Houseboy mwenywe kujielewa anahitajika moshi
Marangu kilema
Awe na umri 20-35
Awe muaminifu ana
Awe na afya njema
Majukukumu
Kukatia majani
ngombe 1
Mbuzi 4
Kulima shambni msimu wa kilimo tu
Salary 60000 per month
Call& whatApp 0764616353
Moshi marangu kilema hizi ni sehemu tatu tofauti. Au unataka moshi mmoja, marangu mmoja, na kilema mmoja?Houseboy mwenywe kujielewa anahitajika moshi
Marangu kilema
Awe na umri 20-35
Awe muaminifu ana
Awe na afya njema
Majukukumu
Kukatia majani
ngombe 1
Mbuzi 4
Kulima shambni msimu wa kilimo tu
Salary 60000 per month
Call& whatApp 0764616353
watu makatili sana
Kwa wamarangu upo sahihi kabisa, zaid zaidi atakupa chai kavu tuKwa wamarangu huyo houseboy ataona Cha moto bora ingekuwa kibosho
Hawa Marangu ni wachoyo sana hadi chakula kinaweza ozea ndani atoe kumwaga asikupe
Watu wakujiinua sana Sasa unamlipaje mtu 60000
Wewe 60000 unakula siku ngapi
Hayo si matumizi ya kawaida ya siku mbili
Hebu Marangu kuwa na huruma basi
Umesahau na kulima kipindi cha masika [emoji3][emoji3][emoji3] Tanzania kuna watu wa Hovyo60000 ni 2000 kwa siku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nganchoka tiki.
Akiamka Asubuhi saa 12 na lile baridi. Akamue maziwa akimaliza atoe mbolea.
Akatafute majani na makocha akakatie mbuzi na ngombe.
Mchana apumzike kidogo ale cha mchana. Saa tisa akatie tena majani ya ngombe. Hapo afanye shughuli za home.kupasua kuni na usafi. Na kutumwa dukani akalete nyama. Saa 12 ndo aende club akapate mbege saa moja arudi kufungia mbuzi warudi ndani na akamue tena. Saa mbili akalale.
Alafu umlipe 2000 kwa siku. Nyie wachagga wa marangu huo ni utumwa aise. Ongezeni hapo hadi 200000 niwaletee houseboy mwenye bachelor degree.
Na hii ndo lazima sasa. 😂😂😂😂😂😂. Uchagani kazi ni nyingi aise. Bado kufyeka mengele, kukatia matonga kwenye migomba. Bado kuchuma kahawa. Hapo pia kuna kuchimba panya buku (fuko). Uchagani vijijini kuna shughuli nyingi mno.Umesahau na kulima kipindi cha masika [emoji3][emoji3][emoji3] Tanzania kuna watu wa Hovyo
Mwenyewe unajiona bonge la mjanja umetangaza kazi😂😂😂Houseboy mwenywe kujielewa anahitajika moshi
Marangu kilema
Awe na umri 20-35
Awe muaminifu ana
Awe na afya njema
Majukukumu
Kukatia majani
ngombe 1
Mbuzi 4
Kulima shambni msimu wa kilimo tu
Salary 60000 per month
Call& whatApp 0764616353
hiyo ni kilema boss...Moshi marangu kilema hizi ni sehemu tatu tofauti. Au unataka moshi mmoja, marangu mmoja, na kilema mmoja?
we fala ninHouseboy mwenywe kujielewa anahitajika moshi
Marangu kilema
Awe na umri 20-35
Awe muaminifu ana
Awe na afya njema
Majukukumu
Kukatia majani
ngombe 1
Mbuzi 4
Kulima shambni msimu wa kilimo tu
Salary 60000 per month
Call& whatApp 0764616353
Kwenu mnawalipa kiasi gani?Duh si mauaji hayo 60000 kwa mwezi