Habari za saa hii wana JF,
Hebu tushirikishane hili jambo kwa wale walio single,unawezaje kujiepusha na vishawishi kipindi ambacho uko alone! sina maelezo mengi but naamini nimeeleweka.
Stress, Hasira, Matusi, Kupungua kwa ufanisi wa kazi... yaani we acha tu, ukiona mdada kakaa vibaya akili inaruka, ukiona michirizi ya pichu wee hoi...
yaani asikwambie mtu, wakati mwingine concentration inaruka hata padre humsikilizi vizuri church. manake huko nako wanapiga vipedo si kawaida.
Ukiwa bize inasidia sana, shughuli ikifia muda wa kulala unatamani kungekuwa na Female karibu. Kuwahi kuamka Asubuhi nayo inasaidia ku-survive kama upo Solo.
Kama mwanaume ni domo.zege au huna hela kama hujui kuhonga kama mwanamke huna mvuto una gundu unakimavi unahitaji uende kwa babu ukaoshewe muasumini.
Okeee sie wenye double tumeshamaliza kuangalia blue lagoon.
Sasa twakumbatiana byeeeee usiku mwema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.