How many WhatsApp groups are you a member of? How potential are they?

How many WhatsApp groups are you a member of? How potential are they?

tunaopenda vitu vigumu(hard talks) tunapata shida kwenye magroup. nilijiona,nikaona kila.muda ni porojo tu
Wabongo huwa hawachoki mada za mapenzi kuanzia asubuhi hadi asubuhi inayofuata wanajadili malavidavi

Ukitaka group lipoe admin aseme akataze miijadala ya mapenzi.
 
Thanks man.
Nina groups nyingi aisee Kama 20 hiviii.. kwanza sio mvivu wa kusoma so nikiwa na muda Kuna groups zangu Kama 5 huwa nasoma message zao.

Groups zimenisaidia Sana yes. Ajira zangu mbili za mwisho nimezipata kupitia kujuana na watu wa groups.

Biashara wise zinanisaidia sana pia sababu nimetengeneza network mjini.

Kijamii yamenisaidia kujuana na watu ambao nikitaka msaada ofisi yoyote ile Kuna mtu atanisaidia bila usumbufu.

Japo hizo groups zipo za namna zote na sitamani kutoka group hata moja
 
Why? Do you think each and everything that found in these WhatsApp groups has a positive impact on your life?
In a normal course we deal/start with positivism. Negativity comes later. Seems your nagative minded.
 
Back
Top Bottom