How to remove Facebook Account of the deceased?

How to remove Facebook Account of the deceased?

Good People

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2016
Posts
938
Reaction score
1,819
Nimefiwa na Jirani yangu sasa ndugu wameomba Chonde chonde nifanye lolote account yake iweze Kufungwa hivi inawezekana kweli au Mpaka Niende Ubalozi wa Marekani Dar au Nipige Simu Ubalozi wa Tanzania Marekani Ili wawasiliane na Facebook waweze Kuifunga Account. Mwenye Uelewa na hili.
 
Simply contact the facebook team with evidence eg. death certificate and ID
 
Nimefiwa na Jirani yangu sasa ndugu wameomba Chonde chonde nifanye lolote account yake iweze Kufungwa hivi inawezekana kweli au Mpaka Niende Ubalozi wa Marekani Dar au Nipige Simu Ubalozi wa Tanzania Marekani Ili wawasiliane na Facebook waweze Kuifunga Account. Mwenye Uelewa na hili.
Kama simu ya marehemu unayo ni simple sana. Jaribu kureset password ya Facebook na angalia instruction za ku reset zinatumwa wapi. Kama zinatumwa kwenye email nayo unaweza kujaribu kufanya taratibu za ku resent password kwa hiyo watakutumia one time code kwenye namba ya simu ya marehemu na hiyo itakufanya uweze kupata access ya email account baada ya hapo utapata reset link ya Facebook kisha utakuwa umegain full control ya account na kuideactivate. Kwa hiyo lazima muwe na simu za marehemu kufanya hivyo ili kujua namba gani amelink na email au facebook moja kwa moja. Ni process simple ila inabidi ufanye iterations kidogo. Mfano ukikuta namba haipo linked na email ya facebook lazima u trace baadhi ya email account zako lazima kuna moja ipo linked na namba na lazima itakuwa na email ambayo ndo ipo linked na FB
 
Kama simu ya marehemu unayo ni simple sana. Jaribu kureset password ya Facebook na angalia instruction za ku reset zinatumwa wapi. Kama zinatumwa kwenye email nayo unaweza kujaribu kufanya taratibu za ku resent password kwa hiyo watakutumia one time code kwenye namba ya simu ya marehemu na hiyo itakufanya uweze kupata access ya email account baada ya hapo utapata reset link ya Facebook kisha utakuwa umegain full control ya account na kuideactivate. Kwa hiyo lazima muwe na simu za marehemu kufanya hivyo ili kujua namba gani amelink na email au facebook moja kwa moja. Ni process simple ila inabidi ufanye iterations kidogo. Mfano ukikuta namba haipo linked na email ya facebook lazima u trace baadhi ya email account zako lazima kuna moja ipo linked na namba na lazima itakuwa na email ambayo ndo ipo linked na FB
Mkuu hii njia nimejaribu Unfortunately wanasema Ujumbe Umeenda kwenye E-mail na sijawahi Kuifahamu E-mail yake Ingekua Simu za Android Mara nyingi Mimi huwa si logout hiyo hata ningekua nataka Ku reset Ac yangu ingenitumia Email ningeweza kuisoma tuu sasa huyu Alisha logout Katika Email na Facebook A/c yake.
 
Mkuu hii njia nimejaribu Unfortunately wanasema Ujumbe Umeenda kwenye E-mail na sijawahi Kuifahamu E-mail yake Ingekua Simu za Android Mara nyingi Mimi huwa si logout hiyo hata ningekua nataka Ku reset Ac yangu ingenitumia Email ningeweza kuisoma tuu sasa huyu Alisha logout Katika Email na Facebook A/c yake.
Bac mkuu muachie mungu tu
 
Nimefiwa na Jirani yangu sasa ndugu wameomba Chonde chonde nifanye lolote account yake iweze Kufungwa hivi inawezekana kweli au Mpaka Niende Ubalozi wa Marekani Dar au Nipige Simu Ubalozi wa Tanzania Marekani Ili wawasiliane na Facebook waweze Kuifunga Account. Mwenye Uelewa na hili.

try this link
 
Mkuu Facebook team inapatikana kama Vodashops?
No sio kama vodashop. Fungua facebook kuna sehemu wameelekeza "contact us" hapo ndipo unapoelezea tatizo lako. unaweza pia kueleza kwa kupitia akaunti yako wewe kwa kuwapa ID ya huyo marehemu....By the way mimi nina experience na Instagram waliwahi kufunga akaunti ya mtanzania mmoja maarufu ambaye baada ya kufariki watu walikuwa wanaendelea kupost ujinga kwenye page yake bila aibu, ndipo watu wake wa karibu wakatuma uthibitisho ikafungiwa. Kwahiyo naamini hata kwa Facebook inawezekana tuu,
 
Frilance, juhudi zote taja, lakini sio ya kufungua EMAIL password yake na taarifa zilizo tumika kufungua EMAIL hiyo.
Kwa FACEBOOK, watakuletea picha za profiles za marafiki zake, kwa kukutaka utaje usernames zao, na hilo ni zowezi gumu sana
 
Mkuu hii njia nimejaribu Unfortunately wanasema Ujumbe Umeenda kwenye E-mail na sijawahi Kuifahamu E-mail yake Ingekua Simu za Android Mara nyingi Mimi huwa si logout hiyo hata ningekua nataka Ku reset Ac yangu ingenitumia Email ningeweza kuisoma tuu sasa huyu Alisha logout Katika Email na Facebook A/c yake.
Mkubwa ni PM na details za profile nitaweza kukushauri vizuri...Option nyingine jaribu kuwa contect facebook na vielelezo vyote kama ID za marehemu namba za simu na kadhalika wanaweza wakawasaidia
 
Niliweza kuifuta account iliyofunguliwa na mtu mwingine kwa kutumia jina na picha yangu. Niliwasiliana na team ya Facebook kwa kutumia account yangu halisi na kuwaomba waifunge account iliyofunguliwa ambayo mimi sikuwa na access nayo.

Wasiliananao kupitia account yako, waeleze sababu za kufutwa account yake. Wao watachunguza kwanza taarifa yako na kisha watakutumia ujumbe wa hatua waliyoifanya.

Inachungua mpaka masaa 24-72 kukupa feedback.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom