How Fisadi Kiwembe got his wife
Kutoka Sumbawanga, miaka kadhaa iliyopita kama nilivyosimuliwa
Jamaa alipata mke bila kutarajia.
Jamaa alikuwa fisadi kiwembe, kisha alijisifu kwa marafiki zake kuwa 'ameshakula madem' kila aina, mabonge, vimbaumbau, wafupi, warefu, weupe, weusi, wazungu, waasia, walemavu wa viungo nk, akawa amebakisha mwanamke albino tu.
Kwa hiyo mawindo yake yakawa ni kwa wanawake wenye ualbino.
Siku ya siku paap, akamuona binti mrembo umri unaokubalika...
Jamaa akaanza kumfuatilia na kumpiga sound nyingi...
Huku na huku baada ya kusotea wiki kadhaa jamaa akakubaliwa..
Kumbe binti albino hajawahi kuduu... Jamaa na ndom zake akaanza mchakato lakini dushe halikupita, ndipo akajuwa kuwa papuchi haijatumika kabisa...
Wakapanga siku nyingine, siku ile muda ulikuwa umeisha. Binti albino alikuwa bado anaishi kwa wazazi wake.
Siku ya ahadi kumbe yule binti alikuwa heat period, naye si mjuzi wa mambo hayo, akapeleka papuchi...
Jamaa alijiandaa kuitoa 'seal' ya albino huku tayari alikuwa ameshajisifia kwa marafiki zake...
Kweli, dushe siku hiyo likafanikiwa kupenya, hakuvaa ndom, kwa mzuka wareno hawakuchelewa...
Jamaa alirudi mtaani akijisifu kutimiza azma yake ya 'kugonga' sampuli nyingi za wanawake...
Baada ya miezi minne jamaa akatajwa na binti kwa wazazi wake kuwa ni muhusika wa ujauzito alionao...
Timu ya wazee wa Kisumbawanga ikaundwa, jamaa akatiwa mkononi, akawekwa kitimoto...
Lakini bahati nzuri alipewa option mbili...
Ya kwanza amuoe ama ya pili akubali kubeba ujauzito huo, akapewa siku saba za kufikiria ili atoe maamuzi...
Jamaa si akapuuzia...
Akasahau (sijui alijisahaulisha!)
Wale wazazi na wazee wa yule binti wala hawakumtafuta wala nini!
Baada ya mwezi yule jamaa tumbo lake likaanza kujaa
Sumbawanga kiboko! Ni maeneo fulani njia ya kwenda Ziwa Tanganyika lakini ukifika somewhere Mtimbwa (sijui Mtimbwani) 5km kutoka njia kuu Sumbawanga - Mpanda road unachukua njia ya kulia, njia ya vumbi kabla ya kufika somewhere panaitwa Sintali...
Jamaa tumbo lilizidi kuongezeka, akaenda mwenyewe kwa wazazi wa yule binti...
Akaambiwa aende kesho yake...
Kesho mapema yule jamaa alienda pale na rafiki yake mmoja anayemuamini...
Alikuta tayari wazee wa mila wapo, binti yupo na wazazi pia...
Bottom line, ali-opt kumuoa yule bint...
Akaozeshwa kwa mila za Kifipa kwanza... Baadaye sana Kanisani...
Jamaa akapata mke namna hiyo.
___
Good side
Bahati nzuri yule binti alikuwa na upendo sana kwa yule jamaa, hivyo jamaa akajikuta amempenda mazima kikwelii siyo kwa kuigiza kama awali
Bado wanaendelea na maisha na wana watoto kadhaa.
******
James Jason