Professionally huawei ec122 ni modem zinazotumia technology ya CDMA, so hata uki fanikiwa ku unlock huta weza kuitumia kama unavyotarajia, coz uta hitaji kutumia vodacom, tigo au airtel ambao wao wanatumia GSM technology. Ni sawa na kuweka maji kwenye engine petrol kwenye rejeta, wont work man.