How to remove gmail account

Mimi naweza kukusaidia ila kwa sharti hili tuhakikishie kuwa hujaiba. Na isitoshe kama hujaiba hio email iliyofutwa ilikuwa ya nani? Jimwage maana Google wamefanya hivo ili kuzuia wizi na sio vizuri huku uje utushirikishe madhambi yako Yetu yanatutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom