Benfamous
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 484
- 374
Kama kichwa cha habari kinavosema unawezaje toa gmail account kwenye simu ambayo inadai gmail account ambayo iliyokuwemo baada ya kuifrash simu
Msaada tafadhal maana nina simu inadai gmail account na hatujui ata gmail account iliyokuwemo
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada tafadhal maana nina simu inadai gmail account na hatujui ata gmail account iliyokuwemo
Sent using Jamii Forums mobile app