Houseboy anahitajika Moshi

Houseboy anahitajika Moshi

Umeamua kujiondolea aibu kinafki! Umuajiri mtu kwa kumlipa 2K kwa siku!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ni kawaida yenu! Tena kule Kibosho na Machame!! Unakuta kijana wa watu kwenye uwanja wa shule ya Lyamungo na mvua yote, ni yeye na mabuti! Anapambania 2K na msosi anaweza apewe wa usiku tu! Mmezidi kupenda sana pesa!

Sema wadada wenu ni wazuri asikwambie mtu, ukutane na kitoto cha O level ambacho hakijafahamu kirefu cha neno MOSHI, unakichakata mbususu kwa 10K tu[emoji39][emoji39], siku zingine elfu mbili mbili hizo mnazowalipa vijana wa watu kukatia lawa!
😬😁😁😀😂 Hatari sana
 
Houseboy mwenywe kujielewa anahitajika moshi
Marangu kilema
Awe na umri 20-35
Awe muaminifu ana
Awe na afya njema

Majukukumu
Kukatia majani
ngombe 1
Mbuzi 4
Kulima shambni msimu wa kilimo tu

Salary 60000 per month

Call& whatApp 0764616353
Kweli ukoroni haujaisha bado
 
Watu mnavyokazana kuipinga hiyo 60000 utadhani ni Watu wenye maana kweli kweli.

Kabla ya kupinga hiyo 60000 nadhani mngeweka hiyo bidii yenu kuwasaidia wale ambao tayari wapo kazini na wanalipwa hiyo 60000.

Na msaada isiwe ni kuwaambia tu waache kazi warudi nyumbani, bali msaada uwe ni kuwatoa kwenye hizo kazi na kuwapa kazi mbadala kwa malipo mnayoyapendekeza.
 
Huyu jamaa atakuwa mwajiri anaelipa kima cha juu kabisa cha mshahara kwa hesabu zifuatazo;

Mtu wa kazi lazima alale nyumbani kwako. Tunaanza hesabu sio kuongea ongea tu huna data

a. Kulala siku 30@ guest kwa siku 5000/= 150,000/=
b. Chakula
Chai ya maziwa na kitafunwa fanya 2000/= kwa siku 30=60,000/=
Chakula cha Mchana fanya 2500/= kwa siku 30= 75,000/=
Chakula cha usiku fanya 2500/= kwa siku 30=75,000/=

Sasa chukua
Jumla ya (a+b)= 150,000/=+150,000/=
300,000/=

Chukua hela cash ya mshahara ukijumlisha na hiyo ni 360,000/= ni hela ndogo hiyo???

Hapo sijajumlisha hela ya umeme, maji, king'amuzi, sabuni, mafuta ya kujipaka, offer nyingine na mzagazaga mara apande gari la boss wake mara umpeleke mjini mara umtumie mtu vocha mara umlipie michango ya kijiji na mwenge na tozo utaweza kweli?

Mkuu punguza mshahara
 
Ngoja waje kukupa muongozo...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna unanichekesha na hii kauli yako akuna siku nije uku jf nisikutane.na hii ngoja waje wakupe muongozo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa atakuwa mwajiri anaelipa kima cha juu kabisa cha mshahara kwa hesabu zifuatazo;

Mtu wa kazi lazima alale nyumbani kwako. Tunaanza hesabu sio kuongea ongea tu huna data

a. Kulala siku 30@ guest kwa siku 5000/= 150,000/=
b. Chakula
Chai ya maziwa na kitafunwa fanya 2000/= kwa siku 30=60,000/=
Chakula cha Mchana fanya 2500/= kwa siku 30= 75,000/=
Chakula cha usiku fanya 2500/= kwa siku 30=75,000/=

Sasa chukua
Jumla ya (a+b)= 150,000/=+150,000/=
300,000/=

Chukua hela cash ya mshahara ukijumlisha na hiyo ni 360,000/= ni hela ndogo hiyo???

Hapo sijajumlisha hela ya umeme, maji, king'amuzi, sabuni, mafuta ya kujipaka, offer nyingine na mzagazaga mara apande gari la boss wake mara umpeleke mjini mara umtumie mtu vocha mara umlipie michango ya kijiji na mwenge na tozo utaweza kweli?

Mkuu punguza mshahara
Si atangaze hilo dau la 360k alafu huyo house boy ajitegemee.Alafu mkuu usi-support unyonyaji
 
Huyu jamaa atakuwa mwajiri anaelipa kima cha juu kabisa cha mshahara kwa hesabu zifuatazo;

Mtu wa kazi lazima alale nyumbani kwako. Tunaanza hesabu sio kuongea ongea tu huna data

a. Kulala siku 30@ guest kwa siku 5000/= 150,000/=
b. Chakula
Chai ya maziwa na kitafunwa fanya 2000/= kwa siku 30=60,000/=
Chakula cha Mchana fanya 2500/= kwa siku 30= 75,000/=
Chakula cha usiku fanya 2500/= kwa siku 30=75,000/=

Sasa chukua
Jumla ya (a+b)= 150,000/=+150,000/=
300,000/=

Chukua hela cash ya mshahara ukijumlisha na hiyo ni 360,000/= ni hela ndogo hiyo???

Hapo sijajumlisha hela ya umeme, maji, king'amuzi, sabuni, mafuta ya kujipaka, offer nyingine na mzagazaga mara apande gari la boss wake mara umpeleke mjini mara umtumie mtu vocha mara umlipie michango ya kijiji na mwenge na tozo utaweza kweli?

Mkuu punguza mshahara
Si atangaze hilo dau la 360k alafu huyo house boy ajitegemee.Alafu mkuu usi-support unyonyaji
 
Si atangaze hilo dau la 360k alafu huyo house boy ajitegemee.Alafu mkuu usi-support unyonyaji
Sasa mkuu utapewaje hiyo yote??
Hata hewa pale anapovuta watu wanalipa
Elfu 60 inamtosha
 
Huyu jamaa atakuwa mwajiri anaelipa kima cha juu kabisa cha mshahara kwa hesabu zifuatazo;

Mtu wa kazi lazima alale nyumbani kwako. Tunaanza hesabu sio kuongea ongea tu huna data

a. Kulala siku 30@ guest kwa siku 5000/= 150,000/=
b. Chakula
Chai ya maziwa na kitafunwa fanya 2000/= kwa siku 30=60,000/=
Chakula cha Mchana fanya 2500/= kwa siku 30= 75,000/=
Chakula cha usiku fanya 2500/= kwa siku 30=75,000/=

Sasa chukua
Jumla ya (a+b)= 150,000/=+150,000/=
300,000/=

Chukua hela cash ya mshahara ukijumlisha na hiyo ni 360,000/= ni hela ndogo hiyo???

Hapo sijajumlisha hela ya umeme, maji, king'amuzi, sabuni, mafuta ya kujipaka, offer nyingine na mzagazaga mara apande gari la boss wake mara umpeleke mjini mara umtumie mtu vocha mara umlipie michango ya kijiji na mwenge na tozo utaweza kweli?

Mkuu punguza mshahara
Hayo mahesabu unayopiga ya msosi utadhani kweli yanatolewa hapo marangu na huyu mchaga [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom