X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,681
- 12,257
Kama haijaibiwa imekuaje...ushindwe kukumbuka email....? Tuyaache hayo njoo nikutolee kwa fedha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama haijaibiwa imekuaje...ushindwe kukumbuka email....? Tuyaache hayo njoo nikutolee kwa fedha...
Naibadili imei!!!Kwa taarifa yako ukiwa tu online jamaa atakukamata maana device manager ina uwezo wa kuonyesha simu ipo wapi. Labda usiende online
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kama mtu haijui Imei ya simu na IP address ataipataje?Kwa taarifa yako ukiwa tu online jamaa atakukamata maana device manager ina uwezo wa kuonyesha simu ipo wapi. Labda usiende online
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini usinunue ya kwako uwe comfortable nayo?
Kakojoe ulale mkuu huku hapakuhusu!!Kama haijaibiwa imekuaje...ushindwe kukumbuka email....? Tuyaache hayo njoo nikutolee kwa fedha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Haijaibiwa mkuuKwa nini usinunue ya kwako uwe comfortable nayo?
Dukani hata kwa laki mbili tu unapata smartphone Kali.
Achana na mali ya wizi mdogo wangu itaku cost.
Sasa umeipataje?
Kama bado hujafanikiwa nipo Mwanza pia naweza nitafute kama upo serious ni dm tuongee
Hii ni App au?
Huyu mwizi mnamsaidia wa nini?Kama bado hujafanikiwa nipo Mwanza pia naweza nitafute kama upo serious ni dm tuongee
Auala sio mtu, ni kwamba kwa simu za android, device manager ina uwezo wa kuhifadhi IMEI, then ukienda online mkuu itajua simu ipo wapi kwa kutumia hiyo imeiVipi kama mtu haijui Imei ya simu na IP address ataipataje?
hujanielewa mkuu.Auala sio mtu, ni kwamba kwa simu za android, device manager ina uwezo wa kuhifadhi IMEI, then ukienda online mkuu itajua simu ipo wapi kwa kutumia hiyo imei
Sent using Jamii Forums mobile app
we fanya ujinga wakuonyeshe.. hapo unataka kujitumbukiza kwa hayawani shauri yako
Hahahahaa mwizi mkubwa we