How to scan for Free Open Ports in Any ISP for Free Internet

How to scan for Free Open Ports in Any ISP for Free Internet

tokea Asubuhi PD inascan tu kusaka hizo tundu za kupenyea but haionyeshi dalili za kumaliza kuscan so Naona niwaachie wenyewe!
Mwenye kujua jinsi ya kutumia unlimited ya BB kwa PC anikonyeze hata kwa PM maana kila nikijaribu napata EDGE tu na mpunga unaliwa kama kawa. njunwa wamavoko chief-mkwawa Mwl.RCT Paul S.S Never give up nawaona hapo chini naombeni mwongozo tafadhali

nimetumia sana hio trick ipo ovyo speed ndogo tafuta browser kama firefox search extension user agent switcher ifanye browser yako kama bbm ur done utaenjoy
 
Nimesahau kukujibu kuhusu blackberry hiyo kitu kwangu mm sijaitafiti maana mwezi mzima bado nakomaa na Hawa jamaa wa Smile Tanzania - Tanzania home lkn duuuh nimeumia sana lkn I will not surrender

Nigeria wamekuwa wakitumia Unlimited Brackebery kupata Unlimited kwenye simu
Tafuta software ya Kutumia brackbery kama Modem e.g Nokia PC suite kwa Nokia
APN:brackbery.net
UDP port:500
Local port:0

Au kwa TG na PD waweza Tumia ICMP Protocol
ICMP waweza jaza Rport 500 in case iko needed

Nimeshare tweeak ya MTN nigeria And Am not if it works for all BIS users all over the word lkn hicho kitu wamekuwa wakikitumia Nigeria lkn Pole yao week mbili zilizopita waliBlock huo mchezo

natumia Blackberry desktop software via Usb ila tatizo napata net ya use as you pay siyo ile ya BIS so why bundle likiisha net inakata.
PD proxy inaburuza kama kawa kwa basi letu la kila siku port zetu zile zile bila ku config chief-mkwawa je njia usemayo ndiyo hii hii au unakamua BIS?
 
Last edited by a moderator:
nimecheki port zote ni za email na ni tcp tupu bila udp kama kuna mtu ana free site labda unaweza toka na header, any luck mwengine?
 
haifungui kwangu na sh 0 hizo page

Mkuu hizo ndo free site japo sijui server zake ziko down au nn maaa hata uwe na Unlimited interet huwezi fungua hiyo kitu
Kama ni mtumiaji wa Tigo utakuwa umetumiwa meseji ikikwambia tembelea Tovuti yao kuagalia ratiba ya sinema n.k nawanasema ni Bure
Pili bando likikata la Tigo afu ulikuwa unaload Page e.g www.jamiiforums.com page itaku-direct kwa internet.tigo.co.tz sasa ubovu unakuja site iko inaload slow sana unlike ile ya Zantel
 
Now MIC tanzania Blazing with Wi-Free & SandwichVPN
Those who want to Try it with TunnelGuru use only USA-1 as Admin told me he opened only UDP port 5190 for testing

attachment.php


Pd proxy disconnecting not stable though its Ports were scanned with PD proxy
Meteor VPN admin refused to open extra ports to his servers cause his servers have reached the max port speed 10Gbps


attachment.php


attachment.php


SandwichVPN voucher codes available
Wi-Free Too Expensive you can order at 7$ from me
Sign UP free at SandwichVPN for DEMO
attachment.php

C.C X.800
 

Attachments

  • port 110.png
    port 110.png
    19.4 KB · Views: 18,686
  • port 5190.png
    port 5190.png
    17.7 KB · Views: 1,035
  • TG.png
    TG.png
    11.7 KB · Views: 1,036
  • reseller sandwich.png
    reseller sandwich.png
    11.4 KB · Views: 1,039
yametimia sasa kimbilia hapa someni anzeni zoezi sio kutegemea hicho ki-port 80 tu
 
mkuu naomba password ya kudownload port sniffer@Njunwa wamavoko
 
mkuu naomba password ya kudownload port sniffer@Njunwa wamavoko

duuh pswd ka ishanitoka vile ila ngoja ni isakue upya maana niliitoa forums za wafilipino inaonesha link ya mediafire ameipiga LOCK
 
Hivi hii troidvpn unatumia mtandao gani ili iconnect free 1gb per day?
 
Back
Top Bottom