How do you survive being single

How do you survive being single

ubusy hata haisaidii mda wooote...smetimes u jst want sme1 to hug u...aisee,usingle kaziii...pray to God vishawishi visije all th time..for the time being...pata hela ule bata ila also try getn bak to dating
 
Ha ha ha hii thread imenikumbusha mbali ila mbona simple sana
1. Kwanza twist akili yako iwe like kila mwanamke aliye mbele yako anahitaji maybe laki tano every weekend(sidhan kama utahonga hiyo pesa per every week)
2. jiwekee malengo mareefu(hapa inategemea na kipato chako) like kuwa na shamba labda la ekari 100 huko(lazima akili iwe mbio)
3. Jipende sana(nakumbuka every weekend ilikuwa nazama madukani kucheki pamba mpya kama zipo nanunua kama hakuna just window shopping).
4. Kama ni mpenz wa mpira basi ndo kabisaaaa, weekends zitakuwa zinapita kama upepo coz kuanzia saa 10 jioni mpk 4usiku ni mwendo wa barclays premier league n la liga
5. kama ni mkristo Sunday ni mwendo wa church

AM OUT!!
 
Mimi nimeamua kuwa single mwenyewe kwa kupenda kabisa.
Ninaweza sababu hata nikiwa na mtu akasafiri hata miaka 2 sichepuki mpk anarudi.
Ninasali japo huwa nafanya hivi miaka yote, nina marafiki ambaobwako nami, nina furaha na ninachokifanya.
Ninajipenda na nafanya vile vitu navyovipenda, sioni kuna upungufu wowote na miezi inaenda.
Nitakapohitaji kuwa na mtu nitaangalia mmoja katika list ndefu ya wanaonisubiri hahaaaahahaaaaa

Guys stay sober,, wadada ni waongoo!!!
 
Guys stay sober,, wadada ni waongoo!!!

Wewe endelea kukariri tu kuwa kila mtu yuko kama wewe, unayependa ngono.
Watu tuko tofauti na kuumbwa tofauti, muongo niwewe mdandia train kwa mbele, wewe unanijua mimi?
Sasa hata nikidanganya kwa faida ya nani? kama mtu unampenda unacheat ili? wewe miaka miwili unaona mingi eeh punguza umalaya wako. Nakaribia mwaka mbona sijafa tena ndio nazidi kunawiri no stress.
Siku nyingine usidandie treni kwa mbele wewe
 
Habari za saa hii wana JF,
Hebu tushirikishane hili jambo kwa wale walio single,unawezaje kujiepusha na vishawishi kipindi ambacho uko alone! sina maelezo mengi but naamini nimeeleweka.

Karibu chama la bachela ukinipenda namaliza leoleo tu
 
Haiwezekani acheni kujifariji
Mungu anasema unganeni muwe kitu kimoja
Dili ni kuoa tu sio kitu kingine
 
Kuwa single maana yake unaruhusiwa kuwa na mtu yeyote wakat wowote bila kusumbuliwa, unlike unapokuwa kwenye relationship usumbufu mwingi sana, kuwa single hakumaanishi huruhusiw kufanya mapenzi
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hakuna Lisilo Wezekana Chini Ya Jua.
 
Wewe endelea kukariri tu kuwa kila mtu yuko kama wewe, unayependa ngono.
Watu tuko tofauti na kuumbwa tofauti, muongo niwewe mdandia train kwa mbele, wewe unanijua mimi?
Sasa hata nikidanganya kwa faida ya nani? kama mtu unampenda unacheat ili? wewe miaka miwili unaona mingi eeh punguza umalaya wako. Nakaribia mwaka mbona sijafa tena ndio nazidi kunawiri no stress.
Siku nyingine usidandie treni kwa mbele wewe

Hebu mwambie kitu ni kuamua kwa akili yako..
Maana Wengine Wanadhani Mtu Huwezi kuishi bila the opposite Sex,
Mie sasa hivi ni Mwaka Wa Pili Na Nusu,
Am Moving On Well With My Life.

All things are possible through christ who strengthen us.
 
Habari za saa hii wana JF,
Hebu tushirikishane hili jambo kwa wale walio single,unawezaje kujiepusha na vishawishi kipindi ambacho uko alone! sina maelezo mengi but naamini nimeeleweka.

Kama nakufananisha vilee, Ngoja.
 
Habari za saa hii wana JF,
Hebu tushirikishane hili jambo kwa wale walio single,unawezaje kujiepusha na vishawishi kipindi ambacho uko alone! sina maelezo mengi but naamini nimeeleweka.

inategemeana na ww mwenyew. Kama upo busy na shugul zako za utafutaji mbona hata ham hutaisikia?? Ila kama ni kula kulala hapo lazma utafute pumziko
 
Back
Top Bottom