zingine za kutuma ujumbe.

GHARAMA ZA HUDUMA
Gharama za kurekodi ujumbe: Tsh 25 kwa kila ujumbe.
Gharama ya kusikiliza ujumbe:
-Kusikiliza mara ya kwanza:Bure
-Kusikiliza mara ya pili: Tsh 25 kila ujumbe.

UNGANA NASI KUPITIA:
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Email:
Vas@Halotel.co.tz
 
mko poa sana katika upande wa Data yani Mb 500 waga natumia siku nzima alafu natumia laptop kabisa
 
View attachment 346398


Tembelea http://halomovie.co.tz kufurahia filamu ya “Edge of Tomorrow” iliyochezwa na wacheza filamu maarafu Tom Cruise, Emily Blunt, Bill Paxton.

UTANGULIZI.

HALO MOVIE ni huduma ya filamu kwenye mtandao inayokupa filamu za kipekee za nyumbani na kimataifa kwenye muonekana wa HD kupitia simu yako au tableti. Unaweza kutazama filamu mpya za kuvutia za ndani na zile za kimataifa.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA

-Jisajili na huduma kwa kutembelea kiungo hiki Mwanzo.

GHARAMA ZA HUDUMA

-Kifurushi cha wiki: Tsh 600; Pata filamu 4 bure.

-Kifurushi cha mwezi: Tsh 2,000;Pata filamu 15 bure.

-Hitaji filamu: Tsh 300/Filamu.

-Gharama za Data: Bure

JIUNGE NASI

-Facebook: VAS Halotel

-WhatsApp: 0627 942 367

-Email: Vas@Halotel.co.tz
Kwenye Holo Movie hamnioni coz kuna site ya Kudownload movie + Drama zilizotafasiliwa kiswahili Kwa Bei Chee kabisha HALOTEL VAS Mjipange sana kwa bidhaa zenu
 
upload_2016-5-18_17-20-51.png

UTAMBULISHO WA HUDUMA
PATA SALIO
Ni huduma inayo muwezesha mteja wa malipo ya awali wa Halotel kuomba mkopo wa salio pindi salio lake halitoshelezi. Deni litalipwa kipindi mteja akiongeza salio kwenye akaunti yake.
JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
Piga *149*63# kutumia huduma.
FAIDA ZA KUTUMIA HUDUMA
-Huduma ina muwezesha mteja wa Halotel kuendelea kuwasiliana pindi salio lake likiwa dogo
-Mteja anaweza pata mkopo wa salio wa Tsh 300 au Tsh 500 au Tsh 1000.
-Kiasi cha mkopo hakizidi 10% ya jumla ya kiasi cha matumizi kwa mwezi uliyopita
GHARAMA ZA HUDUMA
-10% ya mkopo. Mteja atalipa pindi akiongeza salio.
WASILIANA NASI KUPITIA
-Facebook: VAS HALOTEL
-WhatsApp: 0627 942 367
-Email: Vas@Halotel.co.tz
 

Attachments

  • upload_2016-5-18_17-6-53.png
    upload_2016-5-18_17-6-53.png
    66.9 KB · Views: 182
Vipi suala na IMEI za simu zenu kutoendana na aina ya simu?

Nna halotel H8401 na H6302 ila zote majina yake hayaoani na IMEI zake.

Je, simu hizi zitazimwa ifikapo tarehe husika?
 
View attachment 346398


Tembelea http://halomovie.co.tz kufurahia filamu ya “Edge of Tomorrow” iliyochezwa na wacheza filamu maarafu Tom Cruise, Emily Blunt, Bill Paxton.

UTANGULIZI.

HALO MOVIE ni huduma ya filamu kwenye mtandao inayokupa filamu za kipekee za nyumbani na kimataifa kwenye muonekana wa HD kupitia simu yako au tableti. Unaweza kutazama filamu mpya za kuvutia za ndani na zile za kimataifa.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA

-Jisajili na huduma kwa kutembelea kiungo hiki Mwanzo.

GHARAMA ZA HUDUMA

-Kifurushi cha wiki: Tsh 600; Pata filamu 4 bure.

-Kifurushi cha mwezi: Tsh 2,000;Pata filamu 15 bure.

-Hitaji filamu: Tsh 300/Filamu.

-Gharama za Data: Bure

JIUNGE NASI

-Facebook: VAS Halotel

-WhatsApp: 0627 942 367

-Email: Vas@Halotel.co.tz
Mkuu kwa nia njema kabisa nakuomba urudi na uwaeleze wadau kwamba kwa kujiunga na Halo movie na kulipia hizo Tshs. 600/= kwa wiki na 2,000/= kwa mwezi KAMWE hauwezi kuangalia hizo movie 4 au 15 BURE (bila kulipia gharama za data) kama mlivyoandika kwenye tangazo lenu la promotion. Hizo 600/= na 2,000/= ni kwa ajili tu ya kujisajili kwenye huduma hiyo kwa wiki au mwezi na kuishia tu kuona orodha ya muvi zote zilizopo lakini ili uweze kuangalia hizo movie LAZIMA uwe umenunua internet bundle la kutosha.

Kwa ushauri wangu pamoja na ubora wa huduma zenu lakini si vizuri kuweka maelezo yanayopotosha kwenye matangazo yenu au promotional material yoyote kwa lengo la kuwashawishi wateja kujiunga na huduma fulani kwani inaweza kupelekea kushusha credibility yenu na pia kusababisha usumbufu na malalamiko yasiyo ya lazima kutoka kwa wateja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom