Affet
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,189
- 1,677
Yaani wewe km mimi naogopa lawama kuleft nimemute tu!Niko na 10 groups, nimeya mute yote na kuna ambayo sijawahi changia chochote ila kuleft siwezi.
Yaani wewe km mimi naogopa lawama kuleft nimemute tu!Niko na 10 groups, nimeya mute yote na kuna ambayo sijawahi changia chochote ila kuleft siwezi.
heee kumbe JF kuna magroup?
Linaitwaje hilo group mama la mama. ?
Uenda tulikuwa wote kwenye hilo group
Ninazo groups zaidi ya 160, telegram channel na group zaidi ya 70.
Purposely for business.
Umenikumbusha ngoja tuidownload 🤣 🤣🤣Ni muda sasa wa kununua kamusi,
haiwezekani tuteseke namna hii dear,
Lol.
Natamani kuendelea kuuliza maswali ila ngoja niache. Ki msingi nimeshalitambua hilo kundi. Sijui ilikuwaje ukaletwa halafu nikashindwa kukutambua.Nimelisahau Jina ila lilikua la Valentina
Naomba uje pm HonyJamani Punguzeni Viingereza.
kwani mkuu unafanya usajili wa magroup?
Nmejiunga fb 2013, nina post chini ya 10, friends 400. Saiv naenda kufanya ulichofanya[emoji16] nawadrop hadi wabaki 5.hata mm hushangaa pia. kuna sku nimeshika smu yangu nkaingia fb naangalia hv friend list nkajiuliza sasa hawa marafik wanasaidia mm kuingiza dollar ngap?? nkaona huu ni use**
....yaan in real life mm sna rafiki sasa inakuwaje niwe na rafiki fb? nkaanza ku unfriend mmoja baada ya mwingne mpaka sasa account yangu inasoma zero frends
mengi yanapelekea kukwazana tu. bora kama una shida na mtu unampigia simu au kuongea face to faceHa ha ha hata Mimi la Familia nimejitoa sitaki ujinga huo
...sio post to be ni supposed to be....Question no 4 was post to be
Do these groups have positive impacts in your life ?
Nilijua watatokea watu kama wewe...sio post to be ni supposed to be....
...hapana mkuu nmekurekebisha tu nobody is perfect.......Nilijua watatokea watu kama wewe
150+
Natamani kuendelea kuuliza maswali ila ngoja niache. Ki msingi nimeshalitambua hilo kundi. Sijui ilikuwaje ukaletwa halafu nikashindwa kukutambua.
Ila nawakumbuka watoto wazuri wazuri kadhaa waliokuwa kwenye lile kundi kabla sijajitoa mnamo mwaka jana, huenda ulikuwa mmoja wao.
Nipe kaupendeleo basi ka kukutambuaUsingeweza kunitambua