HR's na Lawyers hii imekaaje?

Moo Click

JF-Expert Member
Feb 18, 2015
3,496
3,233
Kuna mfanyakazi wa kampuni fulani aliwekwa kikao lengo ni kumpa Verbal Warning kwa misconducts alizo fanya.

Kwa maelezo yaliyo toka kwa HR ni kwamba Ili kuweka mambo sawa kwa upande wa HR aliandaa document ya kuonyesha kuwa kikao kilifanyika lengo likiwa ni kumuonya mtuhumiwa kwa Verbal Warning ili ikitokea baadae muhusika atakana basi kuwe na proof kwamba kikao kilifanyika na shahidi pamoja na ushahidi wa maandishi upo.

Kwa mana iyo document yenyewe inaonyesha all about how verbal warning process went on. ni kitu kama memo iv

na kuna sehemu ya HR kusaini kuna sehemu ya shaidi na Muhusika anae pewa verbal warning kusaini kama kweli alikuepo na kukubaliana na yaliyo zungumzwa.

NOTE: (IFAHAMIKE HII SIO WRITTEN WARNJNG DOCUMENT)

Swali: Je hii ni Sawa? na hii process ina negative implication yoyote kiutendaji? kisheria ina tatizo lolote maybe?
 
Habari Mkuu, Haina madhara yoyote. Kwa ofisi nyingine wanakuwa na kitabu cha makosa ambayo ukifanya inarekodiwa na pamoja na hatua zilizochukuliwa.
 
Hapo mleta uzi ulipaswa kueleza taratibu za kiutumishi za ofisi husika, ila kama ni ofisi ya utumishi wa Umma kanuni zipo wazi kwa kila aina ya kosa, utaratibu na adhabu zake, so HR umeleta kitu nusu nusu mno, huwezi kupata ushauri stahiki
Kuna mfanyakazi wa kampuni fulani aliwekwa kikao lengo ni kumpa Verbal Warning kwa misconducts alizo fanya.

Kwa maelezo yaliyo toka kwa HR ni kwamba Ili kuweka mambo sawa kwa upande wa HR aliandaa document ya kuonyesha kuwa kikao kilifanyika lengo likiwa ni kumuonya mtuhumiwa kwa Verbal Warning ili ikitokea baadae muhusika atakana basi kuwe na proof kwamba kikao kilifanyika na shahidi pamoja na ushahidi wa maandishi upo.

Kwa mana iyo document yenyewe inaonyesha all about how verbal warning process went on. ni kitu kama memo iv

na kuna sehemu ya HR kusaini kuna sehemu ya shaidi na Muhusika anae pewa verbal warning kusaini kama kweli alikuepo na kukubaliana na yaliyo zungumzwa.

NOTE: (IFAHAMIKE HII SIO WRITTEN WARNJNG DOCUMENT)

Swali: Je hii ni Sawa? na hii process ina negative implication yoyote kiutendaji? kisheria ina tatizo lolote maybe?
 
Kuna mfanyakazi wa kampuni fulani aliwekwa kikao lengo ni kumpa Verbal Warning kwa misconducts alizo fanya.

Kwa maelezo yaliyo toka kwa HR ni kwamba Ili kuweka mambo sawa kwa upande wa HR aliandaa document ya kuonyesha kuwa kikao kilifanyika lengo likiwa ni kumuonya mtuhumiwa kwa Verbal Warning ili ikitokea baadae muhusika atakana basi kuwe na proof kwamba kikao kilifanyika na shahidi pamoja na ushahidi wa maandishi upo.

Kwa mana iyo document yenyewe inaonyesha all about how verbal warning process went on. ni kitu kama memo iv

na kuna sehemu ya HR kusaini kuna sehemu ya shaidi na Muhusika anae pewa verbal warning kusaini kama kweli alikuepo na kukubaliana na yaliyo zungumzwa.

NOTE: (IFAHAMIKE HII SIO WRITTEN WARNJNG DOCUMENT)

Swali: Je hii ni Sawa? na hii process ina negative implication yoyote kiutendaji? kisheria ina tatizo lolote maybe?

Kama ni mtumishi wa umma mara nyingi wanatunza makosa yako ili kuwasaidia kwa baadae, ila ni namna ya kuendesha offisi ili watu wawe na adabu na kutekeleza majukumu yako ipasavyo, ubaya wake ni ukija fanya kosa tena siku za usoni basi unaweza fukuzishwa kazi
 
Kama ni mtumishi wa umma mara nyingi wanatunza makosa yako ili kuwasaidia kwa baadae, ila ni namna ya kuendesha offisi ili watu wawe na adabu na kutekeleza majukumu yako ipasavyo, ubaya wake ni ukija fanya kosa tena siku za usoni basi unaweza fukuzishwa kazi
ohoo sawa mkuu
 
Kuna mfanyakazi wa kampuni fulani aliwekwa kikao lengo ni kumpa Verbal Warning kwa misconducts alizo fanya.

Kwa maelezo yaliyo toka kwa HR ni kwamba Ili kuweka mambo sawa kwa upande wa HR aliandaa document ya kuonyesha kuwa kikao kilifanyika lengo likiwa ni kumuonya mtuhumiwa kwa Verbal Warning ili ikitokea baadae muhusika atakana basi kuwe na proof kwamba kikao kilifanyika na shahidi pamoja na ushahidi wa maandishi upo.

Kwa mana iyo document yenyewe inaonyesha all about how verbal warning process went on. ni kitu kama memo iv

na kuna sehemu ya HR kusaini kuna sehemu ya shaidi na Muhusika anae pewa verbal warning kusaini kama kweli alikuepo na kukubaliana na yaliyo zungumzwa.

NOTE: (IFAHAMIKE HII SIO WRITTEN WARNJNG DOCUMENT)

Swali: Je hii ni Sawa? na hii process ina negative implication yoyote kiutendaji? kisheria ina tatizo lolote maybe?
Ni sawa kabisa.
 
Back
Top Bottom