Tatigha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 1,957
- 2,012
Wakuu niko kwenye mchakato wa kuchukua simu mpya baada ya kuchoka vituko vya hii tecno yangu.
Na nilipenda nichukue simu moja wapo kati ya hizo mbili hapo juu, naombeni waliowahi kutumia hizo simu mnipe abc zake.
Na ipi ni bora kati ya hizo kwa upande wa kutunza charge, camera, storage na ubora kwa ujumla.
Na nilipenda nichukue simu moja wapo kati ya hizo mbili hapo juu, naombeni waliowahi kutumia hizo simu mnipe abc zake.
Na ipi ni bora kati ya hizo kwa upande wa kutunza charge, camera, storage na ubora kwa ujumla.