How many WhatsApp groups are you a member of? How potential are they?

How many WhatsApp groups are you a member of? How potential are they?

Nina magroup matatu.
Moja la wajukuu.
Kuna la vyombo
Kuna la vipodozi.
Soon moja nalikacha..
Maelezo mengine nikiamka.
 
Nipo na mengi ya kutosha, na sioni hata moja la "kuleft" coz yote yana impact kubwa kwangu. O level, A level, College, Family/Ukoo, Majirani na Maendeleo ya Mtaa wetu, Kazini, Kijijini kwetu. Nimeleft yote yanayohusu dini na imani.
Kwanini ya dini na imani umeyakimbia?
 
Nipo na mengi ya kutosha, na sioni hata moja la "kuleft" coz yote yana impact kubwa kwangu. O level, A level, College, Family/Ukoo, Majirani na Maendeleo ya Mtaa wetu, Kazini, Kijijini kwetu. Nimeleft yote yanayohusu dini na imani.
Ukaacha yanayokujenga ki- imani ukaambatana na dunia. UMEPOTEA ndugu.

NJOO KWA YESU UOKOLEWE.

Jesus is Lord.
 
Nina groups nyingi sana,
1. My community (haya yapo kama 7 hivi.)
2. My family
3. Burudani
4. Dini
5. Siasa.

Yananisaidia kwenye mengi,

1.Kuniweka karibu na community yangu, kupata updates mbali mbali.

2. Kuniweka karibu na familia yangu, tupo mbali mbali lakini kupitia WhatsApp ni kama tunaishi nyumba moja.

3. Mpenzi wa burudani napenda kupata mambo mazuri.

4. Inasaidia kunijenga kiimani, kujifunza mengi zaidi.

5. Sipo sana huku ila napenda kujua yanayoendelea nchini kwangu.
 
Liko 1 tu,nililowaunga wadeni wangu wote.

Ili wakiwa wananipa updates za deni langu limefikia wapi wajione walivyo mafala kwa kua na uongo wa kufanana.
 
watu wa humu
1. hawana magroup mengi ya wasap
2. hawapendi kuchati wao ni kupiga simu maongezi yaishe haraka
3. Hawapo facebook wala instagram
4.ni watu waliostaarabika
5. huwa hawaumizwi na mapenzi
6. ukimsifia JPM ni kosa la jinai
........
.....[emoji23][emoji23][emoji23]
 
~ Nina grupu moja LA sisiem mbele kwa mbele....vijana wa uvsisiem,tunaandaa mikakati ya kuchukua kiti kwa bao LA kisigino!
 
watu wa humu
1. hawana magroup mengi ya wasap
2. hawapendi kuchati wao ni kupiga simu maongezi yaishe haraka
3. Hawapo facebook wala instagram
4.ni watu waliostaarabika
5. huwa hawaumizwi na mapenzi
6. ukimsifia JPM ni kosa la jinai
........
.....[emoji23][emoji23][emoji23]
No. 6 kila mtu ni anti Magufuli haha
 
hata mm hushangaa pia. kuna sku nimeshika smu yangu nkaingia fb naangalia hv friend list nkajiuliza sasa hawa marafik wanasaidia mm kuingiza dollar ngap?? nkaona huu ni use**
....yaan in real life mm sna rafiki sasa inakuwaje niwe na rafiki fb? nkaanza ku unfriend mmoja baada ya mwingne mpaka sasa account yangu inasoma zero frends
Kama nashawishika kufanya ulichokifanya hivi
 
watu wa humu
1. hawana magroup mengi ya wasap
2. hawapendi kuchati wao ni kupiga simu maongezi yaishe haraka
3. Hawapo facebook wala instagram
4.ni watu waliostaarabika
5. huwa hawaumizwi na mapenzi
6. ukimsifia JPM ni kosa la jinai
........
.....[emoji23][emoji23][emoji23]
😀😀
Wote tuna magari ya kutembelea.

Wote tunaishi sehemu nzuri
Wote tuna kazi nzuri na biashara kubwa.
Hatutumii tecno.
Wote tumesoma na tuna degree

*Yaani mwenye maisha magumu umebaki ww tu* jitafakari😀
 
Back
Top Bottom