How to track someone's phone?

Mimi nimekuelewa sana mtoa mada, na nimekuja na wazo tofauti je hiyo App naweza itumia kama ulinzi wa simu yangu, mathalini ikiibiwa au kupotea? Au ipo ambayo ni secure zaidi ya hiyo?
 
Nitajaribu kueleza na kutumia picha pia

1 CHILDREN TRACKER
>Download app hapa http://forum.xda-developers.com/attachment.php?attachmentid=2824935&d=1404104298

Unapoanza kufanya installation app itasomeka kama SYSTEM........Dont worry hii ni kumfanya mwenye simu akienda Apps Settings akiikuta aamini hii ni app muhimu ya simu so hatakuwa na hofu nayo


Ukimaliza kuinstall click OPEN, itafunguka kama inavyoonekana kwenye picha juu......click ACCEPT&CONTINUE





Ukifika hapa una click REGISTER






Ingiza email yako ambayo ndio utatumiwa password kwenye email utakayo ingiza hapa
You can use temporary email from here 10 Minute Mail
Then click REGISTER






Then utafika hapa ambapo utaambiwa login information zako zimetumwa kwenye email yako ulioingiza hapo juu
Nenda kwenye email yako, Ukimaliza click NEXT






Kwenye email yako utakuta umetumiwa taarifa hizo, link ya activate, email yako na password pamoja na link ya website utakaoitumia ku login na kuona tracking zote za simu lengwa
Rudi kwenye simu






Ukifika hapa chagua vitu unavyotaka kutrack kwenye simu lengwa then NEXT






Hapa sasa hiyo ya kwanza ukitick Enable evice Admin maana yake unaifanya app isiweze kutolewa(uninstall) kirahisi, ukienda kwenye Apps settings unakuta option ya ku uninstall haifanyi kazi hadi uende seting>security>phone administrators ili ui Deactivate ndio utaweza kuitoa....so ukitick itakupeleka device admn ili ui activate. uamuzi ni wako kama mtumia simu ni layman wa simu unaweza kuacha





Hapo kwenye HIDE APPLICATION ni muhimu sana kuhakikisha umepa tick ili kuificha apps isionekane, hizo no ziache maana hutaitaji kuishika simu yake so just click OK.....the NEXT






Hapa sasa unaweza kuclick go to application kuangalia kama app imeanza kufanya kazi na ikiwa OK itaoneka kama hivi hapa kwenye picha ya chini


Baada ya hapo exit kwa kubofya Home button or whatever..........you're done na simu ya mlengwa, mrudishie
Hakikisha wakati unafanya hili zoezi simu iwe na access na net

Rudi sasa kwenye email yako uliotumiwa
Kwanza kabisa click kwenye link ya ku ACTIVATE ACC yako
Pili ingia kwenye LOGIN SITE SafeT - Children Tracker kisha ingiza email yako na password uliyotumiwa kwenye email......Viola

Uzuri wa hii App
Ipo very simple
Website ipo vizuri haina complication zozote
Hata akiwa offline apps itakusanya taarifa zote, siku akiingia tu hewani inatuma taarifa zote kwenye website ya nini alifanya wakati akiwa offline

Ubaya wake
Ni siku saba tu baada ya hapo inaacha kufanya kazi hadi ulipie, inabidi sasa kila baada ya siku saba uitoe na uinstall upya kwa kutumia email nyimgine
Whatsapp, FB, tweeter hazifanyi kazi hadi simu lengwa iwe rooted

Kwa wasio watundu wa teknolojia nadhani hii inafaa zaidi kuliko ile ya pili, haina complication nyingi

Will be back kwa njia ya pili
 
Naona picha zinakataa kufunguka ngoja nirekebishe
 
Mimi nimekuelewa sana mtoa mada, na nimekuja na wazo tofauti je hiyo App naweza itumia kama ulinzi wa simu yangu, mathalini ikiibiwa au kupotea? Au ipo ambayo ni secure zaidi ya hiyo?

Mkuu hasa hiyo ya pili ninzuri mimi ninayo muda wote kwenye kimeo changu
Hata hivyo zipo apps nzuri zaidi kwa ulinzi na usalama wa simu yako kama ikiibiwa
 
Kaka mi nashidaaa aiseew nimedownload hiyoo kitu ilaaaa...inazinguaaa nilikoseaa kuandika model ya simu Halafu naitafuta application nibadilishe sioni

Jina la simu sio issue kivile
umedownlod ipi nikuelekeze nmna ya kuiona
 
Unakumbuka ulipofika kuandika jina na model ya simu uli create password?
kama unaikumbuka basi nenda kwenye phone na uipige hiyo no then app itafunguka
ikuzengua itoe anza upya

Imeziguaa najaribu kuitoaaaa inagomaaaa....
 
Teh! mkuu nini imekimbia?

Kama umetumia hiyo ya pili ukimaliza ku-install na ukajaza vigezo vyote inapotea.

Unachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye hii website na kuangalia jinsi inavyo track mobiletracker.com itafute kupitia google kisha log in.

Hiyo website Yako Mbona bado inaletaaaa chengaa inakujaa vitu vyaa ajabu
 
Natafutaa ya Adui yangu..πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚:banghead::banghead:

Sasa simu ya adui yako utaipata wapi?

Hii sio maalumu kwaajili ya maadui hii ni ya watu wa karibu kama mpenzi, mwanao, rafiki yako, ambo wanauwezo wa kukuachia simu zao, adui yako atakupatia simu yake kweli?

Wewe muwekee mpenzi wako uone unavyoibiwa hahahahahahaha kisha ulete hapa mrejesho wa machozi.
 

Nitajaribu baadae kwa wife! Kwa sasa ngoja nipumzike na futari hizi!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…