pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
habari zenu wakuu ..mimi nimehitimu masomo yangu mwaka jana ila bado sijapata ajira na hali ya maisha nyumbani kwetu ni tete sasa nilipata wazo la kuwa na plan A NA plan B YAANI NITAFUTE KAZI NA HUKU NINATAFUTA SCHOLARSHIPS matatizo yangu makumbwa ni on how to process fom, pili mimi nina GPA ya 3.0 je ninaweza kupata scholaship?tatu ninatafuta sholaship za mambo ya jamii levo ya masters je ninatakiwa kutafuta chuo kwanza nikipata ni apply scholarship? naomba msaada jamani familia yangu inanitegemea sana na hawana uwezo plz kwa anaejuaa kwa undani plz msaada jamani