How I Met My Wife

Hivi mliioa kwa nini hamtaki tuletea visa vyenu ?
Wengi wameoana kwa Magendo😁😁.
Utakuta.
Huyu alimtia mimba mwanafunzi wakatorokea mafia,anatafutwa na rb bado ipo hai.
Mwingine alipora mke wa mtu,na mwenye mke ni Mbabe bado anahofia maisha yake.
Mwingine aliozeshwa ndoa ya mkeka kwa kulakula ma binti wa mwenye nyumba.
Hana furaha na mke wa kubabimbikizwa..

Basi makandokando mengi mpwaaa.
Wachache wenye ujasiri.
 
KigaKoyo .... Im speechless kwa kweli sio tu kutokana na msisimko wa story but namna ulivoweza kuifanya hii kazi kwa zile level za Sydney Sheldom na u-Grisham kwa mbaali ama kwa hakika imelta ladha flani adhimu sana na haijachosha kuisoma kiukweli...
Why usiiangalie hii talanta kwa jicho la kiuchumi mkuu?? Hii story as it is inaweza uzwa ikatengenezwa script nzuri sana ya tamthiliya.. Inaweza kufixiwa kidogo ukaandika booonge moja la novel ya mahaba ambayo im sure itawa-out sell magwiji wengi sana wa bongo kama Issa Tuwa (mkimbizi), shigongo na wengineo...
Lastly, thanx for keeping us entertained na story iliyokutana na uandishi mzuri...
Asante mkuu. Ushauri nitaufanyia kazi kiongozi ingawa sio kwa hiki kisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mmoja wapo, kama sio leta ya kwako
Wengi wameoana kwa Magendo.
Utakuta.
Huyu alimtia mimba mwanafunzi wakatorokea mafia,anatafutwa na rb bado ipo hai.
Mwingine alipora mke wa mtu,na mwenye mke ni Mbabe bado anahofia maisha yake.
Mwingine aliozeshwa ndoa ya mkeka kwa kulakula ma binti wa mwenye nyumba.
Hana furaha na mke wa kubabimbikizwa..

Basi makandokando mengi mpwaaa.
Wachache wenye ujasiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Gyole
Ya kwangu ipo ila haina mambo mengi sana sijui kutafunana ni nini,mm ni mlokole pia nimeoa mlokole mwnzangu,so hatua kuwa na root za kwnda huko na huko kutafuta sehemu ya kutinduana.
Goodluck tukiwa mwezi mpevu baada ya kufung ndoa nilimkuta sealed,nikafanya uzinduzi mwenyewe.
Wewe mmoja wapo, kama sio leta ya kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mvivu kuandika story ndefu yaani nashindwa kabisa.
Ila kusoma aisee nna speed ya ajabu.
Story kama ya Peniela.
Nachofanyaga nina download page za story, inakuwa offline.
Baada ya hapo na tulia muda tulivu ntaisoma mpk itaisha hata nisipo imaliza basi ntabakiza page chache sana.
 
Hongera sana mkuu, kuandika story ndefu ndo tatizo langu pia
Mkuu Gyole
Ya kwangu ipo ila haina mambo mengi sana sijui kutafunana ni nini,mm ni mlokole pia nimeoa mlokole mwnzangu,so hatua kuwa na root za kwnda huko na huko kutafuta sehemu ya kutinduana.
Goodluck tukiwa mwezi mpevu baada ya kufung ndoa nilimkuta sealed,nikafanya uzinduzi mwenyewe.

Mimi ni mvivu kuandika story ndefu yaani nashindwa kabisa.
Ila kusoma aisee nna speed ya ajabu.
Story kama ya Peniela.
Nachofanyaga nina download page za story, inakuwa offline.
Baada ya hapo na tulia muda tulivu ntaisoma mpk itaisha hata nisipo imaliza basi ntabakiza page chache sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
the continuing story of how I met my wife


.......The end of the beginning........


Familia yetu na ile ya Nasra na Mussa ziliendelea kuwa karibu. Hasa ukaribu wa Nora na Nasra. Nasra alifanikiwa kujifungua watoto mapacha, boy and a girl. Wakati wanazaliwa sikuhisi kitu, bt tulivorudi home Nora ndo akanambia, “wale watoto ni wako bro”. sikuamini. But baada ya miezi sita, ndo nikaona kabisa hawa wangu hawa. Ila ndo ntafanyaje. Nlijua kabisa Nasra amelitambua hilo bt sio sisi wala yeye aliyelizungumzia. Kwa upande wa Mussa sijui alijua akaamua kuuchuna, au hakua ametambua bado.

Watoto wakiwa na miezi saba tu, tukapata taarifa Mussa amepata ajali ya gari. And after two days he passed away. Baada ya maziko, Nasra akarudi kwao magomeni, but hali ya kifedha ya wazazi haikua nzuri sana, so Nora akawa anajitahidi kumpa tafu rafiki yake ila yale mazingira hayakua condusive kwa watoto. Nora ndo alisuggest, akanambia wale watoto itabidi tufanye namna tuwachukue.

Sijui Nora alimshawishi vipi Nasra, akakubali akahamia pale kwangu. Mwanzo akawa ananionea sana aibu, hata sikujua sababu. But kadri miezi ilivyoenda ndo alizidi kunizoea kama shemeji sasa. Kule Arusha biashara home zilikua zinayumba balaa. Nikamwambia sis, Nora aingie kwenye management. So baada ya chuo tu kuisha, Nora akawa muda mwingi yupo Arusha. Dsm tukawa tunabaki na Nasra. Akiwa Arusha Nora akawa ananiambia, ukijisikia kula we mle, I know anakupenda, na najua wanaume utakua unamtamani ila unaogopa hahahha. Nikawa kwa kweli sina mpango.

Nakumbuka ilichukua few months Nora kubadilisha hali ya kampuni, hadi akafungua tawi lingine hapa Dar, ili kurahisisha export processes. So Nasra akapewa job kwenye ofisi ya dar. Everyone was happy. Nora oneday akaniuliza kama nshakula, nikajibu hapana, akanambia tu shauri yako, mzigo utaanza kuliwa na majirani then watoto wako wapate baba mpya….. Nora alikua serious, sijua aliongea nini na Nasra, but one day Nora akiwa hayupo, nikashangaa kuanza kuona mabadiliko ya kimavazi akiwa mle ndani. Sometimes sketi fupi, sometimes bukta dah, na ile shepu nikajua tu hapa nakaribishwa. Kama utani tu siku moja tumekutana kwenye korido, nikamshika mkono nikaanza kumuongoza room kwake, naona anakuja tu hata hapingi.

Nora yeye alinipenda sana tu. But alikua na ule userious flani hivi na misimamo ile ya kama umekosea atakuchana live, so ule ‘u-kike’ hakua nao sana. Nasra yeye ni kama amefundwa namna ya kumhandle mwanaume. She made sure nimekula vizuri, nimeoga, nimenukia na alikua na ule upole wa kike, yaani hata kama hajakosea atakuomba msamaha. Cha muhim Zaidi alimheshim sana Nora, akiwepo hajishughurishi kabisa na mimi. Na niliona ubest wao ndo unazidi. Nasra akawa ananipush sasa nioe ili niwe kwenye ndoa. Nikamwambia, nikioa si ataninyima, “Mama Tafa mwenyewe keshaidhinisha, mimi sina mpango wa kuolewa tena wala kuongeza mtoto, as long as im with the man I love nimeridhika kuwa nilivyo”

Kweli tulifunga ndoa, tukahamia mitaa ya tegeta nyumba kubwa Zaidi. Now miaka minne since nimemuoa Nora. Kama unajiuliza Nora alikua serious kuruhusu kushare na Nasra, jibu ni ndiyo. Sio mara moja ashanisurprise kwa threesome. Sometimes hotel room najua yuko alone, nawakuta wote wako ready kuliwa. Sometimes naangalia football sitting room nikienda kulala nawakuta wote bed, Tunapiga mechi ya mtu tatu kiroho safi.

Kwa sasa game za Nasra zimepungua kiasi maana alihamia Arusha, na Nora akaja Dar. Kids wote wako na Nasra Arusha, we are planning kuongeza mtoto mwingine na Nora. And by the way, watoto wa Nasra wakiwa wadogo kabisa tuliwabadilishia kabisa na vyeti vya kuzaliwa, ndugu wa Mussa ilibidi waambiwe ukweli kuwa damu sio yao.


So ladies and gentlemen, that's a story of how i met my dear wife Nora.View attachment 1388509

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah pole na hongera sana mkuu.
 
Peniela n hatari sana mkuu
Mkuu Gyole
Ya kwangu ipo ila haina mambo mengi sana sijui kutafunana ni nini,mm ni mlokole pia nimeoa mlokole mwnzangu,so hatua kuwa na root za kwnda huko na huko kutafuta sehemu ya kutinduana.
Goodluck tukiwa mwezi mpevu baada ya kufung ndoa nilimkuta sealed,nikafanya uzinduzi mwenyewe.

Mimi ni mvivu kuandika story ndefu yaani nashindwa kabisa.
Ila kusoma aisee nna speed ya ajabu.
Story kama ya Peniela.
Nachofanyaga nina download page za story, inakuwa offline.
Baada ya hapo na tulia muda tulivu ntaisoma mpk itaisha hata nisipo imaliza basi ntabakiza page chache sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The continuing story of how I met my wife.

.....The beginning of the downfall!!!!!!!!!........


Kabla sijaanza kuendeleza story niwaombe radhi kwa ukimya. The past week has been busy and frustrating. Ni bahati mbaya hiki kirusi cha COVID-19 kimecomplicate mambo yangu ya biashara, ila so far so good. Hapa nilipo nipo kwenye Qatar Airways to Doha then home. Natumia masaa haya Zaidi ya 13 kuandika muendelezo. I hope the story will meet your expectations and perhaps help you forgive your brother for keepin you waiting.

Endelea……
Kama ambavyo nlishawahi kusema, Nora ni aina ya wasichana ambao nliinjoy sana kampani yao. Hachoshi kuwa nae, haikua sex tu, na kimsingi ile jumamosi hatukutiana tena, ila it was fun to be around her.

Tuliongea mengi, tulisikiliza mziki, tulicheza mziki, (ukiwa in love wazee, unainjoi sana love songs, yaani zile lyrics zinapenya kama zilivyo. Love is a beautiful thing mazee. If you have been in love you will understand what I mean). Nakumbuka kuna a song inaitwa ‘dance again’ ya J’lo, basi aliupenda kishenzi, akawa ikifika yale mashairi yake
……… baby your fire is lighting me up, the way that you move boy is reason enough, that I love to make love to you baby. I cant behave oh I want you so much, your lips taste like heaven so why should I stop? Yeah, I love to make love to you babe………….
Basi ataninyanyua pale nlipokaa, ananisogelea ile zero distance, anaanza kukata kiuno slowly, yaani ile kiuno chake tu ndo kinamove, then anakua ananitazama huku anaimba. Ikifika muda wa Pitbull anarap nakua nahisi kama natakiwa nitambae nae ila ndo siwezi hahhaha, basi atanipa denda pale mpaka Jlo aanze tena kuimba. Nikawa najisemea, kama waliooa wanainjoi hivi, mbona ndoa zinavunjika dah……


Sometimes tulikaa tu kimya tumekumbatiana kila mtu anawaza vyake. Sijui yeye alikua anawaza nini, but mawazo yangu yalikua yamejikita kwenye namna ntakavyo mshawishi boss Rona anikubali kama mkwewe. Mbinu ambayo akili yangu ilikua inanishauri ni kwanza kumuweka wazi Nora, yani nimwambie dogo sikia, mimi na mama yako tushawahi kulana, ila zamani sana hahahahah. Dah, ila moyo ndo ulikua unagoma. Sikujua kwa hakika Nora atakavyoipokea. Ila kiukweli ni bora nimwambie mimi kuliko kuja kugundua kwa namna nyingine. Shida ilikua namwambiaje sasa..

I remember siku hiyo wote tulipitiwa usingizi kwenye kochi. Usiku sana nlivyostuka ndo nikamhamishia room. Nora amekuja kuamka saa nne asubuhi, wakati huo nlikua nishaandaa mayai, mikate na kahawa (kitu kingine nilichokua namshukuru Mungu ni kuwa both of us were coffee people, she loved coffee, so did I. I kissed her goodmorning and asked her to have breakfast. She said she has to clean up first. Nikajua tu asubuhi hii anataka akakate gogo kabisa. Ila ndo nikashangaa maana kabla hatujawa wapenzi alikua ananambia bt now anajitahidi kufichaficha hahaha.

Nikamuona akiwa ana came out of the bathroom amejifunga kanga pichu mkononi, mm niko nimekaa mezani namsubiri tupate chochote. Bt muonekano wake ukafanya nitamani kumla yeye kabla ya mayai. Nikawa namfuata, kama alijua vile nnachomfuatia, akawa ananikimbia, tukawa tunafukuzana mle sebuleni, anazunguka kochi, nikimfuata kulia anaenda kushoto, hadi kanga aliyovaa ikamtoka akawa kama alivyozaliwa, anacheka tu. Baadae kaamua eti akimbilie room, mm huyo namkimbiza. Kuingia room namkuta kasimama hakimbii tena, anatabasam tu. Nikawa namsogelea, akaniambia, “ vua nguo pia”…. Nikatii. Hapo tupo umbali kama mita mbili hivi from each other.

Tukawa sasa wote naked tunaangaliana tu. Kila mtu anamuappreciate mwenzie. Ile kukimbizana kiliipooza kidogo rombo, bt ile situation ya kuangaliana tukiwa naked ikafanya mnara utoke 3G mpaka 5G. She saw the transformation and she smiled. Sijui hata nani alimfuata mwenzie, ila tulijikuta in each other’s arms. And the sex was so much, so much sweet, Norah was something else jamani dah. naomba nisiende into details sana.

Nikaleta our breakfast kitandani tukawa tunakula with stories. Akawa analalamika kukosa kanisani. Anasema huwa haachi kwenda church hata iweje, so kukosa siku ile kukawa kunamdisturb akili. Nikamwambia, next Sunday tutaenda wote asijali. Akafurahi kinoma. Mida ya saa sita unusu hivi, stori zikiwa zimepamba moto tukasikia tena … ngo, ngo, ngo………….

Akili yangu ikajua atakua Boss Rona. Nadhani na Nora aliwaza the same maana alisema, “itakua mama”… nikamwambia, “yeah, itakua amefuata documents zake nilimuahidi jana bt sijafanya chochote”, “so tunafanyaje?” akauliza, bt hakua na wasiwasi sana kama jana. “relax, just stay inside usitoke kabisa wala kufanya chochote kitakachotoa sauti maana anaweza taka tuanze ifanyia kazi hiyo document sasa hivi na itachukua muda”.. akakubaliana na mm. kipindi hicho nlikua natumia simu Nokia moja inaitwa XpressMusic, ilikua na miziki kibao nikampa ili asiwe bored, ila lengo kubwa lilikua asisikie maongezi yetu.

I went and opened for Boss. This time sikuweza mzuia asiingie ndani. She went straight kwenye kochi. Hakua anasema kitu mpaka muda huo. Ila najua alivoniangalia alijua sikupendezwa na ugeni wake. “where is your girlfriend?” ndo ilikua swali lake la kwanza. Nikamjibu short tu, yupo ndani. Mpaka mda huo nlikua nimesimama tu, nlitaka ajue she is not welcome. “skiliza Kiga, mimi na wewe ni watu wazima hakuna mtoto kati yetu. Jana nimekesha nawaza about us. Ni kweli you need to have a girl of your own, sipaswi kuwa na roho mbaya ya kukuzuia. Bt naomba nikuulize swali, do you love her?” alivyouliza hili swali, sijui hata kwanini Bt out of nowhere nikajikuta nasmile, it was involuntary, ila nikarecover na kumjibu, “I love her so much boss, please understand why I cant continue with you”. Nilijibu hivi maana nilijua namjibu mama mkwe mtarajiwa, nilitaka siku akijua girlfriend wangu ni mwanae bas ajue pia kiasi gani nampenda binti ake kiasi cha kumtosa yeye.

“I understand. You see, just like me it seems you finally found the love of your life. You know me Kiga. And I’m sure you know how much I love you. Jinsi unavyojisikia kwa huyo mpenzi wako, ndo na mimi najisikia kwako. Just imagine how I feel right now. Mtu unaempenda kiasi hicho anakwambia hakutaki tena, imagine that Kiga”, nikawa namuona macho yanajaa chozi, bt sio zile za kutiririka…. Sikuwa na jibu ndugu msomaji.

Dah. Kati ya vitu vigumu nishawahi kufanya, basi kuandika haya ninayoandika ni mojawapo. Kati ya siku ambazo natamani zijirudie ili nibadilishe yaliyotokea basi ni siku hii. Kati ya makosa makubwa ambayo nishawahi kufanya na yakanikosti ni kosa ambalo nilifanya mchana wa jumapili hii. Natamani niiruke nisiandike chochote, bt naona labda nikiandika ile guilty ninayojisikia mpaka leo itaisha. I fucked up, and I fucked up big time. Sio kwamba nlikua sijui kuwa ntakachofanya kitamaanisha mimi na Norah ndo basi, nilijua sana ktk akili yangu, ila basi tu nikajikuta natenda kosa kubwa. Sitaki hata kumsingizia shetani, maana nilijua kabisa kila kitu, katika vitu kama mwanaume hutakiwi kufanya mazee, basi nlijikuta nimekitenda kimojawapo siku hii.

Kabla ya jumapili hii, boss Rona alikua ni kama X tu, yaani mpaka siku hii sikuwahi kuwachanganya mama na mwana, and I wanted to maintain that status quo. Ntahadithia dhambi nliyoifanya ila sitasema namna nlivyoifanya.

Nakumbuka, nlikua nmesimama boss alikua amekaa kwenye kochi. Then alisimama, akanifuata nilipo. Kinachoniumiza Zaidi ni kuwa uwezo wa kumzuia nlikua nao, ila sikuutumia ndugu msomaji. Nakumbuka akiwa amesimama close to me alinambia, “Give me this one time, and I will teach myself to un-love you”, sasa sijui ni ahadi yake kuwa after today hatanisumbua tena, au ni subconscious memories of her sweet cunt zilizonifanya nimuache afanye atakacho.

Aliniongoza hadi chumba cha pili ambacho kilikua upande wa pili wa sebule (yani hii nyumba ilikua ukitoka chumbani kwangu kuna korido then kabla hujaingia sebuleni unakutana na mlango wa kuingia jikoni, then after sebule upande wa pili kuna korido nyingine ambayo kuna chumba cha pili pamoja na bafu. So milango ya kuningia vymbani ilikua on the extreme sides of the house). Ile idea ya kumla mara ya mwisho boss Rona ilinijaa akilini kiasi kwamba mzuka ukaanza kunipanda. She undressed me, nikajikuta tu mikono imeenda takoni……………………. I was sooooooo stupid. Kama nlivosema mwanzo, mwanaume kunamiiko hutakiwi kuivunja, 1. Kumtia ndugu wa mtu unaempenda (kuna watu watasema mbona ulimla pendo na mdogo wake hahahahaha, sikua nimependa yeyote kati yao). 2. Kumtia rafiki wa mtu unaempenda (labda kwa ruhusa ya mke wako kama ilivotokeaga kwangu hahahah hii ni stori nyingine maybe ntaiweka one day) 3. Usichepuke na mtu wa mtaani kwako (ikibidi kuwa na mchepuko, tafuta wa mbali sana huko, yaani kama unaishi mbezi, nenda kaharibu salasala). So kumla boss Rona that day ilikuwa kuvunja mwiko mkubwa sana. Na the fact kuwa her daughter was on another room ilikua ni beyond ufisadi, ndo maana mpaka hua nasema nastahili consequences zilizonipata baada ya hii dhambi……….

Kama kawa wazee. Majuto huja baada ya goli kuchomoka. I felt so bad baada ya wagiriki kutoka. Mawazo yote kwa mpenzi wangu Nora. BossRona akawa ananifuta pale tena kwa mdomo wake, dah, sikua hata naelewa kinachoendelea. Nikavaa chapu, boss Rona kuna kitu alikua ananiambia bt hata sikuwa namsikiliza…. Nikafungua mlango nikaenda kwa the love of my life, the only girl I ever loved. Ile nimeingia room namkuta Norah kajilaza anasikiliza mziki huku macho ameyafunga. I just stopped there, looking at her. Alikua anasililiza mziki kwa sauti kubwa sana, kiasi kwamba sidhani kama alinisikia nikiingia. Niliweza kuusikia mziki aliokua anausikiliza, mashairi niliyasikia live ingawa kwa sauti ya mbali ……
……. Just think of all the moments that we’d spend, I just can’t let you go, for me you were meant, and I didn’t mean to hurt you, but I know that in the game of love you reap what you sow……..
Sijui ilikua ni sababu ya sauti nzuri ya Rose Royce ktk huu wimbo wa Wishing on a Star au ni mashairi ya huu wimbowake, au ni ile sura ya upole ya Norah nliyokua naitizama, au ni hisia tu za makosa niliyomtendea Norah ndo yalifanya nianze kulia. Sio ile ya kulia vimachozi vinatiririka huku ukiwa umesimama, hapana. I started sobbing ndugu msomaji. Yaani nilichuchumaa pale pembeni ya mlango nikaanza kulia. I felt guilty, stupid, Malaya vyote kwa pamoja. Nlistuka Norah amepiga magoti mbele yangu ananibembeleza, maskini hakua anajua kinachoniliza. She just hugged me huku ananiambia “its ok my love, Im here”, katika maneno anayo tamka wakati ananibembeleza nikatambua anahisi labda nimeandaa report vibaya mama yake kanizingua. Basi akanikokota hadi kwa bed. Akanilaza halaf akalala pembeni yangu amenihug. Kule kulia kukawa kumekoma bt machozi bado yakawa yanatoka kiasi. Yaani Nora, si akaanza kunichezea dushe huku anazidi nipa maneno ya kunituliza, alivoona imesimama, akaipandia. Yani mm hata sikua natoa ushirikiano. Ni kama akili haikua pale isipokua dushe peke yake.

Kama alidhani sex itanifanya nijisikie vizuri alikosea sana. Ilinifanya tu machozi yastop, ila moyo wangu ulikua bado unalia. Yani uzito wa tukio lililotokea siku hiyo mpaka leo siwezi libeba bila kupata maumivu ya moyo. So ingawa najua sio Nora wala Rona watakaosoma hapa, natumia fursa hii kuomba radhi kwa nafsi zao. I am really sorry.

“The downfall”
Norah wala hakutaka nimwambie chochote abt why I was crying. Believe me, nilitamani sana nimwambie ili walau nipate tulizo la moyo, ila kila nlipojaribu kuanza alinisitisha akisema she doesn’t care, her job is to make her man happy and that’s what she will do. Nakumbuka alisema, “hata kama umeua mtu bro, I’ll go to jail with you”. Basi mi nikatoka kwenda kumtimua boss Rona. Room hakuepo, so nikajua alisepa saa nyingi. Badae Norah akaanza kujiandaa maana alikua amemwambia mama yake kuwa wataingia stendi saa kumi, na hapo ilikua saa tisa kasoro kadhaa.

Idea ilikua kabla ya hiyo saa kumi aende home. Yaani kabla mama yake hajaamua kutoka kwenda kumfuata stendi. Then akifika amwambie waliwahi kutoka Mwanza so wamewahi kufika pia, akachukua taxi hadi mbele ya quaters. So alipiga uniform zake fresh. Alivyokua ready akanihug for sometime, she kissed me quickly, then akaniambia kesho yake atajitahidi kuja tena so nikitoka job niwahi kurudi. Niliplan kumsindikiza hadi mbele ya home kwangu, ila sio kabla ya mimi kuangalia mazingira ya usalama, hatukutaka jirani ahisi katokea pale kwangu.

I opened the door. Akawa ametoka ili mimi nitoke na begi then nifunge mlango. So akawa amenitangulia mpaka mbele ya kibaraza changu. Then nilisikia tu, “oh My Gooooood”, nikaacha kufunga mlango kwenda kucheki. Sikuamini nlichokiona maze, Uso kwa uso na Boss Rona.

Niliona hisia zote anazoweza hisi binadamu kwenye uso wa Boss Rona that day, hasa alipoona begi la mwanae pale kwa kibaraza….. sura ilianza na mshangao, then aibu, ikafuatiwa na ufahamu wa kinachoendelea, then huzuni na ikamalizia hasira…….. vyote hivyo in a matter of seconds. Then kabla yeyote hajasema chochote, boss Rona akaanguka chini kapoteza fahamu….

Then I saw something that made me realize that a bond between a mother and daughter is unbreakable. Norah aliruka kumfuata mama yake, akakaa chini halafu kamuegemeza mama yake kwenye mapaja yake. Her face was full of guilt. Yaani alivyonitazama, nikaona namna anavyoumia moyoni. Katika kipindi hicho kifupi sura yake ishabadilika kuwa nyekundu, kamasi zinamtoka, machozi yashalowanisha uso mzima, Analia huku ananitazama as if ananiambia, “look at what we’ve done”.

Akili ikanijia fasta kumpeleka hosp. nikawa nakimbia kuelekea kwake kuchukua Suzuki yake. Kumbe alikua amekuja nayo, ameipaki karibu kabisa na kwangu. Nikarudi, tukambeba, ingawa wakati huo alikua ashazinduka sema hana nguvu, machozi tu yanambubujika. Norah anamwambia tu, “I’m sorry mom, I’m sorry mom, I’m sorry ……” maskini hakujua kilichomzimisha mama yake sio hata alichokiwaza.

Tulivyomfikisha hosp, akawa kapewa kitanda apumzike huku kawekewa dripu. Nikawa namshauri Norah arudi home ili nibaki na Rona tuone tunajipanga vipi na hili janga. Nora kaniambia hamuachi mama yake. She owes her an apology. Akashauri tuwapigie simu mume wa boss na pale home, nikamkataza. Nikamwambia ni mshituko tu, she will be ok, tusiwashtue watu. She reached for my hand, then akanambia, “no matter what happens, we will be together again. This might be the last time we see each other this holiday, maana najua hasira za mama atanikataza kabisa kutoka, bt please lets keep our promises and vows”, hata sikumjibu alichosema, nilijikuta nashindwa kusema chochote.

Nakumbuka, wala boss Rona hakulazwa usiku pale. Daktari alishauri turudi nae home. So mida ya saa moja hivi tukawa tumetoka hosp. kufika kwenye gari, boss akaomba ufunguo, nikampa then nikapanda siti za nyuma. Rona alivoingia kwenye gari akasema “get out of my car”…. Nikawa kama sielewi hivi, ndo akanigeukia kabisa na kushout, “get the fuuuuuuuuck out”,. Norah akataka kunitetea pale, “mom please, lets explain”, “shut up”……. Nikaona niepushe shari, nikashuka, Nora akawa ananivuta nibaki, nikamwambia, ntachukua taxi, go with mom, she needs you more. Nikaona kanaanza kulia, mi nikatoka. Hao wakasepa……..

Nimefika home siku hiyo, sikulikuta begi la Nora pale out, nikajua walilibeba. So nikajua walau waliongea, ingawa nilihofu aina ya mazungumzo yao, ila nilijua lazima yalikua dominated na Nora kumuomba msamaha mama yake. One thing I was sure, Rona hataweza mwambia mwanae kuwa alikua anatoka na mimi. Nilikua na uhakika huo kwa sababu kwanza Rona ameolewa, na anapaswa kulinda heshima yake mbele ya mwanae. Pili, asingeweza kumbebesha aibu anayojisikia sasa mwanae pia, yani mwanae pia ajue ameshare mwanaume na mama yake, she would protect her daughter from that shame, that I was sure of. Ila nilijua mimi na Nora ndo basi tena. Her mom will never allow me kumuoa. Hata ingekua wewe ndugu msomaji, hii ni kitu usingeruhusu.

Kesho yake job nikakuta tu stori, boss Rona anaumwa so amepewa ED ya siku tano. Mimi nlichoamua kufanya that day ni kuresign. So nikaandika barua ya kuacha kazi ndani ya muda wa saa 24. Ki utaratibu unatakiwa ulipe mshahara wa mwezi mmoja ukiwa unaacha kazi so I made arrangements mshahara wa mwezi huo wasinipe. Watu walishangaa sana why nachukua uamuzi wa harakaharaka namna hiyo. Nikawahakikishia, naenda sehem nzuri Zaidi so waniombee tu, wakati hata sijui what I will do from here on…. Aliyesikitika Zaidi that day ni Lyamuya, kidogo alie. Akanihug pale na kunitakia all the best. Nikamuahidi I will always be in touch. Nikamwambia pia namuachia everything kwenye ile nyumba, avifanye anavyotaka isipokua vitabu tu ambavyo ntavifuata oneday.

Sikutaka hata kurudi kule home. Nliazimia kuanza upya kabisa na kusahau whatever happened in this beautiful Capital of our beloved Nation…….

Itaendelea kesho…. Matamanio yangu niimalize hii wiki. Then ntakua natupia matukio machache yakimkakati yanayoendelea till now.




Sent using Jamii Forums mobile app
ni hataree...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
To be honest sijawahi soma kitu chochote JF nikalengwa na machozi, but this story, maaan, this story just left my eyes all watery! It's not just how meticulously crafted your writing is, but ishu nzima yan iko unbelievably mind blowing and utterly heartbreaking! Darn! Anyway, nausubiria kwa hamu kubwa mwendelezo wa hiki kisa. Kuna mengi sana ya kujifunza, among other things. Woooow!

NB: Simon Sinek - Start With Why (On it)
Nimekupa like yangu point muhimu hatuziachi.

"Start with why".

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom