How I Met My Wife

11th of Nzi Chuma..

Nitaandika hii mpaka nifike mwisho..

Mwaka wa tatu wa chuo kwangu ulikuwa na ubusy kidogo, so sikuwa na time sana na mapenzi kiviile, muda mwingi nilikuwa chuo, nikirudi usiku sanaa geto nimechoka, naweka simu silent nalala. Nai alikuwa mwanamke mwelewa sana, hakusumbua, shida niliipata hapa kwa single mama, akiwa yupo pale usiku anapiga simu mpaka unajuta yaani..mpaka sometimes nikawa nazima simu..yeye muda wote anataka mapenzi tu!! Mwezi mmoja kabla ya UE huyu single mother nae akapata mimba yangu. Alifurahi sana, alinambia kumbe alihangaika muda mrefu sana kupata mimba nyingine, lakini mimi nimemuwezea. Kwangu sikuona shida, nilijua kwa sababu anafanya kazi na ametafuta mtoto kwa muda mrefu, atazaa tu na atalea.. Lakini haikuwa hivyo. Nilivyoondoka tu pale Moro baada ya kumaliza UE, wiki mbili tu nyuma akaniambia imeharibika, nikajua atakua ameshaitoa.

Niliendelea kuwasiliana na Nai na pia niliendelea kuhudumia mtoto kwa Sophy!. Sikukaa sana kitaa nikapata kazi katika mradi flani ambao walikuwa wanatulipa vizuri, hapo nikaamua kujitegemea rasmi na kuanza mipango ya kuanzisha family.. Moyoni mwangu aliishi Nai tu. Niliamini nitamuoa tu one day.. Baada ya kufanya kazi kwa miezi sita hapa jijini nikawa niko vizuri sana. Nikarudi home na kuwaeleza mikakati yangu juu ya kuanzisha familia, nikawaeleza kuhusu Nai na yote yaliyotokea. Vidume vikajitokeza kunisaidia, nikavipa map vikafika kuonana na wazazi wake Nai..naam mtu mzima dawa, hawakutoka patupu..nikapata mrejesho wa kulipa mahari, nikalipa na kumuoa Nai, mtu niliyempenda zaidi maishani mwangu..!!. Lakini Nai hakuwa na raha na ndoa yetu, alikuwa anajua kuwa hawezi kupata mtoto. Lakini mimi nilimpa moyo kwa kumwambia kuwa ni bora nimekuwa mimi ambaye ndio msababishaji wa yote haya ndiye niliyekuoa kuliko angekua mtu mwengine, angekunyanyasa sana.. Nilijitahidi kufanya kila niwezalo Nai awe na furaha katika ndoa, lakini sidhani kama nilifanikiwa kwa 100%.

Muda flani akaanza kunilazimisha nioe mwanamke mwengine ili nipate mtoto (hapa tulishakaa miaka miwili katika ndoa). Alihisi sina amani. Lakini mimi nilikomaa nae, kila daktari mtaalam wa Gynecology niliyemsikia nilionana nae, dawa nyingi zikitumika lakini bado hatukufanikiwa. Mwisho nikamweleza ukweli Nai kuhusu Sophy, akaniambia niwasiliane na Sophy ili Abdul aje hapa atufariji.. Nikawasiliana na Sophy, nikamueleza mpango wangu, hapo ndipo Sophy aliponibadilikia na kunieleza kuwa yule mtoto hakuwa wangu kabisa, ni kuwa tu baba yake hajiwezi kiuchumi ndo maana akanibambikia, na ndo maana kipindi cha ujauzito hakunishirikisha..lakini baada ya mtoto kuzaliwa wakahisi atakosa huduma muhimu ndo maana wakanibambikia. Hapo hamu ikaniishia, sikutaka kuujua undani sana wa huyo mtoto nikaamua kupotezea.. Nikaconcentrate na Nai wangu..

Miaka ilipofika mitatu bila mtoto, nikalifanyia kazi wazo la Nai, nikaenda zangu kuchukua shombeshombe Pemba (how i met her, it's another story). Huyu ni kama alipata mimba siku ya harusi hivii...hahhahaa manaake alizaa miezi tisa kamili. Lakini Mungu sio Mzee Mkumba, baada ya kuoa, Nai alishika mimba mwezi mmoja tu mbele.. So alipishana na yule mke wangu wa pili mwezi mmoja tu kujifungua. Baada ya mwaka mmoja Nai akashika mimba nyingine na kuniletea toto la kiume (wa kwanza alikuwa wa kike). Kwa sasa nina watoto wanne, wawili wa kike na wawili wa kiume (kila mke mmoja akiwa na mtoto wa kike na kiume). Wanapendana sana na tunaishi kwa amani iliyopitiliza.
Wadau, nimejitahidi kufupisha ili nisiwachoshe.. and this marks the end of how I met my wife...!!.


Nzi Chuma, hadhuriwi na uvundo
IMEISHA VIZUR SANA...HONGERA NZI CHUMA...
 
11th of Nzi Chuma..

Nitaandika hii mpaka nifike mwisho..

Mwaka wa tatu wa chuo kwangu ulikuwa na ubusy kidogo, so sikuwa na time sana na mapenzi kiviile, muda mwingi nilikuwa chuo, nikirudi usiku sanaa geto nimechoka, naweka simu silent nalala. Nai alikuwa mwanamke mwelewa sana, hakusumbua, shida niliipata hapa kwa single mama, akiwa yupo pale usiku anapiga simu mpaka unajuta yaani..mpaka sometimes nikawa nazima simu..yeye muda wote anataka mapenzi tu!! Mwezi mmoja kabla ya UE huyu single mother nae akapata mimba yangu. Alifurahi sana, alinambia kumbe alihangaika muda mrefu sana kupata mimba nyingine, lakini mimi nimemuwezea. Kwangu sikuona shida, nilijua kwa sababu anafanya kazi na ametafuta mtoto kwa muda mrefu, atazaa tu na atalea.. Lakini haikuwa hivyo. Nilivyoondoka tu pale Moro baada ya kumaliza UE, wiki mbili tu nyuma akaniambia imeharibika, nikajua atakua ameshaitoa.

Niliendelea kuwasiliana na Nai na pia niliendelea kuhudumia mtoto kwa Sophy!. Sikukaa sana kitaa nikapata kazi katika mradi flani ambao walikuwa wanatulipa vizuri, hapo nikaamua kujitegemea rasmi na kuanza mipango ya kuanzisha family.. Moyoni mwangu aliishi Nai tu. Niliamini nitamuoa tu one day.. Baada ya kufanya kazi kwa miezi sita hapa jijini nikawa niko vizuri sana. Nikarudi home na kuwaeleza mikakati yangu juu ya kuanzisha familia, nikawaeleza kuhusu Nai na yote yaliyotokea. Vidume vikajitokeza kunisaidia, nikavipa map vikafika kuonana na wazazi wake Nai..naam mtu mzima dawa, hawakutoka patupu..nikapata mrejesho wa kulipa mahari, nikalipa na kumuoa Nai, mtu niliyempenda zaidi maishani mwangu..!!. Lakini Nai hakuwa na raha na ndoa yetu, alikuwa anajua kuwa hawezi kupata mtoto. Lakini mimi nilimpa moyo kwa kumwambia kuwa ni bora nimekuwa mimi ambaye ndio msababishaji wa yote haya ndiye niliyekuoa kuliko angekua mtu mwengine, angekunyanyasa sana.. Nilijitahidi kufanya kila niwezalo Nai awe na furaha katika ndoa, lakini sidhani kama nilifanikiwa kwa 100%.

Muda flani akaanza kunilazimisha nioe mwanamke mwengine ili nipate mtoto (hapa tulishakaa miaka miwili katika ndoa). Alihisi sina amani. Lakini mimi nilikomaa nae, kila daktari mtaalam wa Gynecology niliyemsikia nilionana nae, dawa nyingi zikitumika lakini bado hatukufanikiwa. Mwisho nikamweleza ukweli Nai kuhusu Sophy, akaniambia niwasiliane na Sophy ili Abdul aje hapa atufariji.. Nikawasiliana na Sophy, nikamueleza mpango wangu, hapo ndipo Sophy aliponibadilikia na kunieleza kuwa yule mtoto hakuwa wangu kabisa, ni kuwa tu baba yake hajiwezi kiuchumi ndo maana akanibambikia, na ndo maana kipindi cha ujauzito hakunishirikisha..lakini baada ya mtoto kuzaliwa wakahisi atakosa huduma muhimu ndo maana wakanibambikia. Hapo hamu ikaniishia, sikutaka kuujua undani sana wa huyo mtoto nikaamua kupotezea.. Nikaconcentrate na Nai wangu..

Miaka ilipofika mitatu bila mtoto, nikalifanyia kazi wazo la Nai, nikaenda zangu kuchukua shombeshombe Pemba (how i met her, it's another story). Huyu ni kama alipata mimba siku ya harusi hivii...hahhahaa manaake alizaa miezi tisa kamili. Lakini Mungu sio Mzee Mkumba, baada ya kuoa, Nai alishika mimba mwezi mmoja tu mbele.. So alipishana na yule mke wangu wa pili mwezi mmoja tu kujifungua. Baada ya mwaka mmoja Nai akashika mimba nyingine na kuniletea toto la kiume (wa kwanza alikuwa wa kike). Kwa sasa nina watoto wanne, wawili wa kike na wawili wa kiume (kila mke mmoja akiwa na mtoto wa kike na kiume). Wanapendana sana na tunaishi kwa amani iliyopitiliza.
Wadau, nimejitahidi kufupisha ili nisiwachoshe.. and this marks the end of how I met my wife...!!.


Nzi Chuma, hadhuriwi na uvundo
ILA HAKIKA HII NI SINEMA HASA KWA NAI PALE DUH
 
Mkuu nakushukuru sana, tuko pamoja..!! Mimi kwa sasa ni mwalimu mzuri sana katika haya mambo.. Dada nitafikiria namna ya kumsamehe nahisi kama naanza kuwaelewa hivi...!!
WEWE NDIO UNATAKIWA UMUOMBE RADHI DADA YAKO HATA KAMA UKITAKA KUKAIDI....YEYE ALIKUWA SAHISI KABISA....ILA MWIHSO WA SIKU SIO KESI HATA USIMPSAMEHE NI WEWE NA MOYO WAKO..FAIDA/HASARA ZA KUWEKA KITU MOYONI KAMA HICHO UNAIFAHAMU.....MUDA NDIO HUU UKIWA HAI NA YEYE AKIWA HAI...USIJEJUTA WEWE KWA SASA UNADAHNI UKO RIGTHT SIDE...AU NI UBISHI TU KAMA WA NANILIII WETU SIJUI NANI
 
Wakuu niliwaahidi kwamba baada ya Nzi Chuma kumalizia kutueleza namna alivyopata mkewe na mimi ningeliamsha, lakin sasa hatukujua mpango wa MUNGU, nimepatwa msiba kuna ndugu yangu amefariki leo saa 4 asubuhi.......so mnisamehe kwa hilo sintoweza kuwaletea nilichowaahidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu..nimeona jina nkashtuka kitambo sana sijakubumia na macomment sema nadahani sababu majukwa mengine yale sijapita muda sana...au thread zingi zingine.....nimetekwa na kwasa sms za maggegedo...ikaja hatarishi kugegedana sasa ya kimasihara ikafunga na kufungua mwaka...na imekuwa Jenerali kabisa hiyo thread
 
Hakuna fomula nzuri kwa anayekuletea ntima nyongo kama kumpelekea dudu! Basi nikaanza kumletea vizawadi akiwa na wanafunzi wake nk.

Mwisho wa siku nasikia kikaratasi kimetumwa na mwanafunzi wake kufungua naambiwa ticha niazime buku 5 mie faster nikagandamiza ikapelekwa,niwaambie mabaharia hawa wadada akisema niazime hela ujue kishajifia wewe ni jinsi yako tu kumaloza game.
Sheria pia hutakiwi kudai so siku zikasonga mie sidai urafiki ukawa mkubwa from no where vp ticha leo utakuwa na chance mie nikajua huyu anataka dudu tu kumbuka mie nazidi kupeleka kwake na wanafuzi wake zawadi nikamwambie next wedneday nafasi ipo basi jioni yake ansema twende kule tumefika ila hapa hapafi twende kule basi piga vinywaji sana kumbuka hapo 2000_2001 basi chukua room piga sana mzigo aiseee yule dada alikuwa na minyege balaaaaa kila nikigusa sehemu anashtuka piga sana finga,paja jeupe kinyama takotako,piga sana tackling....!

Basi ukawa ndio mwanzo wa yeye kuingia ktk mahusiano naye na mambo yakuchelewesha madogo wangu kuingia class yakafa.

Ila hapo nilivunja principle ya kula tunda sehemu ya kazi maana kunakuwaga na wivu maneno kukoseana heshima nk. Nami hapo nilikuwa naishi home ili kupunguza gharama.

Shida mizinga ikawa mingi mara kodi yangu ya nyumba imeisha nk nikaona hapa sio pakukaaaa mbaya zaidi nikajakuonyeshwa jamaaa lake so nikapata sababu ya kusepa.

Aliumia sana maana jamaa alikuwa hana hbt naye hawa watu wanataka kuwaenzi hata na vizawadi kisha piga show za kibabe.

Chagua show leo napiga kama nauwa next time napiga kiling me soft badili mapigo na location.

Basi full kupigiwa simu ujembe wa vikaratasi nk mie huyu likizo ilipoisha nikapotea zangu basi ikawa ndio mwisho wetu

Sasa mtaani bwana kukawa mdada amabye kaolewa na jamaaa aisee dada alikuwa vzr mnooo yaani kama kuku wa kiswahili kabinuka mnoooo kitako cha maana aliniona wkt nasoma olevel mpaka kuchukua hv vyeti.

Kitu cha kwanza kabisa mie huwa ni mpole kwa nje mstaarabu but nina utukutu wa ndani maana aliyeugundua ni wife wangu ndio ananijua nje ndani.

Basi bibie kumbe kazimikia flag mie sijui full kuja home akimkuta bimkubwa ohoooo mama mkwe kisa kuna kabwana mdog kangu anakaita shem mmmmmhhhh mie machale yakanicheza basi hamadi bwana akaja wifi mtoto kajaza mguu wa haja vidume tukaanza enda lesi mie si ndio nikamtuma kadada ketu kamtaaa nataka ule mzigo nipe pasi ndefu au mimina mitungi ntakutana ndani ya box kweli sister akanielewa sasa kabla hajafikisha ujumbe akamtonya yule mdada mwenye mume.

Kosa dada akaona daaah napigwa kanzu siku hamadi nikaitwa hv wewe unajidai nn? Mie kwani vp lini uki free maana we n shule tu sijui chuo mie jpili basi sawa njooo mpaka kunduchi beach tutaongea huyu unayemtaka atakusumbua maana ana mtu wake sijui nini nini daaaah.

Basi hewala siku hiyo nikaulamba huyo kunduchi niakelekezwa kumbe babu take nakaa huko akachukua eneo piga story mnooo pata vinywaju nk lkn sikuwa comfortable kabisa najiuliza huyu demu wa mtu inakuwaje bwana we tukaingia room daah sijui pressure nilipiga game ya kizembe sanaa demu akanitii moyo nk.

Basi toka siku hiyo akawa ndio manzi wangu aiseee nyie acheni hawa wake za watu kunakipondi unahisi weee ndio unaibiwa na mwenye mke full wivu demu full kufunga home mpaka bimkubwa akaanza hisi tofauti.

Kifupi nililudia game kadhaaa nilipiga za kufa mtu muonekano wangu ni mrefu rangi ya chocolate pili mpole kwa muonekano maongezi sauti ya basi taratibu sina makuu.
Ukiwa nami yeaaah mwanaume si ndio huyu uzuri kwenye show lazima nikuulize mama ushashusha mzigo goli la kwnza kuhelehele ndio shida ila nilikuwa nawakojolesha hata 3 mie naatafuta la pili ni principle ila ukishindwa hiyoo mbinu piga hata puli kwanza.

Maaana hawa watu kuna amabaye anataka kusuguliwa tu ndio anakojoa kuna ambaye anataka unapiga mzigo adoado huu akisikia maneno matamu,unamkuna nywele,unachezea kinembe nk.

Sasa huyu mdada yeye alikuwa anataka mkuyati tu soooo ilikuwa kazikazi tu mkimaliza lazima mlale kdg maana hata kama kuna ac lazima msweti piga sana mboooo,mara mbuzi kaagoma mara njoo juu kila style unayo ijua wewe alitombwa ofcourse alikuwa mtamu sana basi kwa mbali nikahisi home maza km anajua vile na jamaaa yake kama hanielewi maana nilkuwa mdogo tu kwake.

Jamaa alikuwa mtu vjwandani pili akawa na issue za taxi basi nikakata mguu mazima sikuja mtaaa nikipata likizo naama mji.

Nikajasikia jamaa kampa mapumziko yupo kwao mie nikatimba basi nikajipigia kwa muda mchache siku zikasonga hata sielewi waliachana vp mwisho ya 2000 mwishoni nilisikia jamaa kaaga dunia.

Mungu ampuzishe kwa amani broo yule,msichoke hizi ni step tu za kuelekea kwenye mke,daaah basi nikawa sina demu ila si chuo wala kitaaa kama unavyojua mademu sehemu ya kazi kama chuo nilkuwa sitaki.

Siku zikasogea mtaani kuna dada single mother kuna bro alizaa nae dada mtu wa tabora mrefu kitu white anayama za maana aisee hips ndo usiseme nikawa nawaza namuingiaje huyu manzi kwa umri nilijua ni mkubwa kwangu kumbe single digit mie mbele.

Baada ya kupeleleza nikagundua dada alishaachana na yule mkuu kuna lijamaa ndio linamla ila dada kafanya kila mbinu aachaname nae ilishindikana maaana jamaa hatoi huduma mbaya zaidi alimpata ktk hari kama za ushirikina jamaa kama mgangamganga hvi.

Basi baharia mbinu yangu kuwatumia tu masister wa kitaa,kuna jamaa nilikuwa napiga nae pindi sister wake mshikaji mpaka wanaaa wakasema namla basi mshikaji wangu akafuatilia akakuta sio nikampanga dada akapelaka sumu.

Nikona sipati majibu weee niko masikani anakatiza road nikamzukia vp hujapata ujumbe wangu ahaaaa subiri ntakucheck basi siku zikaenda mzeee mazima nikaingia nikaaanza kula mzigo.

Aisee yule manzi alikuwa mtamu sana balaa siku ya kwanza alinipgawisha mnoooo chukua room kaja na zile baibui? Daaah kufunua daaah mweupe hana hata chupi jamani mbolo huo umesima aiseee piga sana finga kwenda mpaka uvinza nyonya sana kisimi ila akawa hapendi sana nilikuja gundua huwa anakata moto maana siku moja nilimnyonya vyakutosha akakata moto kama dk 7 nikajua enheeee nimeua aktoka pale anakuwa hana hamu tena ya kutombwa anakuwa kachoka kulegea.

Yule jamaaa yake akawa kama kapigwa kibuti hapo nilikuwa mwaka wa pili denti lkn harakati za kupambania nyapu kama kagele vile na nyavu wanaaa wakanitonya jamaa yake mganga dogo unataka kufa wewe aiseee jamani kuna wnawake wanayombana bwana aiseee huyu alijuwa anapenda mbuzi kagoma na dog style.

Nilikuwa nampelekea moto mnoooo so alikuwa anakojoa sana,wadogo zangu hapa hamna sili kwanza jitahidini mle vzr pili mazoezi kipindi hicho nilikuwa napiga socccer pia so kumkalia mtu kati haikuwa shida yoyote i was fit muscularily.

Demu alinipenda sana akawa ananiita dogo,maana majamaa yake yalikuwaga makubwa ila mie ndio nilkuwa mdogo ktk wote.
Ila show nilikuwa nampa ya kibabe mnooo utasikia dogo unanimaliza sna,uzr hakuwa na aibu leo dogo nataka ukanikaze mpaka mji niite mmmaa.mie ndio shughuri yangu aiseee nilipiga sana yule mtu kokote aliko anisahu bahati mbaya akaja kuolewa unajua ilikuwaje.??

Demu alikuwa anasolon yake mtaani basi mie denti nilianza nae nikiwa mwaka wa pili certificate mpaka naingia mwaka w 3 niko nae tu!

Bwana weee si akahamia maeneo mengine huko sinza si ndio wanaaa wakamuona sijui alishaanza kuliwa siku isiyokuwa na jina nataka kuongea na wewe
Mie poa mpz wangu laazi nyongo mkalia ini mie kwako sihemi mpz wangu panga nuda tu.

Basi tukaweka kikao kumbuka kipindi chote hicho mtaani wanajua ubaya sijui au uzuri yy alikuwa islam mie christo.

Hbr mbaya sana kwanza nisamehe mpz wangu hivi utaniowa lini? Niseme ukweli tu mie mpango wa kuowa nilikuwa sina nikamjibu si unajua niko school so sijui lini mama labda nikimaliza pili sina job.

Yeye sasa mie nimepata mtu anataka kuja jitambulisha aniowe na unajua umri wangu umeenda so nimekuja omba ridhaaa yako.

Mzee mzima nikatetema maana napolwa demu kimasihara nikajisemea sina mpango wa kumuowa ila wivu mapenzi na uwezo sina bado niko kwa wazazi daah.

Nikajisemea haina shida kama yuko seriously we olewa tu mwana usijari wala nini!

Basi demu akanambia unajua nini J we ukinihitaji nambie hii mali yako huu umri tu ndio maana naenda ila roho iko kwako mpz.

Basi nikamaliza chuo nikakaa sana kitaa bila job hamadi nikadaka japo si mkwnja mrefu kivile basi demu akaanza process za kuolewa nikashirikishwa mchango nikato mrefu tu.

Ila mzigo niliendelea kula kama kawa kiasi kwamba sikuwa na haja mzigo mwingine. Demu akawa wetu sio wangu tena nikaona huu sasa usenge jamaa akachuka mzigo akahamia nao sinza huko ila kazi huku kikaanza kunuka siku nimetuma msg kumbe simu anayo jamaa home daaaha namuona jamaa kama mbogo anelekea salon ya demu mie nikazima simu nikajua hili balaaa nikasepa kabisa.

Basi bwana mtu ukipendwa ndio hivyo demu akanitafuta anasema alishayamaliza usiwe na wasi sasa hapa nikasema mmh huyu sio wangu tena wacha nijipange kivingine.

Jamaaa akamuamisha kijichi huko sasa kilichitokea demu ana mtoto na jamaa anamtoto ktkt pilika zetu demu aliwahi pata mimba yangu kabla hajakutana na huyu mbabezi ila bahati mbaya ilitoka 3 months.

Alipoolewa akitinduliwa hata kwenye siku zake hapati mimba basi akawa ananiletea nikimtomba aiseee imo bahati mbaya aua mipango ya mungu kama tatu zingine toka kwangu zilitoka.

Nyege mbaya sana aliniletea mzigo nishaowa aiseee kumbe yuko kwenye siku zake aiseee mzigo ukaingia kitu mimba aisee nilimmind sana bahati mbaya au nzuri walihangaika kutafuta tiba ikaonekana bwanamkubwa hayuko vzr so demu akaona noma kulea ile mimba ikabidi afanye atakavyo maana walikuwa kwenye tiba ndio kwanza mwanzo na huo ukwa mwisho wetu. Ila mpaka huo kijichi nilifika hawa watu wanaconfidence za ajabu sana.

Mungu si athumani bwana jirani kwetu akaamia mama mmoja na mabinti zake wa2 wakali ila mdogo ndio alikuwa ugonjwa wangu cheupe anakitako cha haja kiuno cha dondola daah alikuwa vzr sana.

Mkubwa alikuwa sister du mnoooo slim hv kazi huko daah kumbe mdogo alikuwa na jamaa yake anatia timu daily maza wao anajua kumbe bimkubwa walitengana kwa muda na mume wake.

Mazoea mazoe kaka mara dada mkubwa mara vocha nitumie nk basi tukajikuta wapenzi nikaanza kula mzigo ila tatizo huyu bibie alikuwa sio mpenda migegedo kama mademu wangu wengine so issue za gemu zilikuwa adimu mnooo ila huwezi amini nilimpenda sana aseme nini asipate mpaka familia ikajua kuwa huyu demu namla.

Kitaaa watu haaa kifaa cha jamaaa alikuwa mrembo haswa wa kuku chipsi sasa kule kazini kipato sikuona kama kikubwa sna nami nina madogo wa kuwasupport nk. Nikawa na ambition za kurudi tena schoool ili nije nipate job itakayo kizi mahitaji maana kuna uncle wetu alisema ahaaa ukiwa na digiliii nakuunga kazi ila hiyo cheti itakuwa issue sana.

Kumbe demu anafokasi tupige maisha mdogomdogo basi mie nikawa nampelekea moto lkn this time kwa ndomu piga sana mashime shida ya huyu demu S alikuwa ka K kadogo sana nami daaah ubooo alihamdulilaaah upo kiasi chake nilikuwa namtanua walau auzoe ukuni akaanza kuzoea na kupendwa kutombwa mie huwa siulizii mahusiano yaalikotoka piga sana mbooo kelele hana ila kugugumia tu! J unaniumiza J nasikia raha mpz wangu sikuenda naye mbali sana hamna hamna bwana akanasa.

Daaah sikuwa na mpango wa kuowa lkn pia sikuwa na mpango wa kupata mtoto njee ya ndoa after discussion demu akasema basi wacha nichomoe daaah ktk vitu vinanipain nikama lile tukio maana ningekuwa na dogo mkubwa sana.

Nawashuri vijana walio chini ya umri wetu waacheni wazae tu you never know.

Basi tukaendelea mie nikapiga chini job nikaingia schoool ila kwakuwa bumu lipo so haikuwa issue sana kumhandle na mishe za hapa na pale za kitaaaa. Aisee huyu nahisi nilimpenda maaa a umri alikuwa chini yangu alikuwa mzuri 3 hakuwa single mother like the rest.

Bwana weee umzaniae ndiye kumbe sio 25.12.2005 ndio siku nililia kilio cha kusaga meno nilichokiona ndugu msomaji hapo ndio nilisema sitaoa tena na siamini demu tena na ndio hapo nilinza umalaya rasmi.

Ntaendelea siku nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU NIMESOMA JAPO KUNAMUDA NIMEHISI NAFORCE KUSOMA AUNI MAUSINGIZI TU MAKALI NDIO MAANA NAHISI HIVYO...ILA KIKUBWA NAONA KAMA UNAANDIKA HARAKA SANA KAMA UNAKIMBIZWA HIVYO KUKOSA MTIRIRIKOMZURI....BORA USIANDIKE HARAKA ILA STORY IWE NA FLOW NZURI PIA UPANGGILIE VIZURI MATUKIO....REVIEW KAODO UNAVYOANDIKA STORY ILI UKILETE KWA MTIRIRIKO MZURI
 
Kuna pahala nimesoma palikuwa pameandikwa "Kwenye mahusiano mwanamke anapompenda zaidi mwanaume, kuliko namna mwanaume anampenda mwanamke. basi mapenzi hayo hudumu"

nikadhani muandishi wa haya maneno alikuwa amekunywa mbege na akashushia na gongo mbili baridi.


Ila nikaja kufumbuka baada ya kumsoma Kiganyi.
 
Nilihisi mke atakuwa nasra..ila Nora anamoyo wa kipekee kushare..uwii

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna pahala nimesoma palikuwa pameandikwa "Kwenye mahusiano mwanamke anapompenda zaidi mwanaume, kuliko namna mwanaume anampenda mwanamke. basi mapenzi hayo hudumu"

nikadhani muandishi wa haya maneno alikuwa amekunywa mbege na akashushia na gongo mbili baridi.


Ila nikaja kufumbuka baada ya kumsoma Kiganyi.
 
48 Reactions
Reply
Back
Top Bottom