Hello wana jamvi nina uza simu aina ya Huawei acsend y 210 kwa shilling laki moja na hamsini kwa yeyote atakaye kuwa tayar ani pm au anipigye kwa namba 0788572816 but simu c mpya ni used asanteni xana
Hello wana jamvi nina uza simu aina ya Huawei acsend y 210 kwa shilling laki moja na hamsini kwa yeyote atakaye kuwa tayar ani pm au anipigye kwa namba 0788572816 but simu c mpya ni used asanteni xana
Mdogo wangu bado uko kwenye heka heka za kuuza zaga zaga zako ili ujidhamini ndoto yako ya kusakata kabumbu, maana mara projector, mara simu.
Kuwa makini usije kutapeliwa pesa zako kwa watakaojifanya wanataka kukufanyia mpango
Siwezi kukuchoka mdogo wangu, utu uzima dawa wewe ukikwama kimawazo inabidi uje kwa kaka mkubwa,Hahahaha kaka kweli umenichoka
Siwezi kukuchoka mdogo wangu, utu uzima dawa wewe ukikwama kimawazo inabidi uje kwa kaka mkubwa,
Ndio maana nakupa tahadhari, vipi kwanza projector ulipata mnunuzi?
Na vipi maendeleo yako kuhusiana na kusakata kabumbu umefikia wapi?
Projector nimeshauza ila inshu ya soka bado ngumu aiseee ila najipanga kwanza