mimi silei mtoto ili awe mke/mme !~!!!!
Kama ni hivyo nadhani bado hujatambua majukumu yako wewe kama mzazi.Kosa liko kwa wazazi wako waliokupa malezi mabovu ya kiroho.Kama uliweza kugawa mbunye kwa watu 100 na bado unadai hivi unadhani unaweza kuwapa wanao malezi mazuri tofauti na kuwaambia na wao wagawe mbunye au wadate na watu zaidi ya 100.Huwezi kuwa na wazo jipya tofauti na jinsi ulivyolelewa.Ila kumbuka Mshahara wa dhambi ni Mauti pia kumbuka kauli zako pia zinaweza kuchangia shetani kupata wafuasi wengi na jiandae kupata huku ya Mungu aliye Mkuu.Sina haja ya kukubembeleza wewe endelea kugawa mbunye hata kwa watu 1 bil.kuna siku utakutana na aliyekuumba.