Huduma kama za Sinza nazipata wapi Kimara

Huduma kama za Sinza nazipata wapi Kimara

Nielewesheni mambo gani hayo anaongelea nimetoka jana nanjilinji kuja mjini.
huku kwetu hatulimi ila kila aina ya chakula inapatikana ikiwa tu una CASH kule kwenu vingine ni maelewano tu ila huku hata kuridhishana kimwili ni ngawila
 
Kuhusu kwenda na zana au bila zana hilo sifahamu ila baada ya kupima alikutwa ameathirika
dah inasikitisha mara nyingi dem unaemwamini ndio anakuua lkn kwa ao unajua aupo sehemu salama.ni vizuri umeshare tujifunze.
 
Ngoja nikupe fundisho kidogo. Wakati nipo chuo mwaka wa 2 nilikua na mshkaji wangu tulikua tukipata boom basi tunaenda hongera bar karibu na ambiance tunapata bia na mshkaji wangu anapata huduma ya ziada kama unayo hitaji wewe.
Siku moja tumeenda pale jamaa alikua anakula barmaid ilikua ni muda kidogo hatujaenda. Ile kufika hapo hatukumkuta yule barmaid jamaa akauliza kwa ma barmaid wengine vp yule demu yupo wapi? Akajibiwa amefariki mbona kama mwezi sasa. Jamaa akauliza tatizo lilikua nini? Akaambiwa mbona alikua muathirika kwa muda mrefu. Kilicho fuata baada ya hapo mshkaji wangu alichanganyikiwa kiasi kwamba hakumaliza kabisa chuo. Kila nikisikia hilo eneo naumia sana .
Nakushauri achana na huo mpango. Usije kujuta ndoto za mshkaji wangu zilipotea kirahisi. Sihitaji na wewe yakukute
Me nahic nae atakuwa katok nyanjilinji utakulaje bila zana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikupe fundisho kidogo. Wakati nipo chuo mwaka wa 2 nilikua na mshkaji wangu tulikua tukipata boom basi tunaenda hongera bar karibu na ambiance tunapata bia na mshkaji wangu anapata huduma ya ziada kama unayo hitaji wewe.
Siku moja tumeenda pale jamaa alikua anakula barmaid ilikua ni muda kidogo hatujaenda. Ile kufika hapo hatukumkuta yule barmaid jamaa akauliza kwa ma barmaid wengine vp yule demu yupo wapi? Akajibiwa amefariki mbona kama mwezi sasa. Jamaa akauliza tatizo lilikua nini? Akaambiwa mbona alikua muathirika kwa muda mrefu. Kilicho fuata baada ya hapo mshkaji wangu alichanganyikiwa kiasi kwamba hakumaliza kabisa chuo. Kila nikisikia hilo eneo naumia sana .
Nakushauri achana na huo mpango. Usije kujuta ndoto za mshkaji wangu zilipotea kirahisi. Sihitaji na wewe yakukute
akili huwa inahama ukiwa pale kati utajitahidi kujidhibiti mwanzoni ila baada ya kuzoeana unajisemea haina haja ya kutumia kinga I think she is okay au sitasimamia vidole ila ukinogewa unajikuta hadi kucha umesimamia !, kwa maelezo yako mshikaji alimchukulia demu kama kipozeo chake muda wowote akihitaji akajenga mazoea ikawa tabia pole kwake na familia yake!
 
Ngoja nikupe fundisho kidogo. Wakati nipo chuo mwaka wa 2 nilikua na mshkaji wangu tulikua tukipata boom basi tunaenda hongera bar karibu na ambiance tunapata bia na mshkaji wangu anapata huduma ya ziada kama unayo hitaji wewe.
Siku moja tumeenda pale jamaa alikua anakula barmaid ilikua ni muda kidogo hatujaenda. Ile kufika hapo hatukumkuta yule barmaid jamaa akauliza kwa ma barmaid wengine vp yule demu yupo wapi? Akajibiwa amefariki mbona kama mwezi sasa. Jamaa akauliza tatizo lilikua nini? Akaambiwa mbona alikua muathirika kwa muda mrefu. Kilicho fuata baada ya hapo mshkaji wangu alichanganyikiwa kiasi kwamba hakumaliza kabisa chuo. Kila nikisikia hilo eneo naumia sana .
Nakushauri achana na huo mpango. Usije kujuta ndoto za mshkaji wangu zilipotea kirahisi. Sihitaji na wewe yakukute
Sasa wewe papuch pori unatafuna kavukavu?sisi tunazipiga hizo zenye vyeo vya H.I.V kama hatuna akili nzuri vile !condom!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanini hiyo story usiiandike kwa kirefu hapa,kuna watu utawasaidia watajifunza
Hakuna cha kujifunza !hapa ni kuorodhesha maeneo ya burudani anayetaka ushauri nasaha aanzishe uzi wake tutamfuata huko msituharibie mood!we karne hii bado unapiga pekupeku dame wa "jalalani"?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom