Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
well said my dear Kaunga hakuna sababu yoyote ya kuhalalisha cheating ya mwanaume! Tatizo letu hua tunapenda kwa kuwatreat wanaume kama Mungu,akifanya yeye ni sahihi ila akifanya mwanamke ni dhambi lol!ndo mana wanawake tunaonewa sana kwenye mahusiano..tumeshajijengea kua sisi na wadhaifu na wanaume wanatumia sababu hiyo kutudidimiza zaidi..
Unakuta mume na mke wote wanaenda kazini na wanarudi kwa wakati mmoja lakini baada ya kurudi mume anaweka mguu juu anasoma gazeti/anaangalia tv,mke ndo wakufanya kila kitu kwa nini asitafute housegal wa kumsaidia??..
kuwa na HG ni sawa je unataka afanye kila kitu huku wewe wanyoosha miguu kuangalia TV na kusoma magazeti hata huyo hg anatakiwa kupata maelekezo kwako we mama na wakati mwingine kufanya. Ninachopingana nacho ni kwa wale baadhi ya wanawake kupenda kufanyiwa kila kitu
Last edited by a moderator: