ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,752
- 127,738
Unazingua[emoji23]Niko na 10 groups, nimeya mute yote na kuna ambayo sijawahi changia chochote ila kuleft siwezi.
Unazingua[emoji23]Niko na 10 groups, nimeya mute yote na kuna ambayo sijawahi changia chochote ila kuleft siwezi.
[SUB]Tulia mtoto mdogo wewe.. Ninayo zaidi ya 200 😂😂😂😂Nna groups 40 kuna tatizo kwani
[emoji23][emoji23]yananichoshaUnazingua[emoji23]
Angalia my status ina view ngapi 😂😂😂 je nikisema idadi ya magrup niliyo nayo WhatsApp si mtakimbia wote humu?hata mm hushangaa pia. kuna sku nimeshika smu yangu nkaingia fb naangalia hv friend list nkajiuliza sasa hawa marafik wanasaidia mm kuingiza dollar ngap?? nkaona huu ni use**
....yaan in real life mm sna rafiki sasa inakuwaje niwe na rafiki fb? nkaanza ku unfriend mmoja baada ya mwingne mpaka sasa account yangu inasoma zero frends
Nina groups nyingi aisee Kama 20 hiviii.. kwanza sio mvivu wa kusoma so nikiwa na muda Kuna groups zangu Kama 5 huwa nasoma message zao.
Groups zimenisaidia Sana yes. Ajira zangu mbili za mwisho nimezipata kupitia kujuana na watu wa groups.
Biashara wise zinanisaidia sana pia sababu nimetengeneza network mjini.
Kijamii yamenisaidia kujuana na watu ambao nikitaka msaada ofisi yoyote ile Kuna mtu atanisaidia bila usumbufu.
Japo hizo groups zipo za namna zote na sitamani kutoka group hata moja
Sina group ya watu wa humu. Niliingizwaga moja 2017 ile nadhani. Nikatuma picha kwenye kujitambulisha (sheria ya group) nikaikuta humu jukwaani picha yangu.Ile yetu ya JF inaendelea ?
Ukisha-mute kazi imeisha, hupati usumbufu unasoma ukiwa na muda na simu haipigi mikelele. Hata mimi nime-mute groups zote[emoji23][emoji23]yananichosha
Groups zinasaidia sana!Nina groups nyingi aisee Kama 20 hiviii.. kwanza sio mvivu wa kusoma so nikiwa na muda Kuna groups zangu Kama 5 huwa nasoma message zao.
Groups zimenisaidia Sana yes. Ajira zangu mbili za mwisho nimezipata kupitia kujuana na watu wa groups.
Biashara wise zinanisaidia sana pia sababu nimetengeneza network mjini.
Kijamii yamenisaidia kujuana na watu ambao nikitaka msaada ofisi yoyote ile Kuna mtu atanisaidia bila usumbufu.
Japo hizo groups zipo za namna zote na sitamani kutoka group hata moja
😂 😂 😂 😂 😂watu wa humu
1. hawana magroup mengi ya wasap
2. hawapendi kuchati wao ni kupiga simu maongezi yaishe haraka
3. Hawapo facebook wala instagram
4.ni watu waliostaarabika
5. huwa hawaumizwi na mapenzi
6. ukimsifia JPM ni kosa la jinai
........
.....[emoji23][emoji23][emoji23]
Sina group ya watu wa humu. Niliingizwaga moja 2017 ile nadhani. Nikatuma picha kwenye kujitambulisha (sheria ya group) nikaikuta humu jukwaani picha yangu.
Nikatoka Hilo group maanA sikua nablend nao kabisa. Nilikaa siku chache tu. Nilivyomaliza kujitambulisha sikuwahi andika Tena.
Oooh.. sasa akishanijua ndo itamfanya anijue na humu ID yangu? Japo naambiwa zipo groups za JF badoDuh sikuona hiyo picha aisee heri ningeona ,ile group ilikuwa ya nia watu kujua wenzao,humu JF tunaficha majina ila kwenye groups mtu akishaona namba yako anaangalia jina halafu anakutafuta kwenye social networks
Oooh.. sasa akishanijua ndo itamfanya anijue na humu ID yangu? Japo naambiwa zipo groups za JF bado
Mimi huyu
Sasa mnataka majobless tupoteze wapi muda wetu ?
watu wa humu
1. hawana magroup mengi ya wasap
2. hawapendi kuchati wao ni kupiga simu maongezi yaishe haraka
3. Hawapo facebook wala instagram
4.ni watu waliostaarabika
5. huwa hawaumizwi na mapenzi
6. ukimsifia JPM ni kosa la jinai
........
.....[emoji23][emoji23][emoji23]