CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,074
mi nina wasi wasi na hawa official iphone unlock kwasababu zifuatazo. Kununua Carrier Unlock wanaruhusu kulipia kupitia PayPal ambayo ni safe na inampa insurance mlipaji. Lakini kuBypass iCloud Activation Lock wanataka ulipie direct kwa Credit Card/Debit Card. Hii italeta shida kupata pesa zako kama wasipofanya Unlock..niliwatumia email kuwauliza kwanini wasi Associate malipo ya hii huduma na PayPal wakasema wanafanya hivyo directly ili kurahisisha payment na pia kuhakikisha wanapata pesa yao moja kwa moja. Labda mkuu dkashombo2013 utusaidie kutuonyesha ile confirmation email ya kuonyesha kuwa wameshatoa iCloud Lock..
![]()
![]()
mtu akishawasha find my iphone kwenye simu, akaja kureport lost kuiactivate bado sijaskia mtu anayeweza kufanya hivyo, hata wakorofi wa russia bado wanatoa macho tu! sijui lakini,ndiyo maana nikamuuliza jamaa ilikuwaje ameshaunlock carrier halafu anataka kuunlock icloud, inamaana aliaunlock carrier ikiwa locked icloud au?