Jamani wadau naombeni mnisasidie nijue namna ya kudownload miziki kutoka kwenye web mimi ni mpenzi wa miziki lakini sijjui nifanyeje , msaada wadau na wapenzi wa muziiki
Sasa nenda kwenye google search engine, andika wapdam.com, halafu itakuletea wapdam.com fungua utapata nyimbo za kila aina hata bongo fleva ya zamani, naamini ni rahisi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.