Jamani ni kweli haiwezekekani ku bypass hiyo kitu
mwenye ujuzi uzi huo twende sawa
Hiyo kitu mpaka ukalipie kwa iphoneofficial unlocker mi nilipia £60
Mkuu iphone gani na ilikua inakupa massage gani ukiiwashaHiyo screen shot ni proof maana nimefanya hiyo kitu sio kwamba sijui kinachoongelewa hiyo nilipewa punguzo la 50% maana huyo ndo alii unlock pia
Officialiphoneunlock hawatoi Activation Lock (iCloud Lock), wanatoa Carrier Lock (Sim Lock). Soma vizuri kinachoongelewa hapa. Hakuna njia ya kuBypass iCloud Lock 100%..
Tofauti na hiyo website, ila kuna jamaa anatoa icloud lock hapa hapa Bongo tuko naye kwenye group la biashata telegram na amewatolea wengi japo bei yake mkasi na feedback ni +.
sasa kama bei ni mkasi huoni ni dalali huyo? kwamba anakutoza hela nyingi anaenda kulipia gharama ya ku unlock kinachobakia na yeye anapata riziki.
Nunua TECHNO achana na Iphone zitakusumbua!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
na unatumia iPhone duuu..
Hiyo screen shot ni proof maana nimefanya hiyo kitu sio kwamba sijui kinachoongelewa hiyo nilipewa punguzo la 50% maana huyo ndo alii unlock pia
Hio ipo katika lost mode so hapo ni mziki mnene,hio email wewe unaijua?kama imekwapuliwa sehemu na mwenyewe ameiweka katika lost mode ujue kazi unayo.
Hiyo sio lost mode hiyo ni Find My Phone Mode saa nyingine huwa inajiactivate automatically unaposign in icloud saa nyingine pasipo owner kujua sasa basi km hiyo sim inakuletea message ya contact za owner km no ya sim n.k basi hapo itakuwa ktk lost mode na ipo ktk black list hiyo kuiunlock bei yake kubwa if not that bei yake kawaida ni £60 na inakuwa km mpya haiwezi kujilock tena maana acc zote unaanzisha za kwako
mi nina wasi wasi na hawa official iphone unlock kwasababu zifuatazo. Kununua Carrier Unlock wanaruhusu kulipia kupitia PayPal ambayo ni safe na inampa insurance mlipaji. Lakini kuBypass iCloud Activation Lock wanataka ulipie direct kwa Credit Card/Debit Card. Hii italeta shida kupata pesa zako kama wasipofanya Unlock..niliwatumia email kuwauliza kwanini wasi Associate malipo ya hii huduma na PayPal wakasema wanafanya hivyo directly ili kurahisisha payment na pia kuhakikisha wanapata pesa yao moja kwa moja. Labda mkuu dkashombo2013 utusaidie kutuonyesha ile confirmation email ya kuonyesha kuwa wameshatoa iCloud Lock..unasema wao ndiyo walitoa carrier lock? na ukaanza kuitumia fresh vipi ililock icloud tena?!