How well do you know Kenyan music?

Naowasikiliza.

-will Paul
-Avril
-wangechi
-Femi one
-khali
-Jua kali
-Nameless
-Victoria kimani
-Wyre
-Abbas
-shiski
-Oxido
-Kristof
- Kaka sungura

Few to mention.
Dope hio ni ka playlist nzima thats dope,wah am shocked you know hadi Wangechi,uko sawa but you know in kenya the dopest artist huwa hawachezwi sana,kuna dem anaitwa Phy huyo ni moto,kuna kagwe mungai,kuna Elani,Leband,Nadia mukami we have very dope artist just to mention a few

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Half of my life is music and half of my music is hip hop-underground.

Nilianza kumfuatilia Baba yao kipindi yupo Coolgang anarap na kina Oxido kabla hajaanza kufanya trap.

Wangechi nao na kina Femi nimewafuatilia kitambo. Muziki wa kenya naujua.
 
Half of my life is music and half of my music is hip hop-underground.

Nilianza kumfuatilia Baba yao kipindi yupo Coolgang anarap na kina Oxido kabla hajaanza kufanya trap.

Wangechi nao na kina Femi nimewafuatilia kitambo. Muziki wa kenya naujua.
Thnx i like you,n btw thats the culture of music si mtu kudharau music ingine tunafaa tu appreciate zote na ku appreciate the music too,juu music ya Tz si same na ya Kenya but hatufai kufanya ikae nikaa mashindano ama chuki,music is music,audience ndo hu differ juu si kila mtu hatapenda hip hop,kuna wenye watapenda lingala,but that doesnt mean wako less important,hii ndo messsage yangu kwa hao muna bash kenyan music,kila mtu ana taste yake so respect that,inaitwa personal space,sijui ka Tz you practice it,hauezi tu kuja kwa personal space na kuongea shit,kuwa tu civilised

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Copied.
 
stupid swahili
 
Sasa kama kuandika huwezi, je kwenye kuongea si ndio utakuwa unaongea kama bata anayeharisha.
Mtu kama wewe ukiniongelea kipumbavu hivyo ninakuta kelebu nyambafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…