KERO Huduma mbovu katika halmashauri ya Kibaha

KERO Huduma mbovu katika halmashauri ya Kibaha

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

makong012

Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
32
Reaction score
50
Habari za muda huu wana JF,

Hii wiki nimetua mjini Dar Salaam kulikua na plot niliacha muda mrefu inashugulikiwa hati. Na kuna mtu kutoka halmashauri nilikuwa nawasiliana nae akaniambia hati ilishatoka kitambo, maana mchakato ulianza since 2022 huko.

Nikasema kwa kuwa nipo mjini acha nipate chukua hati yangu kabla sijarudi shamba tangu nimefika saa 3 mpaka saa 10 sioni hati na kila nikiuliza nazungushwa jee huduma katika halmashauri zote huwaga ivi...?
 
Habari za muda huu wana JF,

Hii wiki nimetua mjini Dar Salaam kulikua na plot niliacha muda mrefu inashugulikiwa hati. Na kuna mtu kutoka halmashauri nilikuwa nawasiliana nae akaniambia hati ilishatoka kitambo, maana mchakato ulianza since 2022 huko.

Nikasema kwa kuwa nipo mjini acha nipate chukua hati yangu kabla sijarudi shamba tangu nimefika saa 3 mpaka saa 10 sioni hati na kila nikiuliza nazungushwa jee huduma katika halmashauri zote huwaga ivi...?
Hata huku niliko nako ni hovyo tu....
 
Back
Top Bottom