How many WhatsApp groups are you a member of? How potential are they?

How many WhatsApp groups are you a member of? How potential are they?

Nina group 2 tu, la pili limeundwa juzi kwa vile kuna mshikaji wetu anaoa, lingine la sekondari basi
 
watu wa humu
1. hawana magroup mengi ya wasap
2. hawapendi kuchati wao ni kupiga simu maongezi yaishe haraka
3. Hawapo facebook wala instagram
4.ni watu waliostaarabika
5. huwa hawaumizwi na mapenzi
6. ukimsifia JPM ni kosa la jinai
........
.....[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maigizo ya wanajf, wengine ukikutana nao kwenye real life unaweza usiamini[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3]
Wote tuna magari ya kutembelea.

Wote tunaishi sehemu nzuri
Wote tuna kazi nzuri na biashara kubwa.
Hatutumii tecno.
Wote tumesoma na tuna degree

*Yaani mwenye maisha magumu umebaki ww tu* jitafakari[emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]!

Wote tunaweka vocha kuanzia shilingi 10,000,

Usisahau kuwa wengi magari yetu Ni ya kisasa siyo old model [emoji12]
 
[emoji3][emoji3]
Wote tuna magari ya kutembelea.

Wote tunaishi sehemu nzuri
Wote tuna kazi nzuri na biashara kubwa.
Hatutumii tecno.
Wote tumesoma na tuna degree

*Yaani mwenye maisha magumu umebaki ww tu* jitafakari[emoji3]
Jikite kwenye mada
 
Sina group ya watu wa humu. Niliingizwaga moja 2017 ile nadhani. Nikatuma picha kwenye kujitambulisha (sheria ya group) nikaikuta humu jukwaani picha yangu.

Nikatoka Hilo group maanA sikua nablend nao kabisa. Nilikaa siku chache tu. Nilivyomaliza kujitambulisha sikuwahi andika Tena.
Linaitwaje hilo group mama la mama. ?

Uenda tulikuwa wote kwenye hilo group
 
Duh sikuona hiyo picha aisee heri ningeona ,ile group ilikuwa ya nia watu kujua wenzao,humu JF tunaficha majina ila kwenye groups mtu akishaona namba yako anaangalia jina halafu anakutafuta kwenye social networks
Inasaidia nini sasa kumtafuta mtu kwenye social networks ?
 
tunaopenda vitu vigumu(hard talks) tunapata shida kwenye magroup. nilijiona,nikaona kila.muda ni porojo tu
 
Sina group ya watu wa humu. Niliingizwaga moja 2017 ile nadhani. Nikatuma picha kwenye kujitambulisha (sheria ya group) nikaikuta humu jukwaani picha yangu.

Nikatoka Hilo group maanA sikua nablend nao kabisa. Nilikaa siku chache tu. Nilivyomaliza kujitambulisha sikuwahi andika Tena.
heee kumbe JF kuna magroup?
 
Nakumbuka nilikuwa kwenye group flani mchanganyiko ila wengi ni watu wazima na familia zao. Ni group ambalo Mtu hana wasiwasi kufungua
sms hata mbele za Watu. Ikatokea siku ya siku Mama mmoja kwa bahati mbaya akapost porn, katika haraka za kuchanganyikiwa kufuta akafuta
kwake tu ila video ikaendelea kuwemo, kila aliyekuwa akifungua watsapp anaanza na lawama 'jamani tumefika huku' wengine hasira pia.
Huyo Mama ali-left muda huo huo na akamtuma rafiki yake amuombee msamaha. Nilipoona zogo litakuwa kubwa ikabidi nivae ushujaa na kuwaandikia members kuwa "inawezekana kabisa hata miongoni mwetu huwa tunatazama au tunazo porn kwenye simu au pc zetu kwa hiyo tumsamehe tu Mama,ni ajali" na nikamalizia na utani kwa kuuliza "ni wangapi wameifuta kabisa au hawakutazama kabisa hiyo video"......Hahaaa mambo yakaisha.

Ilinifunza kuchukua tahadhari kufungua video yeyote kutoka Watsapp group nikiwa public.
 
Back
Top Bottom